Saturday, 27 February 2016

KUACHANA WANANDOA NA TALAKA


Katika Injili ya Luka 16:18  “Kila amwachaye mkewe na kumuoa mke mwingine azini naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.”
Nimesukumwa  kulizungumzia suala hili zito: Suala la kuachana watu wawili waliokwisha kuoana, waliokwisha kukubaliana kuwa MKE na MUME. Maandiko yamesema hapo juu kuwa kila amwachaye na kuoa mwingine “AZINI”, na yule amwoaye yule aliyeachwa AZINI. Kwa hiyo katika mafundisho ya Kikristo yanayojengwa katika misingi ya Biblia,kuachana ni jambo lisilo ruhusiwa kimaandiko.Msingi wa haya unatokana na ukweli kwamba Mwanaume na Mwanamke waliooana wanahitajiana katika suala zima la kimaumbile.Hivyo kuachana kunatoa mwanya kwa kila mmoja kutafuta hitaji hilo la kimwili sehemu tofauti na pale ambapo paliahalalishwa.
Ukisoma Waefeso 5:33 “Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe, na mke asikose kumstahi mumewe
Mpendwa, hebu tuendelee kujifunza kutoka kwenye Neno la Mungu. Wajibu wa MUME ni kumpenda mke wake kama nafsi yake(kama unavyojipenda). Suala hili ni gumu; ni agizo gumu, lakini aliyetuagiza anajua kuwa wanaume wataweza kumpenda mke kama mtu apendavyo nafsi yake. Mtu anapojikwaa mguu, kwa kuwa anaupenda mguu wake, haupigi, wala haukati, anaupuliza, anaushughulikia kama umeumia, hawezi kuuliza kuwa ‘ulikuwa unatembeaje mpaka ukajikwaa?’. Na MKE ameambiwa asikose KUMSTAHI mumewe. KUMSTAHI ni KUMHESHIMU MUMEWE. Kumheshimu kwa njia gani?
Jibu linapatikana katika kitabu cha Waefeso 5:22 “Enyi wake watiini waume zenu, kama kumtii Bwana wetu, kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili. Lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo, viyo hivyuo nao wawatii waume zao katika kila jambo”
Twende tukijifunza, ili ndoa zipone maana nyingi zimeoza, hazifai. Wamama wameambiwa wawatii waume kama kumtii Kristo,Tukumbuke kuwa Mwanaume ni kichwa. Sasa kama mume ni kichwa, ndiye anatakiwa kuongoza nyumba, kwa kuwa kichwani kuna- MACHO, MASIKIO, UBONGO, MDOMO, n.k
Naandika mambo ya kimaandiko, wamama wengi wamebomoa nyumba zao kwa mikono yao, pale walipojaribu kuongoza, wakidhani wanaweza. Kumbuka neno linasema kuwa Adamu aliishi bila Hawa lakini Hawa hakuwahi kuishi bila Adamu.  Hawa alipoishi bila Adamu kwa dakika chache tu aliondoka akakutana na nyoka, wakati Adam hayupo pamoja naye, akajitahidi kuzungumza na nyoka akijibu maswali aliyokuwa anaulizwa, lakini alishindwa.
Biblia inasema katika 1Timotheo 2:13-14 “Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye. Wala Adamu hakudangaywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa, akaingia katika hali ya kukosa”
Biblia inaeleza wazi wazi kuwa Adam hakudanganywa. Aliyedanganywa ni Hawa. Sasa tuendelee kujiuliza: kama Adam hakudanganywa, ilikuwaje Ale tunda? Je, Alilazimishwa?;Na kwa nini alikula?
Nilipokuwa natafakari mambo haya niliyaona kwa ndani zaidi. Utakumbuka wakati Bwana alipokuja ili akutane nao Bustanini, hakuwakuta, akamwita Adam na  kumuuliza alikokuwa! Adamu akasema “nimejificha, kwa kuwa niko uchi”; akamuuliza “nani amekwambia kuwa uko uchi?” [au umekula tunda nililokukataza?] Adamu akasema “Mwanamke uliyenipa ndiye amenipa tunda nikala”.
Sasa ona hapa, Je, Hawa alimlazimisha?  Kwa nini alikula?  Watu wengi wanasema kuwa Adam aliposema kuwa ni huyo mwanamke uliyenipa, alikuwa anamlaumu Mungu kwa kumpatia mwanamke. Hapana!  Hebu nikufundishe kitu hapo kupitia kitabu hiki : Biblia inasema “Apataye mke apata kitu chema, tena hujipatia kibali kwa Bwana”
Sasa Adam alipojibu kuwa “ni huyo mwanamke uliyenipa” alikuwa akisema hivi: “Huyu mwanamke uliyenipa, najua hukunipa kitu kibaya, ulinipa kitu chema kabisa Ee Mungu wangu, na mimi kama mimi hajanikosea, amekukosea wewe. Na kwa kuwa wewe Mungu wangu ulinipa kitu chema basi sitakiacha, nitaongozana nacho kokote kitakakokwenda, sitakiacha. Wewe Mungu una uwezo, kwanza unajua kuwa ni chombo dhaifu, wewe ungeweza kukizuia kabisa kisile tunda lakini ukakiacha kikala, basi nakufa nacho!”.
Alipomaliza kusema hayo akalipokea tunda kwa hiari yake, akala  na akajua sasa hawawezi kumuona Mungu wakiwa na hali hiyo; wakakubaliana waondoke  shambani.
Sababu nyingine iliyofanya ale ni kuwa alijua kuwa yeye Adam aliishi bila Hawa  na wala hakuomba Mungu ampe mke, ni Mungu tu alisema “si vema sasa uwe peke yako nitakufanyia msaidizi”, na akamfanyia  wa kufanana naye, yaani alimfanyia mwili wake, sasa mwili wako utaukataaje uutupe? Akajua kuwa UBAVU wenyewe hauwezi kuishi  bila kichwa, ndio maana alisema basi nitaendelea kuwa na ubavu huu.
Kwa msomaji mzuri wa Bibblia unakumbuka hadithi ya Ruthi katika kitabu cha Ruth 1:16-17 “Naye Ruth akasema, usinisihi nikuache, nirejee nawe, maana wewe uendako nitakwenda, nawe ukaapo nitakaa watu wako watakuwa watu wangu, pale utakapokufa nitakufa nami, na papo hapo nitazikwa. Bwana anitende hivyo na kuzidi, ila kufa kutatutenga wewe na mimi”

