Saturday, 5 March 2016

WALIMU MWANZA MBARONI KWA UBAKAJI


MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo jana aliamuru kukamatwa kwa walimu wanane wa Shule ya Sekondari Mihama katika Manispaa ya Ilemela kwa kosa la kukiuka maadili ya utumishi wa umma, kwa kutuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na baadhi ya wanafunzi wa kike wa shule hiyo.
Akizungumza shuleni hapo, Mkuu huyo wa mkoa alisema walimu hao wamedhalilisha taaluma ya ualimu kwa vitendo vyao hivyo.
Mulongo aliongozana na Ofisa Elimu wa mkoa wa Mwanza, Hamis Maulidi, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya na Mkuu wa Takukuru wilaya ya Ilemela, Debora Mlowe na Katibu wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mwanza(CWT), Said Selemu na Kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya ya Ilemela.
Kati ya walimu hao wanane, ni walimu watano ndio walikamatwa jana majira ya saa kumi na kuwekwa chini ya ulinzi na polisi, ambapo walifungwa pingu na kupandishwa ndani ya gari la polisi.

Waliokamatwa na kuwekwa rumande ni Mkuu wa Shule hiyo, Joseph Malifedha, ambapo Mkuu wa Mkoa alimuagiza Katibu wa Idara ya Utumishi wa Walimu mkoa wa Mwanza, Genzi Sahani kumvua madaraka yake ya ukuu wa shule mara moja.
Wengine ni Rodrick Urock, Denis Sanga, Edmund Boaz, Steven Samwel, aidha alimuagiza Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ilemela, Sweetbert Kisha kuwasiliana na polisi mkoani Tanga ili kuhakikisha kuwa mwalimu Abdallah Mweve aliyehamishiwa mkoani humo ambaye pia amehusishwa na tuhuma hizo anakamatwa mara moja na kurudishwa mkoani Mwanza.
Mulongo aliagiza pia kuwakamata walimu wawili, Yoeza Mzava na Joseph Ramongi waliohamishiwa katika Shule ya Msingi Sangabuye, ambao nao wanatuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi, jambo ambalo alisema ni la aibu kwa watumishi wa umma.
Alisema awali alifika shuleni hapo Januari 27 mwaka huu katika ziara yake ya kikazi na kupokea malalamiko hayo kutoka kwa wazazi na walezi wa wanafunzi hao, hali iliyomfanya kuunda tume mara moja kushughulikia tatizo hilo.
“Hili ni jambo la hovyo kabisa, walimu kwa mujibu wa Sheria ya Elimu ya mwaka 1978 kufanya mapenzi na wanafunzi ni kosa la jinai, hawa wote wawekwe chini ya ulinzi na ikithibitika wafikishwe mahakamani mara moja.”
Wakati huo huo, Mkuu huyo wa Mkoa alimuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Shule kuvunja mara moja bodi ya shule hiyo kwa sababu tangu iteuliwe mwaka 2013 haikuwahi kuitisha vikao vya shule, jambo lililofanya shule hiyo kutoitisha vikao vya bodi ambavyo ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya shule.

SUALA HILI MDAU ANALALAMIKA LICHUNGUZWE:

Naomba urejee taarifa kwenye vyombo vya habari, SIKU TANO ZILIZOPITA.


Waziri wako wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....




Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).


Naamini kuwa Waziri Mhagama kafanya maamuzi hayo baada ya kupata ruhusa toka kwa katibu mkuu kiongozi Ikulu, Ombeni Sefue ambaye amekuwa akituhumiwa kuwa anakubambikia majina ya watu ambao hawakidhi viwango vyako kama Eric Shitindi na Jenista Mhagama.


Pia tusisahau kuwa Katibu mkuu wizara ya kazi na ajira, Eric Shitindi ndiye aliyempigia chapuo huyu Mganda kupata kazi SSRA.


Kutokana na unyeti wa nafasi hii ya mkurugenzi mkuu NSSF, naamini kuwa OMBENI SEFUE, ERIC SHITINDI & JENISTA MHAGAMA hawana nia njema na Kipenzi chetu, Rais John Pombe Magufuli,PHD.


