Friday, 26 February 2016
DADA WA KAZI ANAPOPATA SILAHA YA KUMKAMATA MKE WA BOSS,NISAIDIE KUMSHAURI DADA HUYU TAFADHALI
Mwaka jana mwishoni hubby na watoto walienda likizo kijijini kama utaratibu wa kila mwaka, nyumbani tukabaki mimi na msichana wa kazi, sikupewa likizo kazini, siku moja msichana wa kazi alinifuma na rafiki hapo nyumbani kwetu red handed na amelitumia suala hilo kama silaha dhidi yangu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...
-
Kuna wakati fulani niliamua kwenda dukani pale mijini Dodoma katika duka la mfanyabiashara mmoja maarufu sana.Lengo la kwenda pale liliku...
-
Mithali 14: 1 “Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe”. Padre m...
-
Job Title: Accountant Organization: Tanzanite One Mining Limited (TML) Company Profile: Tanzanite, a blue/violet gemstone variety of zoisit...
No comments:
Post a Comment