Huyo ni Ruth alipokuwa anamwambia mama mkwe wake, wakati amemsihi aondoke kama Olpa alivyofanya. Ndugu zangu nazungumza habari za KUACHANA, siku tulizonazo, limekuwa ni tatizo kubwa katika maisha ya wana ndoa wengi,Sio kwa Mapadri,sio wachungaji au hata Mashekhe wasiokuwa na mlolongo wa mashauri ya wanandoa kutaka kutengana. Na wengine maombi yao yamekwama hayajibiwi kwa sababu ya ndoa zao.Ukisoma kitabu cha 1Petro  3:7 kinaandika  “Kadhalika nanyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu, na kama warithi pamoja na neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe”
Neno linasema wazi wazi kuwa mume ukae na mke wako kwa akili. Unaona hiyo? Kukaa na mke inatakiwa akili itumike. Je, Ni akili ya namna gani? : Kuwa ni chombo kisicho na nguvu, japo wakati mwingine wanajitutumua kana kwamba wana nguvu, lakini Biblia inabaki pale pale kuwa ni chombo kisicho na nguvu, ya kwamba mume umpe mke Heshima. Kumpa heshima ni kufanyaje?
Hayo yote tuyaangalie vizuri maana ndiyo yanayoleta matatizo iwapo mmoja atashindwa kutimiza wajibu wake. Unajua kama madereva wote wangefuata sheria za barabarani, hakungekuwa kunatokea ajali barabarani na kama zikitokea basi zingekuwa chache sana, pale panapotakiwa ku “keep left”, mwendo gani unatakiwa hapo, wakati gani umpite mwezako aliye mbele, wakati gani usimame n.k!
1 Petro 3:1-6 “Kadhalika nanyi wake watiini waume zenu, kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile neno. Wakiutazama mwenendo wenu safi na wa hofu. Kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje, yaani kusuka nywele, na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi, bali uwe utu wa moyoni, usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika, yaani roho ya upole, na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu. Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumikia Mungu, na kuwatii waume zao,kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana. Nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa kwa hofu yoyote”

Itaendelea kesho..............Ungana nami tuendelee kuelimishana.


MAGUFULI ANAMTOA MACHOZI NYERERE KABURINI!