Ombi kwa Mheshimiwa Rais, wawajibishe hawa watu na wengine wote waliohusika kukuhujumu, kuhujumu nchi hii.


Mheshimiwa Rais tunakuomba uombe ma faili ya hawa watu watatu niliowataja (ERIC SHITINDI, OMBENI SEFUE & JENISTA MHAGAMA)


Ikumbukwe kuwa ulipoanza awamu yako ulikuwa hujagusa maslahi yao lakini leo ulipoanza kugusa maslahi yao wameamua kwenda kinyume na misimamo yako ya kuweka watanzania mbele.


Na kukumbusha tuu Mheshimiwa Rais, huyu waziri JENISTA MHAGAMA ulibambikiwa na haendani na viwango vyako kwa maana teuzi zako zilikuwa zimejaa watu wasomi waliobobea. Iweje leo umeenda kumteua JENISTA MHAGAMA kusimamia Wizara nyeti hii amabayo anapanga sera, mambo mambo ya bunge, kazi na ajira wakati hata degree moja hana.




Mheshimiwa Rais, ukitaka Ushaidi katika hili tafadhali mheshimiwa Rais wasiliana Katibu wa Bunge Ndugu Kashilila akupe mafaili na vyeti vyake vya elimu.

WAZIRI WA MAGUFULI ANASWA KATIKA KASHFA NZITO YA KIFISADI

Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.

MBOWE KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI DAKIKA CHACHE ZIJAZO RAD

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe leo atazungumza na Taifa kupitia mkutano wa waandishi wa Habari.

Mkutano huo wa waandishi utafanyika saa 6 mchana makao makuu Kinondoni Ufipa.

Kiongozi huyo mkuu wa upinzani nchini anatarajiwa kutoa tamko rasmi la maazimio ya Kamati kuu ya chama iliyokutana Machi 1

Tayari vyombo vya ndani na nje ya nchi vimealikwa kwenye mkutano huo na imetakiwa ifikapo saa 5 asubuhi waandishi wote wawe wamekaa kwenye nafasi zao.

Mwenyekiti huyo anabashiriwa mbali na mambo kadhaa lakini atatoa msimamo rasmi wa chama kuhusiana na hujuma ya watawala dhidi ya uchaguzi wa meya wa DSM.

Endelea kufuatilia Blog hii upate yale yatakayosemwa na Mbowe.


SAKATA LA ESCROW BADO BICHI KABISA; TRA WALIANZISHA NA TIBAIJUKA.CHENGE JE?

Hatima ya kesi ya Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka kupinga kuilipa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zaidi ya Sh500 milioni kutoka katika mgawo wa Sh1.62 bilioni zinazohusishwa na fedha zilizochotwa Akaunti ya Tegeta Escrow, itajulikana Machi 29, wakati Bodi ya Rufaa za Kodi (Trab) itakapotoa uamuzi.

Tarehe hiyo imepangwa na Makamu Mwenyekiti wa Trab, Hakimu Agusta Mmbando baada ya kukamilika kwa hatua ya usikilizwaji pande zote mbili kwenye kesi hiyo.

Profesa Tibaijuka alikata rufaa Trab baada ya TRA kumpelekea madai ya malipo ya kodi ya Sh586 milioni kutokana na mgawo wa Sh1.62 bilioni anazodaiwa kupokea kutokana na fedha zilizochotwa kutoka akaunti hiyo iliyofunguliwa na Shirika la Umeme (Tanesco) na kampuni ya kufua nishati hiyo ya IPTL kwa ajili ya kuhifadhi fedha za malipo ya ununuzi wa umeme wakati mzozo wao ukiwa mahakamani, lakini zikachotwa kwa njia ambayo ilizua shaka. Rufaa hiyo ilisikilizwa na Hakimu Mmbando Februari 17, 19 na 22 wakati Profesa Tibaijuka alipokuwa akitoa ushahidi.

Inadaiwa kuwa Profesa Tibaijuka, ambaye aliondolewa katika wadhifa wake wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na sakata hilo, aliwekewa fedha hizo kwenye akaunti yake na James Rugemalira, Mkurugenzi wa VIP Engineering & Marketing Limited iliyokuwa kati ya wanahisa wa IPTL.

