Thursday, 25 February 2016
BREAKING NEWS........AJALI MBAYA YA BASI HUKO SHINYANGA!!
Watu wane wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo katika eneo la njia panda kuelekea wilayani Kishapu.
Ajali hiyo imetokea leo jioni ambapo mashuhuda wa tukio hilo wameiambia Malunde1 blog kuwa gari ndogo ilikuwa katika mwendo kasi na watu wawili kutoka katika gari hilo akiwemo dereva amefariki dunia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...
-
Kuna wakati fulani niliamua kwenda dukani pale mijini Dodoma katika duka la mfanyabiashara mmoja maarufu sana.Lengo la kwenda pale liliku...
-
Mithali 14: 1 “Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe”. Padre m...
-
Job Title: Accountant Organization: Tanzanite One Mining Limited (TML) Company Profile: Tanzanite, a blue/violet gemstone variety of zoisit...

No comments:
Post a Comment