NA LUQMAN MALOTO
VEMA kuitambua na kuiheshimu misingi iliyoasisi taifa letu. Kwamba pamoja mambo mengi, katika Kitabu cha Azimio la Arusha, sehemu ya madhumuni ya Tanu, kipengele (b), ni kuhusu msimamo wa nchi kwa haki za binadamu.
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwaongoza waasisi wa taifa hili kuishi misingi yake na kusimama kidete juu ya uvunjwaji wa haki za binadamu popote pale ulipokuwepo.
Katika madhumuni hayo ya Tanu, Azimio la Arusha toleo la mwaka 1967, kipengele (d), kinasomeka: “Kushirikiana na vyama vyote vya siasa katika Afrika, vinavyopigania uhuru wa bara lote la Afrika.”
Na katika kusimamia hilo, historia ya Bara la Afrika, inamtambulisha Mwalimu Nyerere kama askari shupavu aliyesimamia vuguvugu la ukombozi wa nchi zake, hususan zile za Kusini ya Jangwa la Sahara.
Hivi karibuni, Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, alizindua kitabu alichokiandika na kukipa jina “Mwalimu Julius Nyerere Asante Sana”, ndani yake akieleza jinsi ambavyo alisimama imara kuhakikisha Afrika inakuwa huru.
Kitabu hicho ni heshima kwa mchango wa Mwalimu Nyerere ambaye baada ya Tanganyika kupata uhuru hakupumzika na kutawala nchi yake kwa nafasi, badala yake alielekeza nguvu zake za kifikra, kifalsafa hata kirasilimali ili kulikomboa bara zima kisha kuasisi wazo la kuunda Umoja wa Afrika.
Rejea ya Mwalimu Nyerere na Umoja wa Afrika, inakumbusha hata nukuu yake wakati wa kuuwasha Mwenge wa Uhuru na kuupandisha kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, aliposema: “Sisi watu wa Tanganyika, tunapenda kuwasha Mwenge juu kabisa ya kilele cha Mlima Kilimanjaro.
“Mwenge ambao utamulika mpaka nje ya mipaka yetu, upeleke amani pasipo na amani, upendo penye chuki, matumaini kwa waliokata tamaa, utu pasipo na utu.
“Hatuwezi, tofauti na mataifa mengine, kupeleka roketi mwezini, lakini tunaweza kutuma roketi za upendo na matumaini kwa ndugu zetu, popote walipo.”
Rejea hizo, zinaonesha kuwa mara tu Tanganyika ilipopata uhuru, makali ya kwanza ya Mwalimu Nyerere yalikuwa kuikataa Afrika Kusini ya Kikaburu ndani ya Jumuiya ya Madola (Commonwealth), kwa maelezo kuwa siyo sawa kushirikiana na nchi inayokandamiza na kutesa raia wake bila huruma.
Mwalimu Nyerere alisema: “Tunaamini kuwa uanachama wa Afrika Kusini chini ya hali halisi iliyopo sasa, unaleta utani wa ushirikiano wetu kwenye Jumuiya ya Madola.
“Hatuwezi kujiunga na umoja wowote wa kirafiki ambao unajumuisha dola ambayo kwa makusudi na bila huruma inawanyanyasa raia wake kwa misingi ya ubaguzi wa rangi.”
Vilevile, Desemba 5, 1965, Mwalimu Nyerere alitishia kuvunja uhusiano wa kibalozi na Uingereza, kutokana na vitendo vya ukosefu wa utu ambavyo nchi hiyo ilikuwa ikivifanya dhidi ya Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe), kipindi hicho taifa hilo lilikuwa halijapata uhuru wake.
Msimamo huo wa Mwalimu Nyerere, ulienda pamoja na kufanya mazungumzo na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Arthur Bottomley kisha kumweleza kuhusu dhamira ya Tanzania kujitoa kwenye umoja huo wa Commonwealth.
Hiyo ndiyo misingi iliyoasisi taifa letu. Siku zote tumekuwa pamoja na wanyonge wenye kukandamizwa. Hatufungamani na wanyonyoji au wakandamizaji, achilia mbali mabeberu.
Na hii ndiyo sababu kwamba Mwalimu Nyerere ni mkubwa mno barani Afrika kuliko hata marehemu Nelson Mandela. Mwalimu aliwekeza katika kuhakikisha Afrika inakuwa huru.
Maono ya Mwalimu Nyerere tangu mwanzoni mwaka miaka ya 1960 yalikuwa kufanikisha Umoja wa Afrika. Kitabu cha Azimio la Arusha, kinaonesha maono haya. Kimsingi falsafa za Mwalimu Nyerere zina thamani kubwa mno.
Hii ndiyo sababu Mugabe aliwahi kuwakejeli wenye kumtukuza sana Mandela kuliko Nyerere, akawaambia: “Mandela alipigania nchi yake pekee, Nyerere alipigania bara zima la Afrika.”
Unaweza kujiuliza ni kwa nini Tanzania ilifungamana na Cuba, yenye uhasama na Marekani? Au mataifa mengine madogomadogo yaliyokuwa yakikandamizwa na mabeberu?
Na hii ndiyo ikawa sababu ya Tanzania kutokuwa na ushirikiano wa kibalozi na Israel. Ni kwamba Waisrael wanawanyanyasa Wapalestina. Na msimamo wetu kama taifa ni kushirikiana na wanyonge ili ikiwezekana kuwasaidia kuutokomeza unyonge dhidi yao.
Tanzania haikuwahi kuwa na ushirikiano wa kidiplomasia na Israel si kwa bahati mbaya. Ulikuwa uamuzi mahsusi kuonesha kutopendezwa na mgogoro wa Mashariki ya Kati.
Unaweza kujiuliza ni kwa nini ubalozi wa Palestina umekuwepo nchini miaka mingi iliyopita lakini Israel haukuwepo? Unadhani Waisrael ndiyo hawakuwa na mpango? La hasha! Mwalimu Nyerere aliwakatalia.
Ni msimamo huo ambao uliheshimiwa na Rais wa Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, ukaendelewa na Rais wa Tatu, Benjamin William Mkapa kisha ukadumishwa na Rais wa Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Ni kwa nini leo Tanzania chini ya Rais wa Tano, Dk. John Pombe Magufuli, nchi imeingia makubaliano ya kibalozi na Israel? Marais waliopita wao ndiyo walikuwa wanakosea au Dk. Magufuli?
Je, tumeanza kushirikiana na watu wenye kukandamiza wenzao? Sababu zilizoifanya Tanzania kukataa ushirikiano wa kibalozi na Israel, kwa sasa zimeondoka?
Mbona hali ya amani Mashariki ya Kati bado ni tete vilevile? Vigezo vipi ambavyo leo vinaifanya Tanzania isaliti misimamo ya waasisi wa taifa letu? Kipi kinasababisha tuipige teke misingi ya kuwamulikia wenzetu upendo na matumaini?
Hiki ni kipindi ambacho hata mataifa yaliyokuwa kumbatio hasa la Waisrael, kama Marekani, yameanza kutetea mamlaka ya Palestina kama taifa.
Tayari Palestina imeshapewa uanachama wa Umoja wa Matifa. Hii ni hatua muhimu mno kuelekea mamlaka kamili. Ni matokeo mazuri ya misimamo ya akina Mwalimu Nyerere kuupiga vita ukandamizaji wa Israel kwa Palestina.
Ni vigezo gani vimetumika kuikubali Israel kirahisi-rahisi? Je, Dk. Magufuli na timu yake walizingatia msingi wa nchi kukataa ushirikiano wa kibalozi na taifa hilo?
Kwa wenye kuamini kuwa yapo maisha baada ya kifo. Kwamba binadamu huendelea kuishi baada ya kiwiliwili chake kuzikwa kaburini, basi tunamuona Mwalimu Nyerere akitoa machozi mengi kwa uamuzi huo.
Lazima alie, ni matumaini yapi tunayapeleka Palestina kwa kuanzisha ushirikiano na watesaji wao? Machozi ni mengi, ni ujumbe upi ambao leo Tanzania inausambaza kwa ulimwengu?
Matamko ambayo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Bembe alikuwa akiyatoa wakati wa utawala wa Dk. Kikwete, ndiyo hasa yenye kubeba misingi ya waasisi wa taifa hili.
Kama ambavyo ilikuwa wazi kuwa uvamizi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa nchini Libya haukukubalika. Ndivyo na nchi ilisimamia. Misingi ya taifa letu ni kila nchi kuheshimu mipaka ya wengine.
Waisrael hawaheshimu wala kutambua uwepo wa Wapalestina, na kwa vile wana nguvu, ndiyo maana wamakuwa wakiwanyanyasa jinsi wanavyotaka. Wapalestina nao kufikisha ujumbe wa chuki dhidi ya ukandamizaji wanaofanyiwa, huamua tu kujitoa muhanga.
Membe chini ya Dk. Kikwete aliwahi kusisitiza jinsi ambavyo mapambano ya Waisrael na Wapalestina yasivyo na ulinganifu, maana Waisrael wanatumia silaha nzito, wakati Wapalestina wanahangaika na mawe. Hawana nguvu hata kidogo.
Kama Tanzania iliwakataa Waisrael kwa kutowaheshimu Wapalestina, je, hivi sasa wanawaheshimu? Iliwakataa kwa kutowatambua, je, sasa wanawatambua? Maswali hayo tu!
Hapa sina maana kuwa kila kilichosimikwa na waasisi wetu lazima kifuatwe kama kilivyo, la hasha! Yapo mambo mengi tu lazima yabadilike kulingana na mahitaji ya wakati. Maono ya miaka 50 iliyopita yanapaswa kuhakikiwa uhai wake kila wakati.
Hili la Israel mpaka sasa uhai wake upo. Maana hawajafanya mabadiliko yoyote. Waisrael hakuna kitu wasichokipenda kama uhuru wa Palestina. Wanataka hawa watu waendelee kuwepokuwepo tu, wawanyanyase na kuwakandamiza wanavyotaka.
Na katika hili ni vema watu wakajifunza siasa za Mashariki ya Kati. Wengi wamekuwa wakilibeba suala la mgogoro wa Mashariki Kati kama uhasama wa kidini.
Watu wanajidanganya kuwa kwa vile inatajwa Israel, basi ndiko kwenye Ukristo, na kwa Wapalestina, vile ni Waarabu, basi ni Uislam.
Wapo Waislam wanaichukia Israel kwa sababu kwamba Wapalestina ni Waislam wenzao. Wanautazama mgogoro huo kwa jicho la kiimani.
Kuna Wakristo hawataki kabisa kuwasikia Wapalestina, kwa sababu mahasimu wao, yaani Waisrael ndiyo Wakristo wenzao. Jicho lao limemezwa na udini tu.
Ukweli ni kuwa mgogoro wa Mashariki ya Kati siyo dini. Na ndani ya Palestina kuna Wakristo wengi ambao wamekuwa wakipata shuluba nzito kutokana na kadhia ya Mashariki ya Kati.
Ni kwamba Waislam na Wakristo wapo pande zote mbili, kwa Palestina na Israel ambako pia kuna Wayahudi ambao siyo Waislam wala Wakristo, wana imani yao na kitabu chao.
Kuweka sawa, ni kuwa kila dini iliyopo Israel na Palestina ni hivyohivyo. Ni tatu, Ukristo, Uislam na Uyahudi. Watu wote pande zote mbili wamegawanyika kiimani katika dini hizo mbili.
Muislam anapowachukia Waisrael kwa sababu za kidini anachekesha, maana Israel kuna Waislam wenzake. Wakristo kutowataka Wapalestina kidini, ni upungufu wa utambuzi, maana wanawakataa Wakristo wenzake.
Wala siyo Uyahudi na Uarabu, maana ndani ya Israel kuna Wayahudi asilimia 74.9, Waarabu asilimia 20.7, na jamii nyingine ni asilimia 4.3. Hii ina maanisha kuwa Israel ni taifa la Wayahudi na Waarabu.
Palestina wao wanajiita Wapalestina lakini ni jamii kubwa ya Waarabu na Wayahudi. Na ndiyo maana zipo jamii za Kipalestina na Israel zinafanana kabisa.
Msingi wa kutotaka ujamaa na Israel ulikuwa zaidi ya matakwa ya kidini na fikra za kawaida. Ulilenga kuonesha kutokukubaliana na siasa za Mashariki ya Kati.
Israel kwa Palestina tofauti yake ni ndogo na hali ilivyokuwa Afrika Kusini ya makaburu na jinsi ambavyo Wazungu waliwanyanyasa kibaguzi Waafrika wa nchi hiyo.
Ndiyo sababu haikuwa na mantiki kuwanyooshea kidole makaburu wa Afrika Kusini kisha kuwachekea Waisrael kwa Palestina. Na ikawa sababu kwa hati ya kusafiria ya Tanzania miaka ya nyuma kuweka zuio la kwenda Afrika Kusini na Israel.
Ushauri kwa Dk. Magufuli ni kuizingatia misingi iliyowekwa na waasisi wetu. Walipokataa jambo, hawakukurupuka, walikuwa na sababu na waliweza kuzisimamia.
Ni lazima atambue kwa ndani kabisa ushiriki wa Tanzania katika siasa za Kimataifa. Ayaelewe na kuyazingatia mataifa ambayo yana urafiki wa asili na nchi yetu. Vilevile awajue na awe macho na maadui wa chinichini.
Nchi zote huwa na sera zoa za kimataifa. Unaweza kushangaa ni kwa nini Ronald Reagan aligombana na Muammar Gaddafi miaka ya 1980, ugomvi huo ukaendelea kuwepo mpaka utawala wa Barack Obama na kushiriki kumuua.
Mathalan, haiwezekani Rais wa 45 wa Marekani, aibuke kivyakevyake bila kupitia bunge (Congress) kisha aamue kuitangaza Iran kama taifa rafiki. Haitaweza kutokea hali hiyo.
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amekuwa akitajwa katika kashfa ya kupandikiza utawala wa Hima (Hima Empire), na hiyo ikawa sababu ya kuanzisha vita baridi na Tanzania.
Chokochoko za waasi wa M23 kusumbua DRC na kutishia Tanzania, ni mambo ambayo yalionekana moja kwa moja kuwa na mkono wa Kagame, kiasi cha kuwepo tishio la vita.
Haiwezekani ghafla tu baada ya Kikwete, Kagame awe rafiki pendwa wa Tanzania chini ya Dk. Magufuli.
Tunakumbuka mipango ya kuvuruga Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Kagame kufanya ushikiano na Yower Museveni wa Uganda na Uhuru Kenyatta wa Kenya, kisha kumtenga JK kwa Tanzania na Pierre Nkurunziza wa Burundi.
Tulishasikia magari ya Tanzania kuzuiwa Rwanda au kutozwa ushuru na kodi kubwa. Kenya ikaiga lakini walinywea haraka baada ya Tanzania kupunguza safari za ndege za Shirika la Anga la Kenya (Kenya Airways).
Hata machafuko ya Burundi Kagame anatajwa katika jaribio lake la kusimika utawala wa Hima, kwamba hata Tanzania alijitahidi sana kuwekeza fedha kwa Edward Ngoyai Lowassa. Kagame hawezi kuwa rafiki wa Tanzania ghafla!
Mambo ya ushirikiano wa kimataifa, ningemshauri Dk. Magufuli awe analifanya kuwa jambo nyeti, na ikiwezekana kulihusisha bunge.
Dk. Kikwete alipoona mambo ni mvurugiko kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki, alikwenda bungeni kuelezea hali halisi. Huo ndiyo utaratibu mzuri, siyo serikali na mamlaka yake tu, bunge ni lazima kushirikishwa.
Mathalan, suala la Israel ingekuwa vizuri lingejadiliwa na bunge, tuone misimamo ya wabunge ipoje, kwa kutazama maazimio ya mwanzoni na hali ya kisiasa iliyopo sasa.
Ushauri wangu pia kwa bunge, ni kutambua nafasi yake. Siyo kugeuka mashabiki au wagonga meza wa kusherehekea uamuzi wa serikali. Lazima kujadili na kupitisha au kukataa mambo nyeti. Uamuzi wa Magufuli kuhusu Israel umesaliti msingi wa waasisi wetu.