Kutokana na mgawo huo, Desemba 31, 2015, TRA ilimtaka alipe kodi hiyo, baada ya kushindwa kufanya marejesho kutokana na mgawo huo.

Hata hivyo, alipinga madai hayo na kisha akakata rufaa Trab kupinga hatua ya TRA kumtaka alipe kiasi hicho cha kodi, pamoja na mambo mengine akidai kuwa hajawahi kupokea fedha hizo kutoka kwa Rugemalira.

Katika rufaa hiyo namba 22 ya mwaka 2015, Profesa Tibaijuka anadai kuwa makadirio hayo ya TRA ya malipo ya kodi ni kinyume cha Sheria ya Kodi na hakupaswa kufanya marejesho kwa kuwa hakupokea kipato chochote katika muda huo uliotajwa.

Akiongozwa na wakili wake, Dk Nshalla Rugemeleza wakati wa usikilizwaji wa shauri hilo, Profesa Tibaijuka alidai kuwa fedha hizo zilikuwa ni mchango uliotolewa kwa Taasisi ya Joha Trust, kwa ajili ya Shule ya Wasichana ya Barbro Johansson inayomilikiwa na taasisi hiyo.

Profesa Tibaijuka alidai kuwa yeye si mwanahisa wa taasisi hiyo, bali ni mmoja wa wadhamini na kwamba TRA ilipuuza ushahidi wake kuwa VIP ilitoa mchango kwa Joha Trust na yeye kama mdhamini alizipeleka Joha Trust kupitia Bank M.

Aliongeza kuwa TRA haikuzingatia ukweli kwamba Joha Trust na yeye ni vitu viwili tofauti, huku akisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni kwa ajili ya Joha.

Hata hivyo, wakili wa TRA, Noah Tito ilipinga madai ya Profesa Tibaijuka akidai kuwa utetezi wake hauna msingi kwani fedha hizo ziliingia kwenye akaunti binafsi ya Profesa Tibaijuka na siyo ya Joha Trust.

NAFASI ZA KAZI AFRIKA MASHARIKI




EAC QUALITY MANAGEMENT SYSTEM (QMS) FOCAL OFFICER (EAC/HR/2015-2016/012)


POSITION DESCRIPTION:

EAC Quality Management System (QMS) Focal Officer
(EAC/HR/2015-2016/012)

Our Client, The East African Community is a regional intergovernmental organization comprising the Republic of Burundi, the Republic of Kenya, the Republic of Rwanda, the United Republic of Tanzania, and the Republic of Uganda with its headquarters in Arusha, Tanzania.

The EAC mission is to widen and deepen economic, political, social and cultural integration to improve the quality of life of the people of East Africa through increased competitiveness, value added production, trade and investments. The attainment of EAC mission requires high quality of services that the Community offers to all stakeholders. The EAC Secretariat is r olling out a Quality Management Systems based on the ISO 9001: 2008.

Applications are invited from suitably qualified candidates who are citizens of East African Community Partner States (Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda) to apply for the following non-established position tenable at East African Community Secretariat, Arusha, Tanzania.

Organ / Institution: The Secretariat

Duty Station: Arusha, Tanzania

Job Grade: Equivalent to Professional Position

Job reports to: Deputy Secretary General (Planning and Infrastructure)

Job Purpose:
The overall objective of the EAC Quality Management System is to provide a structured environment for guaranteeing and enhancing stakeholder(s) satisfaction through enhanced efficiency and effectiveness of the Secretariat’s processes.

Duties and Responsibilities:
The EAC Quality Management System (QMS) Focal Officer perform the following functions:

Creation of awareness on the EAC Secretariat’s Quality Management System across the EAC Organs and Institutions;
Ensuring that processes needed for the EAC Quality Management System are established, implemented and maintained;
Monitoring and regular reporting to the EAC Management Review Meetings on the performance of the EAC Quality Management System, and recommending measures for improvement;
Planning and co-ordinating internal and external quality audits of the EAC Quality Management System;
Reporting to the EAC Management Review Meetings on the results of quality audits and ensuring implementation of the required corrective actions;
Regular review of the EAC Quality Management System to assess its continued suitability and areas of possible improvement;
Ensuring that measures for continual improvement of the EAC Quality Management Systems are identified and implemented;
Preparation of quality audit plans/schedules and ensuring compliance to the audit plans/schedules;
Identification, planning and budgeting for QMS related training and development needs and coordination of training and development programs;
Supervision of staff reporting to this position and ensuring timely and accurate completion of assigned tasks;
Coordination of roll-out of the EAC Quality Management System to other EAC Organs and Institutions;
Liaising with external parties on matters relating to the EAC Quality Management System as necessary; and
Carrying out any other duties as may be assigned from time to time.
Qualifications and Experience:
Academic and Professional Qualifications

At least a Master's degree in the fields of Business Administration, Operations Management Project Management, Organizational Development, or other related fields. A professional qualification as a Certified QMS Internal Auditor - Training at QMS Lead Auditor level will be an added advantage.

Work Experience

At least three (3) years’ experience in implementation of Quality Management Systems in a large organisation.

Skills and Competencies:
Good knowledge of the requirements of ISO 9001:2008 and ISO 9001:2015 Standards;
Excellent organisational, communication, analytical and presentation skills as well as strong interpersonal skills;
Good knowledge of Microsoft Office Packages and Visio Software; and
Proficiency in English and Kiswahili. Knowledge of French is an added advantage.
Education Qualifications and Relevant Working Experience:
Education Qualifications

All candidates applying must have qualifications that are recognized by the relevant national accreditation body in their respective countries. This condition is applicable for locally and internationally attained qualifications.

All professions that require registration with the specific professional bodies will be expected to do so in compliance with the requirements of their respective Partner States.

Relevant Working Experience

Internship, training, apprenticeship and clerkship will not be considered as relevant work experience.

Terms and Conditions of Service:
The above position is a non-established position tenable for an initial contract of one (1) year renewable subject to performance and availability of funds.

Fringe Benefits:
The post offers attractive remuneration.

Equal Opportunity:
The EAC is an equal opportunity employer; therefore, female candidates are particularly encouraged to apply. EAC will only respond to those candidates who strictly meet the set requirements


APPLICATION INSTRUCTIONS:

Interested candidates who meet the qualification and experience requirements for the above mentioned positions are advised to send their applications, detailed curriculum vitae, photocopies of academic certificates, names and contact details of three referees, and copy of National Identity Card, or Birth Certificate or Passport showing birth date. Please quote the respective reference number on both on the application letter and envelope. For electronic submission, please quote the respective reference number on the subject of the email and send to the address given below.

Applications should be submitted to the address below not later than Friday, 18 March 2016.

PLEASE NOTE

You may submit your application either electronically or in hard copy but not both.
Applications which do not: indicate nationality and age; the reference number; or have an application letter attached; have certified copies of their academic degrees and other professional Certificates ; or fail to provide three referees will be disqualified.
Only qualified candidates will be contacted
Please note that EAC does not require candidates to pay money for the recruitment process. All invitations for interviews will be done in writing

The Director,
Executive Selection Division
Deloitte Consulting Limited
10th Floor PPF Tower
Cnr of Ohio Street & Garden Avenue:
P O Box 1559 Dar-es-Salaam, Tanzania
Fax +255(22) 2116379
E-mail: esd@deloitte.co.tz
============

ACCOUNTS ASSISTANT (REF: EAC/HR/2015-2016/011) 

POSITION DESCRIPTION:

Accounts Assistant
(REF: EAC/HR/2015-2016/011)
Organ / Institution: The Secretariat

Duty Station: Arusha, Tanzania

Job Grade: Equivalent to Professional Position

Job reports to: Senior Accountant

Job Purpose:
This position will provide accounting and administrative support services to policy research and analysis relating to the EAC Policy Research Unit.

Duties and Responsibilities:
The Accounts Assistant shall perform the following functions:

Initiate preparation of payment vouchers as per the necessary approvals.
Verify payment vouchers;
Maintain ledgers;
Update payment records;
Post payment vouchers into the Sun System;
Reconcile daily, weekly/monthly accounts; and
Perform any other duties as may be assigned by the Senior Research Fellow from time to time.

Qualifications and Experience:

Academic and Professional Qualifications

A Bachelor’s degree in Commerce, Business Administration with specialization in Finance/Accounting from a recognized and accredited academic institution.