BREAKING NEWS: UCHAGUZI WA MEYA WA JIJI LA DAR VURUGU TUPU

VURUGU kubwa zimetokea wakati wa Uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam,mara baada ya uchaguzi huo kuhairishwa  tena mwa mara ya nne leo,huku Jeshi la Polisi likivamia ukumbi wa Karimjee na kuanza kupambana na Madiwani na wabunge wa Muunganiko wa umoja wa Vyama vinavyounda  UKAWA.Simulizi hii inasimuliwa na KAROLI VINSENT endelea nayo
Tukio hilo la aina yake limetokea mda huu Jijini Hapa mara baada ya mkurugenzi wa Jiji kutanga kuhairisha uchaguzi huo kwa madai ya uchaguzi huo kuwekewa pingamizi mahakamani , huku jambo hilo lilowachukiza madiwani wa UKAWA wakidai kuwa hawajapata barua hiyo ya kesi hiyo.
Mara baada ya UKAWA kugomea hoja hiyo ndipo wakafikia hatua ya  ya kutaka kufanya uchaguzi wenyewe huku wakisema akidi ya madiwani kufanya uchaguzi imetimia na wakaomba waendelee kufanya uchaguzi huo,
Wakati wakijiiandaa kufanya uchaguzi huo ukawa wenyewe ,ndipo Polisi zaidi ya 15 wakavamiaka ukumbi huo na kuwataka kuwakamata madiwani wa ukawa ili waondoke ukumbini kuzuia uchaguzi usifanyike,jambo lilowachukiza tena ndipo Polisi wakaanza kupambana na madiwani wa Ukawa 
ENDELEA KUFUATILIA JESAM BLOG UTAPATA HABARI KAMILI