Work Experience

At least 5 years working experience in an accounting or financial environment.

Skills and Competencies:
Essential knowledge of Microsoft Office Applications and analytical computer programmes for social research;
Excellent verbal and written communication skills;
Attention to detail and ability to multi-task; and
High level of integrity.
Proficiency in English. Proficiency in French is an added advantage.
Education Qualifications and Relevant Working Experience:
Education Qualifications

All candidates applying must have qualifications that are recognized by the relevant national accreditation body in their respective countries. This condition is applicable for locally and internationally attained qualifications.

Relevant Work Experience

Internship, training, apprenticeship and clerkship will not be considered as relevant work experience.

Terms and Conditions of Service:
This is a non-established position tenable for an initial contract of one (1) year renewable subject to the performance and availability of funds.

Fringe Benefits:
This post offers attractive remuneration.

Equal Opportunity:
The EAC is an equal opportunity employer; therefore, female candidates are particularly encouraged to apply. EAC will only respond to those candidates who strictly meet the set requirements.

How to Apply:


APPLICATION INSTRUCTIONS:

Interested candidates who meet the qualification and experience requirements for the above mentioned position are advised to send their applications, detailed curriculum vitae, photocopies of academic certificates, names and contact details of three referees, and copy of National Identity Card, or Birth Certificate or Passport showing birth date. Please quote the respective reference number on both on the application letter and envelope. For electronic submission, please quote the respective reference number on the subject of the email and send to the address given below.

Applications should be submitted to the address below not later than Friday, 18 March 2016.

PLEASE NOTE:

You may submit your application either electronically or in hard copy but not both.
Applications which do not: indicate nationality and age; the reference number; or have an application letter attached; have certified copies of their academic degrees and other professional Certificates ; or fail to provide three referees will be disqualified.
Only qualified candidates will be contacted
Please note that EAC does not require candidates to pay money for the recruitment process. All invitations for interviews will be done in writing.

The Director,
Executive Selection Division
Deloitte Consulting Limited
10th Floor PPF Tower
Cnr of Ohio Street & Garden Avenue:
P O Box 1559 Dar-es-Salaam, Tanzania
Fax +255(22) 2116379
E-mail: esd@deloitte.co.tz
============

PROGRAMME ASSISTANT - AGRICULTURE & FOOD SECURITY DEPARTMENT (EAC/HR/2015-2016/043) 

POSITION DESCRIPTION:

Programme Assistant - Agriculture & Food Security Department
(EAC/HR/2015-2016/043)
The East African Community is a regional intergovernmental organization comprising the Republic of Burundi, the Republic of Kenya, the Republic of Rwanda, the United Republic of Tanzania, and the Republic of Uganda with its headquarters in Arusha, Tanzania.

Applications are invited from suitably qualified candidates who are citizens of East African Community Partner States (Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda) to apply for the following non established position tenable at East African Community Secretariat, Arusha, Tanzania.

Organ / Institution: The Secretariat

Duty Station: Arusha, Tanzania

Job Grade: G5

Job reports to: Principal Agricultural Economist

Job Purpose:
To provide effective and efficient general programme management and technical support services for the smooth running of the Agriculture and Food Security Department.

Duties and Responsibilities:
Provide general programme management and technical support services to the Agriculture and Food Security Department;
Provide support in the implementation of USAID funded programmes including the EAC-USA Agreement on Trade Facilitation, Sanitary and Phytosanitary Measures (SPS) and Technical Barriers to Trade (TBT) signed in February 2015;
Assist in documenting/report writing on projects and programmes (quarterly, semiannually and annually);
Provide the overall logistical support in the planning, organization and facilitation of internal and external meetings, training courses, conferences, workshops and events in liaison with the relevant professional staff of the Agriculture and Food Security Department;
Assist in preparation of calendar of activities for the Agriculture and Food Security Department; and
Perform any other duties as may be assigned from time to time by the supervisor

Qualifications and Experience:
Bachelor’s degree in Social Sciences, Business Administration, Development Studies or a related field.
A minimum of 3 years in programme/project administration in the public or private sector. Experience in working in a similar position in any regional/international organization will be an added advantage.
Skills and Competencies:
Strong interpersonal and communication skills
Excellent written skills
Excellent planning and time management skills
Sound judgment and ability to pay attention to details
Proficiency in office software applications, particularly word processing, spreadsheets, internet and PowerPoint
Fluency in oral and written English.
Education Qualifications and Relevant Working Experience:
Education Qualifications

All candidates applying must have qualifications that are recognized by the relevant national accreditation body in their respective countries. This condition is applicable for locally and internationally attained qualifications.

Relevant Working Experience

Internship, training, apprenticeship and clerkship will not be considered as relevant work experience.

Terms and Conditions of Service:
The above position is non-established position tenable for an initial contract of one (1) year renewable subject to the performance and availability of funds.

Fringe Benefits:
The post offers attractive remuneration.

Equal Opportunity:
The EAC is an equal opportunity employer; therefore, female candidates are particularly encouraged to apply. EAC will only respond to those candidates who strictly meet the set requirements.


APPLICATION INSTRUCTIONS:

Interested candidates who meet the qualification and experience requirements for the above mentioned positions are advised to send their applications, detailed curriculum vitae, photocopies of academic certificates, names and contact details of three referees, and copy of National Identity Card, or Birth Certificate or Passport showing birth date. Please quote the respective reference number on both on the application letter and envelope. For electronic submission, please quote the respective reference number on the subject of the email and send to the address given below.

PLEASE NOTE:

You may submit your application either electronically or in hard copy but not both.
Applications which do not: indicate nationality and age; the reference number; or have an application letter attached; have certified copies of their academic degrees and other professional Certificates ; or fail to provide three referees will be disqualified.
Only qualified candidates will be contacted
Please note that EAC does not require candidates to pay money for the recruitment process. All invitations for interviews will be done in writing

Applications should be submitted to the address below not later than Friday, 4th March 2016.

The Secretary General
East African Community
P. o Box 1096
Arusha - Tanzania.
Fax No: +255 27 2504255/ +255 27 2050281
E-mail: vacancies@eachq.org

HATUA ZA KUZUNGUMZA NA MPENZI WAKO ALIYEKASIRIKA: DUMISHA NDOA/MAHUSIANO YAKO



Hatua za kuzungumza na mpenzi wako aliyekasirika


Kwenye mapenzi kuna nyakati za kutofautiana, kukasirishana. Katika hali ya kawada kipindi hiki huwa ni za hatari kwa sababu husababisha nyufa kubwa za uhusiano na kulifanya penzi kukosa ladha kabisa.
Sote tunajua, watu hupigana, huachana, hujeruhiana, hutukanana, hudhalilishana wakiwa na hasira. Hata hivyo si wote wanaojua wafanye nini wanapojikuta wameingia kwenye hatua hiyo mbaya. 
Msomaji wangu, hebu jaribu kukumbuka ugomvi mmoja uliotokea kati yako na mpenzi wako na ikiwezekana jikumbushe mlivyoanza! Utabaini kuwa mlianza kama utani na mkajikuta mmefura kwa hasira, mkatwangana makonde, mkatamkiana maneno makali ya kuudhi na pengine mkaamua kuachana.
Yote hii ni kwa sababu mlikosa elimu ya mazungumzo. Ingekuwa mmoja wenu hasa yule aliyekuwa wa pili kukasirika anafahamu hatua za kuzungumza na mtu aliyekasirika angechukua jukumu la kutuliza machafuko na kuleta amani kwenye mapenzi. Tazama hatua hizi muhimu za kuzungumza na mpenzi aliyekasirika.
MPUNGUZE MHEMKO
Hasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano.
Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara za kutaka kumgeuza haraka haraka hawezi kumuelewa. Muhimu hapo ni kuacha kumwadama, kujibizana naye, kumshawishi asikilize badala yake mpe nafasi ya kusema atakavyo, abwate ajuavyo huku wewe ukimuitikia na kumkubalia lawama zake. “Basi mpenzi mwenye makosa ni mimi.” Kauli za aina hii zitampunguza hasira kwani atajiona mshindi.