10 REASONS YOU ARE NOT REACH


The reason why you aren't a millionaire (or on your way to becoming one) is really quite simple. You probably assume it's because you aren't earning enough money, but the truth is that for most people, whether or not you become a millionaire has very little to do with the amount of money you make. It's the way that you treat money in your daily life.

Here are 10 possible reasons you aren't a millionaire:

10. You Care What Your Neighbors Think
If you're competing against them and their material possessions, you're wasting your hard-earned money on toys to impress them instead of building your wealth.

9. You Aren't Patient
Until the era of credit cards, it was difficult to spend more than you had. That is not the case today. If you have credit card debt because you couldn't wait until you had enough money to purchase something in cash, you are making others wealthy while keeping yourself in debt.

8. You Have Bad Habits
Whether it's smoking, drinking, gambling or some other bad habit, the habit is using up a lot of money that could go toward building wealth. Most people don't realize that the cost of their bad habits extends far beyond the immediate cost. Take smoking, for example: It costs a lot more than the pack of cigarettes purchased. It also negatively affects your wealth in the form of higher insurance rates and decreased value of your home.

7. You Have No Goals
It's difficult to build wealth if you haven't taken the time to know what you want. If you haven't set wealth goals, you aren't likely to attain them. You need to do more than state, "I want to be a millionaire." You need to take the time to set saving and investing goals on a yearly basis and come up with a plan for how to achieve those goals.

6. You Haven't Prepared
Bad things happen to the best of people from time to time, and if you haven't prepared for such a thing to happen to you through insurance, any wealth that you might have built can be gone in an instant.

5. You Try to Make a Quick Buck
For the vast majority of us, wealth doesn't come instantly. You may believe that people winning the lottery are a dime a dozen, but the truth is you're far more likely to get struck by lightning than win the lottery. This desire to get rich quickly likely extends into the way you invest, with similar results.

4. You Rely on Others to Take Care of Your Money
You believe that others have more knowledge about money matters, and you rely exclusively on their judgment when deciding where you should invest your money. Unfortunately, most people want to make money themselves, and this is their primary objective when they tell you how to invest your money. Listen to other people's advice to get new ideas, but in the end you should know enough to make your own investing decisions.

3. You Invest in Things You Don't Understand
You hear that Bob has made a lot of money doing it, and you want to get in on the gravy train. If Bob really did make money, he did so because he understood how the investment worked. Throwing in your money because someone else has made money without fully understanding how the investment works will keep you from being wealthy.

2. You're Financially Afraid
You are so scared of risk that you keep all your money in a savings account that is actually losing money when inflation is put into the equation, yet you refuse to move it to a place where higher rates of return are possible because you're afraid that you will lose money.

1. You Ignore Your Finances
You take the attitude that if you make enough, the finances will take care of themselves. If you currently have debt, it will somehow resolve itself in the future. Unfortunately, it takes planning to become wealthy. It doesn't magically happen to the vast majority of people.
In reality, it is probably not just one of the above bad habits that has kept you from becoming a millionaire, but a combination of a few of them. Take a hard look at the list, and do some reflecting. If you want to be a millionaire, it's well within your power, but you'll have to face the issues that are currently keeping you from creating that wealth before you will have a chance to call yourself one.


Source: JF


3 TYPES OF PEOPLE WHO WILL NEVER SUCCEED IN LIFE



Read this interesting but teaching story about success.........

About a month or so ago, my son and I went out for a boy’s night out date to BJ’s Pizza. For some reason, our kids think it’s cool to go out with one parent, individually. They both begged us to go to the same place. So there we went… driving separate cars to the exact same place for dinner. Pretty lame to drive two cars and waste gas if you ask me. but that’s what they wanted to do. Then we were supposed to ignore ‘Mom and sister’ if we saw them in the restaurant. It was kind of a crack up. So my son and I went outside and got a table and watched a baseball game while we waited for our food.

My son is oblivious to most things–of course he is, he’s only 6. I, on the other hand, had the good fortune of my chair being backed up against some guy that was on a date with a girl. Since my son wasn’t talking to me much — he was coloring the[​IMG] menu — I was forced to tune into the conversation that was going on right behind me. It might have been the most interesting conversation I’ve ever heard… I’ll tell you about it later.

I believe that there are three types of people that almost everyone hates to be around, and for these reasons, these type of people seldom find success in their life. The people that fall into one or all of these categories spend a lifetime trying to figure out why nobody likes them. They demand that someone love them, pay attention to them, acknowledge them, or respect them. Then, when they come up empty handed, they are full of reasons why it is everyone else’s fault. Figuring out how to not fall into one or more of these categories is what I consider to be one of the largest predictors of success in this life. Here are those types of people with some tips on how to avoid becoming them:

1. People That Constantly Talk About Themselves
We’ve all experienced this before. You have a meeting with someone and you end up sitting there the whole time listening to the other person’s life story and to all of the reasons why this person is so awesome. Then they move on to their kids, and their grand kids, and the great grand kids they are yet to have. If you’re really lucky, you’ll even get to hear about how much money they make, their leadership callings, and about their recently fabricated golf score! When you get to the end of the meeting, your friend thinks the meeting went great and that you’re on your way to the bathroom to check if your ears are bleeding.

Most of us have probably been guilty of this a time or two, whether we’d like to admit it or not. It’s human nature for us to desire the honor and respect of others; and sometimes we see no other way to get that honor and respect but by forcing it into other people. We figure that no one will ever know how cool we are unless we tell them. You’d assume the people doing this most often are confident and even possibly conceded but, in reality, they are probably really insecure. In fact, the most insecure people are the ones that are the most guilty of this disgusting attribute.

Here is the truth: when you tell people how great you are, those people are listening to you and you may think they are interested, but internally they are begging for the torture to stop. It doesn’t do anything to improve their view of you. In fact, it might have the opposite effect. A long time ago someone asked Joseph Smith if the principle of self-aggrandizement is wrong and should we try to make ourselves look good to others. Listen to his answer: “It is a correct principle and may be indulged upon only one rule or plan… and that is to elevate, benefit, and bless others first. If you will elevate others, the very work itself will exalt you. Upon no other plan can a person justly and permanently aggrandize himself.”

Get interested in others and forget yourself, and you won’t need to tell people how cool you are. They’ll find out on their own…

2. People That Constantly Complain About Their Circumstances
These people always have something wrong with them. It’s their back or their leg or their feelings or anything really. It will be something new every time you see them. There is no end to their excuses and they are sure to tell you every single one of them on any and every given day you come in contact with them. David Swartz, author of “The Magic of Thinking Big” summed it up this way. “Go deep into your study of people, and you’ll discover unsuccessful people suffer from a mind deadening thought disease. We call this disease excusitis.” Complaining about a thing never made that thing better. The time that people take complaining could actually be used toward adding value to someone or something and thereby improving their own situation.

I’m not suggesting we discredit people’s physical, mental, and emotional maladies. Rather, we should help them understand that each of us suffer from one issue or another. It’s our perspective on life that dictates whether we are happy or miserable. We can derive happiness from no other source but from within. “The mind is its own place, and in itself can make a heaven of hell, and a hell of heaven.” (Milton) Napoleon Bonaparte had everything that worldly men would naturally crave. It was nothing to him. “I have known six happy days in my life” said Napoleon at Saint Helena. But then consider Helen Keller who was blind deaf and dumb. She went around saying, “I have found life so beautiful”. I have seen people in circumstances that would make even the strongest person shrink from fear… and yet those people are happier than they that seem trouble-free and taken care of.

If you know someone that complains about everything, you can remind them that it’s always better to “go and do instead of sit and stew.”

[​IMG]

3. People That Constantly Bad-Mouth Others
If you’re hanging out with someone that is bad-mouthing others behind their backs, you can bet that they are bad-mouthing you behind your back. Don’t be naive enough to think you’re the exception; and make sure that you do not get sucked into their trap. Remember that misery loves company and people that constantly bad-mouth others are always on the hunt for someone they can “bounce their ideas off of.” Maybe next time you hear someone doing this, or know of someone who has this weakness, you could remind them that “the devil flatters us that we are very righteous while we are feeding on the faults of others.”

Most people love to dwell on others weaknesses in order to try and make themselves look better, smarter, prettier, or richer than the person they are talking about. They do this out of covetousness or envy or because they are just downright mean. It does nothing and helps no one. It destroys and defames. It’s almost as these types of people are just sitting around waiting for people around them to fail so that they can pounce on them. Even if the person doesn’t fail, they will still find something bad to say about the person. And yet, who is the real loser when it is all said and done? I once heard that “the only disability in life is a bad attitude” and I’m starting to honestly believe that its true.

I told you that I’d finish my story about the guy that was sitting behind me and my son at BJ’s, so here it is… My son is busy eating his spaghetti and I am almost dying of laughter as I was able to hear almost every thing this guy was saying behind me. He perfectly embodied each of the three characteristics I listed above. The woman he was with just sat there silent as he went off for almost 30 minutes straight about how dumb his co-workers were and how smart he was and how under-valued he was at his job and how valuable he really is. And interwoven throughout all of his arguments was the fact that he was superior to almost anyone he came in contact with in business and in life. I almost wanted to turn around and get his autograph, but I restrained myself.

I can’t explain to my son right now what all of this means and why it was so funny for me to hear, but maybe he’ll read this at a later age and become the exact opposite of the guy at BJ’s that night. I have a sneaky feeling, based on what I was hearing him say, that success has always escaped him… and I have to wonder if he’ll ever figure it out.

The sad thing is this. Even if he read this article, he’ll probably not think that any of what was written here applies to him and he’ll go away doing the same thing over and over again, expecting people to love him, respect him, and give him that promotion at work. It just doesn’t work that way in life and you can see it time and time again. Forget yourself, never complain, and speak good of others and you’ll see a miracle take place in your life.

Friday, 26 February 2016

CHUO CHA MT.JOSEPH ARUSHA CHAFUNGWA RASMI,SABABU NI HIZI HAPA CHINI

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kukifutia kibali Chuo Kikuu cha Mt. Yosefu Tanzania (SJUIT), kampasi ya Arusha na kuwahamisha wanafunzi wote waliokuwa wanasoma katika kampasi hiyo kwa gharama za Chuo hicho.
Akieleza sababu za kufutwa kwa Chuo hicho,  Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini Prof. Yunus Mgaya amesema ‘Kwa muda mrefu na kwa wakati tofauti kumekuwapo na matukio ya migogoro baina ya uongozi wa Chuo na Wanafunzi, Kwa kipindi hicho chote tumekuwa tukifuatilia kwa ukaribu chimbuko la migogoro hiyo na kuchukua hatua stahiki
Kwa sehemu kubwa migogoro hiyo imekuwa ikitokana na matatizo ya ubora, Uongozi, ukiukwaji wa sheria na taratibu za uendeshaji wa Chuo hicho, Kutokana na hali hiyo, tunapenda kuuarifu Umma kwamba Tume imefuta kibali kilichoanzisha Kampasi ya Arusha ya Chuo Kikuu cha Mt. Yosefu Tanzania  (SJUIT)

Magufuli katoa masaa sita tu kwa Mawaziri na Manaibu kuamua kujifukuzisha kazi au kubaki,

Rais Magufuli atoa mpaka saa 12 leo jioni, Mawaziri 4 na Naibu waziri mmoja wawe wamerejesha fomu za maadili kwa Tume, wakishindwa watakuwa wamejifukuzisha
-Mawaziri hao ni Charles Kitwanga, January Makamba, Joyce Ndalichako, Agustine Mahiga na Luhaga Mpina.

DR.KIZA BESIGYE'S SPEECH,ITS MORE PAINFUL!!