MSOME SAIKOLOJIA YAKE
Kwa kuwa unamfahamu mpenzi wako kwa kina itakuwa rahisi kwako kumtambua kuwa amepunguza hasira na kurudi katika hali yake ya kawaida. Ukisha fahamu hilo chukua jukumu la kumsoma kisaikojia ili kujua kama yuko kwenye hali nzuri ya kusikiliza yale uliyotaka kumwambia wakati alipokuwa na hasira. 
Zoezi hili linaweza kuchukua saa kadhaa na wakati mwingine hata siku mbili. Lengo ni nini? Ni kupata matokeo sahihi ya kuondoa chuki za mwenza wako na kumfundisha madhara ya kukasirika kwenye uhusiano wenu wa kimapenzi. “J, nakupenda sana, lakini juzi uliniumiza, uliniambia mimi malaya kwa kosa ambalo sikufanya?” Bila shaka muda huo atakusikiliza zaidi kuliko ungebishana naye alipokuwa na hasira.
MRUHUSU AKUJIBU
Pamoja na kumsoma kisaikojia na kumwambia kinagaubaga makosa yake, usimzuie kujitetea, mpe nafasi ya kuzungumzia kilichomkasirisha. “Unaona bado unanitukana, sasa naamini siku ile ulikuwa umedhamilia.” Usiseme hivyo, mwache ajibu hoja hata kama atakuwa anakukandamiza na kuzidi kujijengea ushindi. Mvumilie aoshe ubongo wake.
EPUKA MARUMBANO
Kama nilivyosema hapo juu, wapenzi wengine huwa wagumu kuelewa, ni watu wa kuficha udhaifu wao na kutopenda kuonekana wamekosea. Watu wa namna hii unapowarejeshea mazungumzo wanaweza kujikuta wanahamaki tena. 
“Kwa hiyo ulikuwa unasemaje…nilifanya ndiyo,… wewe unaamuaje?” Mkifika kwenye alama hiyo usikubali kulumbana naye mwache aseme halafu wewe ingia kwenye hatua inayofuata.
MUOMBE MSAMAHA
Hata kama atakuwa yeye ndiye mwenye makosa na amekataa kukiri, usijali, chukua jukumu la kumuomba msamaha na kueleza tena nia yako ya kimazungumzo ilikuwa ni kuelewana si kugombana. Kumbuka hata kama amekiri kosa, bado unatakiwa kumuomba radhi kwa kurejea yaliyopita. “Mpenzi inawezekana nikawa nimekuudhi kwa niliyosema, nakuomba sana tusameheane.” 
Bila shaka kwa haya machache msomaji wangu utakuwa umejifunza na kuchukua hatua za kuzuia migogoro mikubwa inayotokana na hasira za mpenzi wako. Leo niishie hapa, nikushukuu kwa kunisoma na kama umeelimika basi wakaribishe na wengine kutembelea Blog hii waweze kujifunza zaidi.



Friday, 4 March 2016

KOREA KASKAZINI TAYARI KWA VITA MUDA WOWOTE

Kiongozi wa Korea ya Kaskazini amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiandaa kwa silaha zake za nyuklia kwa ajili ya kupambana na maadui.


Kiongozi huyo alisema wakati huu ambapo marekani inahamasisha vita kwa nchi nyingine wanapaswa kuziandaa silaha zao za nyuklia ili kuitetea north korea na uhuru wake.


Kiongozi huyo aliyasema hayo wakati akiwa katika shuhuli za kijeshi


Mpaka sasa haijulikani north korea imepiga hatua gani katika mpango wake wa silaha za nyuklia huku marekani wakiitaka korea ya kazkazini kuacha kuchochea uhasama wa kuchochea silaha za nyuklia.



Thursday, 3 March 2016

DALILI MUHIMU ZA MAPENZI KUNYAUKA



Wapenzi wengi ambao wamefikia hatua ya kuachana wameshindwa katika vipimo vya kitalaamu kuthibitisha ubaya waliokoseana, ambao unaweza kubeba uamuzi huo mzito wa kuvunja ahadi zao za kimapenzi na hata ndoa.