Tonight, I feel like becoming a real "terrorist"! This is the effect of endless acts of impunity on the part of the Uganda Police. When the people assigned the responsibility of maintaining law and order become deliberate and arrogant law breakers, where does one turn to?
The day (Thursday 25th Feb 2016) started on a bright side, with a visit by my colleague Maj Gen (rtd) Benon Biraro, who shared a number of ideas on how our country could be put back on rails.
I was also expecting a visit from some Human Rights defenders, including Ms Maria Burnett of the Human Rights Watch. These visitors had come to see me the previous day but were blocked by the police at the barricade they erected on the driveway to our home. In spite of sending my aide to plead with the police (since I couldn't be allowed to get there myself), they were turned away after waiting for more than 2hrs. They were, instead, asked to come back today at 9am.
The Human Rights defenders, who arrived at the police blockade at 8.45am, eventually left about 10am without seeing me. After the usual lengthy "consultations", that involve talking to the top police commanders, my visitors were told that they won't be allowed to see me!
Shortly after 10am, some visitors, who hadn't informed me of their visit (a normal occurrence), arrived at the police blockade in a minibus from Kakiri, in our District of Wakiso.
As they inquired from the police whether they could be allowed in to see me, the goons that man the notorious police van UP 4860 sprung into action. They opened the minibus, pulled out two of the occupants and threw them into their van. The driver of the minibus quickly reversed and sped off with the other visitors.
At 11am, I made my attempt at leaving home for Najjanankumbi, our party headquarters. As before, I was told that I wasn't allowed to move out. When I insisted, I was arrested and pushed into the notorious van.
Here, I found two terrified men that were in immense pain. The van had a strong smell of pepper spray that immediately made my sore throat worse and affected my eyes. The two men informed me that they had been badly beaten and pepper-sprayed while in the van.
One of the men held in the van, named Jamilu Budde (whom I know) was crying with pain and holding his left arm in a manner that suggested he could have had a broken collar bone.
I pleaded with the "Commander" of the van, one Assistant Superintendent of Police (ASP) Kidandi to let me help Budde with First Aid and get him taken to the clinic, but this was denied. Instead, the two men were roughly thrown off the van and I was carried away alone.
After driving through Matugga, Kawempe, Mpererwe, Kisaasi, Northern Bypass, and Naalya, I was deposited in Kira Division police Hqs. This is where I stayed until I was given a bond and "released" at about 9pm.
I made it clear, like before, that if the reason they arrested still existed, then they should keep me in detention. Otherwise, once freed, I should be truly free and not expect the police to detain me at my home. As before, I was told that I'd no choice but to be taken back home.
I am now back home and, as before, detained there! I tried as much as I could, unsuccessfully, to demand that they take me to a proper (gazatted) detention place or let me free. My sore throat was worsened by the pepper spray I found in the van. I informed my captors about this and that I would do well to consult my physician. All this fell on deaf ears.
I have since found out that Mr Budde and his colleague, who were tortured and left on our home's driveway earlier, were later briefly held at Kasangati Police Station and later transferred to Kireka Police. Mr Budde hasn't had any medical attention that I am sure he badly needs.
This is the dilemma of leaving in a country governed by a rogue regime. This is the very reason I wake up early everyday to do something about it. I am confident that, by the Grace of God, we shall overcome.
One Uganda, One People!!

DADA WA KAZI ANAPOPATA SILAHA YA KUMKAMATA MKE WA BOSS,NISAIDIE KUMSHAURI DADA HUYU TAFADHALI

Mwaka jana mwishoni hubby na watoto walienda likizo kijijini kama utaratibu wa kila mwaka, nyumbani tukabaki mimi na msichana wa kazi, sikupewa likizo kazini, siku moja msichana wa kazi alinifuma na rafiki hapo nyumbani kwetu red handed na amelitumia suala hilo kama silaha dhidi yangu.

Kila Sunday huwa nampa ruhusa kwenda kanisani na nyumbani kusalimia, kwao ni hapa hapa mjini, huwa anaondoka asubuhi na kurudi jioni ya sa 6, hivyo rafiki yangu alinipigia simu kwamba tuonane hata kwa maongezi tu briefly, kwa kujua nipo alone home na kwamba ni maongezi mafupi nikamuomba rafiki aje nyumbani, kinyume na matarajio yetu tukashindwa kujizuia na kuanza romance ukumbini na baadae tukahamia bedroom kwa msichana wa kazi, niliona si vyema kutumia bedroom yangu.

Sijawahi kuelewa hadi leo kwanini huyu binti alirudi saa tisa badala ya jioni kama siku zote, ndani mwetu wote tulishagawana copy za funguo za geti dogo, hubby, mimi na hg, hivyo tukashtuka tu msichana wa kazi anafungua mlango na kuingia hivyo kutukuta kama tulivyozaliwa katikati ya suala lile.

Nilimgombeza sana kwa ukosefu wa adabu, maana badala ya kutoka nje akabaki humo anakodoa macho, then akatoka nje, nikajifunga khanga nikamfuata nikamuuliza kulikoni umerudi saa tisa? Hakujibu, hatukuongea kitu hadi kesho yake wakati naondoka kwenda kazini, nikaanza kumkaripia upya kuwa nisikie kasema chochote kwa mtu yeyote, cha kushangaza binti akaenda room na kurudi na begi lake kwamba anaondoka na atampigia simu daddy kumueleza alichoona, na hapo kanishikia kiuno, ikabidi nijishushe nimpigie magoti, nikambeleza sana na kumpa laki moja, akakubali kubaki.

Tangu hapo amekua mwiba mkali kwangu, mara leo aseme anataka smartphone namletea, kesho anataka laki, next day, laki mbili, vyote hivyo natoa kwa kuogopa kuvunja ndoa yangu, lakini zaidi ya yote, akimweleza hubby jambo hili ni wazi hata mimba hii anaweza kushtuka sio yake na ikawa shida kubwa kwangu.

Naombeni msaada kuhusu huyu msichana wa kazi nimfanyeje?Nimechoka kuwa mtumwa, maana suala hili ni tangu December last year hadi sasa, utii wake umepungua sana, ni dharau tupu na nikimuona na wenzie wa hapa mtaani nakua na hofu sana kuwa atawapa umbea.

Sijawahi kuisaliti ndoa, safari hii ni huyu rafiki ndio alinirubuni tukaanzisha uhusiano huu, nilishindwa kukataa maana ndie mpenzi wangu wa kwanza na wa mwisho kabla sijaolewa sijui tulianzishaje suala hili.

Nimesitisha uhusiano nae since January, ingawa ananisumbua, mimba sijamweleza hivyo hajui.

Naomba mnishauri jinsi ya kumaliza hili tatizo.

Nitashukuru.

HATUA KUMI ZA KUMCHAGUA MCHUMBA:


Vijana wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.
Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.
Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.
Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.
Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.

Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.
Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.

Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.
Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.
Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.

Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.

KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.
Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.

PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.

TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.

NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.
Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.

TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.
Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.
Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.

SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.
Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.

SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana

NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.

TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.

KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.

Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.

Karibu tuendelee kuelimishana

JEROME MMASSY

JESAM BLOGSPOT 


KIGOGO CCM AHUSISHWA NA WIZI WA MAKONTENA BANDARINI

Kampuni yake yahusishwa na ufisadi bandarini kwa upotevu wa makontena zaidi ya 3,000 yaliyotolewa bure bila kulipia ushuru bandarini.
Kigogo huyo mwenye nafasi ya juu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM anamiliki shiping line na bandari kavu (ICD) iliyopo barabara ya Nyerere.


Ntakuletea taarifa kamili hapa muda si mrefu.

JINSI YA KUWEKA VIPAUMBELE KATIKA MALENGO HADI KUYAFIKIA

 Kila mtu ili kuweza kufikia mafanikio ni muhimu kwake kujiwekea malengo. Malengo haya anayojiwekea huwa ni lazima kuyatimiza. Inapofika mahali ukawa ni mtu wa kushindwa kutimiza malengo yako mara kwa mara, hiyo inakuwa ni hatari na shida kwako kuelekea kwenye safari ya mafanikio. Jaribu kujiuliza pale unapokuwa hutimizi malengo yako huwa unajisikiaje? Bila shaka ni vibaya. Lakini hata hivyo pamoja na kujiwekea malengo hayo kuna wakati huwa tunajikuta tunakuwa tunamalengo mengi ambayo huanza kutuchanganya na kushindwa kujua tufanye lipi kwanza na tuache lipi. Kwa mfano, katika hali ya kawaida unaweza ukajikuta una malengo mengi zaidi ambayo umepanga na unatakiwa kuyatekeleza, hapo unafanyaje? Kwa kawaida malengo yanapokuwa mengi unakuwa huna uwezo wa kuyatekeleza yote kwa pamoja hata ungefanyaje?
 Hii yote huwa inatokea hivyo kwa sababu, kila lengo linakuwa linachukua muda na nguvu kulitekeleza hadi kufanikiwa. Hivyo malengo yanapokuwa mengi inakuwa siyo rahisi kufanikiwa kutokana na sababu hiyo. Kwa lugha nyingine hapo katika uwekaji wa vipaumbele chagua kile kilicho cha muhimu kuliko vingine vyote anza kukitekeleza. Kitu hicho kikishakamilika nenda kingine tena. Kwa kufanya hivyo utajikuta malengo yako yanatimia moja baada ya jingine na mwisho wa siku utajikuta malengo yote yametimia. Acha kubabaika na uzuri wa malengo mengine, ukishaweka kipaumbele, fata lengo moja tu, mpaka litimie. Acha kujifanya kutekeleza malengo yote kwa wakati mmoja hutaweza na itafika mahali lazima utakwama tu.
 Nguvu yako kubwa ya kukufanikisha hasa pale unapokuwa na malengo mengi ni kufanya lengo moja moja kwanza. Hiyo ndiyo siri ya ushindi ilioyopo katika uwekaji wa vipaumbele. Hivyo, watu ambao wataweza kuyapa vipaumbele malengo yao. Katika maana halisi na mtiririko mzuri ni wazi kuwa lazima watafanikiwa. Chukua hatua hii ya kuweka vipaumbele katika malengo yako ili ufanikishe, kufaulu na kusonga mbele kwa ujasiri. Tegemea mafanikio makubwa kama utatekeleza hili.

 Endelea kufuatilia blog hii kupata elimu juu ya Mambo mbalimbali yenye maslahi kwako na jamii yako,usisahau kushirikisha wengine!!

Thursday, 25 February 2016


BREAKING NEWS........AJALI MBAYA YA BASI HUKO SHINYANGA!!
Watu wane wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo  katika eneo la njia panda kuelekea wilayani Kishapu. 

Ajali hiyo imetokea leo jioni ambapo mashuhuda wa tukio hilo wameiambia Malunde1 blog kuwa gari ndogo ilikuwa katika mwendo kasi na watu wawili kutoka katika gari hilo akiwemo dereva amefariki dunia. 






LIPI JIPYA TOKA KWA MCHINA ALIYEPATA "A" TISA KATIKA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2015? ENDELEA NAYO HAPA;
Mara Nyingi Sana jina linaweza kuwa sababu ya wewe Kupenya ama Kukwama kwenye maisha. Baada ya matokeo ya Kidato cha Nne siku ya Jana Story kubwa ni Mchina aliye pata nafasi ya Pili kitaifa ambaye ni Mchina.

CongCong Wang ambaye amepata A tisa na B Moja Ya Kiswahili anasema Cong Maana yake ni Clever na Wang Maana yake ni King... So Jina lake lina maana Clever Clever King. Katika Mtihani wa Mock mkoa wa Dar alikuwa wa 2.

Alianza kusoma darasa la pili alipomaliza darasa la saba akaamua kuchagua NECTA badala ya Mfumo wa CAMBRIDGE sababu mfumo wa NECTA ni mgumu zaidi.

Kiswahili ni lugha yake ya 4 kujifunza anasikitika kupata B wakati MOCK alipata A.

Kati ya masomo aliyokuwa anafurahia zaidi ni somo la Historia ambalo mwalimu alikuwa anafundisha vizuri sana kama Movie.

Source: Clouds Media Group.




MSAFARA wa Waziri mkuu, Kassim Majaliwa umekumbana na nguvu ya wananchi pale uliposimamishwa  na wafanyakazi wa Bohari ya kuhifadhi dawa (MSD) walipomtaka asimame ili wamweleza shida wanazokumbana nazo kutoka kwenye eneo lao la  kazi.Anaadika KAROLI VINSENT endelea nayo.

Tukio hilo la aina yake limetokea leo Jioni maeneo ya Bohari ya MSD yaliyoko Mabibo Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam,mara  baada ya Waziri mkuu alipomaliza kupokea msaada wa Vifaa mbali mbali  vya Hospitali kutoka kwa muungaiko wa Kampuni za vinywaji nchini,

Ambapo kwa mujibu wa Mwandishi wa Fullhabari.blogs aliyekuwepo eneo hilo amesema hali ya hiyo ilianza kutokea kabla ya Waziri mkuu ajafika eneo hilo ambapo anaeleza kuwa kundi la wafanyakazi wa Bohari hiyo walikuwa wamekusanyika huku wakibeba mabango mbali mbali yenye ujumbe wa kueleza mambo wanayofanyiwa Boharini hapo.


Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...