Kwa mujibu wa watalaam wa masuala ya ndoa na mapenzi inaelezwa kwamba wapenzi wanaoachana huwa hawana sababu za msingi, hii inatokana na ukweli kwamba wanaoachana hawafahamu kiini kilichowatenganisha katika makubaliano muhimu na ya kwanza kabisa ulimwengu ya watu kufikia hatua ya kupeana utu wao.

Inasemwa hivyo kwa sababu ukilinganisha matatizo yanayotenganisha watu hayabebi hoja zinazokubalika na wapenzi wote. Kwa mfano kama wapenzi watasema wameachana kwa sababu wamefunaniana na wakadhani hiyo ni sababu wanakuwa wanaudanganya zaidi umma kwa maana kuna wanaofumaniana, wanaodhalilishana, wanaotukanana, wasioheshimiana kabisa, lakini bado wanadumu katika ndoa zao bila kuachana.

Kwa ulinganifu huo, wachunguzi wa mambo ya ndoa wanasema, kuachana si zao linaloota na kukua kwa siku moja, bali ni migogoro isiyoshughulikiwa kwa muda mrefu ambayo huwaachanisha wanandoa taratibu bila wao kujua.

Kwa maana hiyo wanaoachana au watakaoachana wanatakiwa kufahamu kuwa safari yao ya talaka haianzi na kumalizika kwa siku moja, isipokuwa hufikia katika hitimisho baada ya kuwepo katika mwendo kwa muda mrefu, ambapo dalili zake huwa hizi zifuatazo:

1 : Ikiwa mmeoana na baadaye mkaanza kuonana ni watu msiohitajiana sana katika maisha. (mapenzi kuchuja). Kila mtu anafahamu kuwa wakati wa uchumba mapenzi huwa moto moto lakini baada ya kuoana hujitokeza hali ya kuanza kuzoea. Hii inatokana na ukaribu ambao mwanzo haukuwepo au kusitishwa kwa machimbezo yaliyokuwa yakiboresha uhusiano. Kwa mfano wapenzi wengi wanapokuwa kwenye uchumba hufanyiana mambo mengi yakiwemo ya kutumiana zawadi na kadi au kutoka pamoja kwa matembezi, lakini wakioana hujikuta hawafanyiani hayo, jambo ambalo huathiri mapenzi yao.

Uchunguzi unaonyesha kuwa wapenzi walio kwenye uchumba wanapokuwa pamoja hutumia muda mwingi sana kuongea kwa simu, kutumiana meseji, kuzungumza tofauti na mume na mke. Ukitaka kuthibitisha keti barabarani ukiona mwanaume na mwanamke wamo ndani ya gari hawaishi kucheka na kuzungumza wafuatilie utakuta mwisho wa safari yao wanaagana kila mmoja anakwenda kwake (ina maana si mume na mke hao). Ni nadra sana kuwakuta wanaume wakiwa pamoja na familia zao wakifurahi, jambo ambalo hupunguza upendo na kuleta mazoea na hisia za kutohitajiana sana. Hili halifai likiwepo ni ishara kuwa mapenzi yanakaribia kunyauka.


2 : Mkiwa hamsameheani na kusahau mnapokoseana. Si watu wengi ambao wako tayari kusamehe na kusahau makosa. Wapenzi wa dunia ya leo wakisema nimekusamehe haina maana wamefuta kosa bali hiliweka kando na kulikumbushia wakati mwingine. ‘Hili ni kosa la tatu tarehe fulani ulinifanyia hivi, wiki iliyopita na jana kulinijibu hivi hivi sasa leo siwezi kukuvumilia”
Kauli kama hizi hutoka kwenye vivywa wa watu ambao hawako tayari kusamehe, kosa la mwaka juzi litakumbushwa tena na tena na kuzidi kuchochea ugomvi hata uliokuwa mdogo na kuoneka mkubwa kwa sababu tu umehusishwa na makosa yaliyopita. Inashauriwa kuwa uhai wa mapenzi lazima uambatana na kusameheana kama wanadamu na kusahau makosa. Hili lisipofanyika ni rahisi kuua penzi na kuwafanya watu kuachana. Ni vema kila mmoja wetu akajichunguza tabia yake na kuacha kukumbusha makosa yaliyopita.


3 : Msipokubali kuwekeana mipaka ya kiutawala. Kuna suala linatambulishwa sana siku hizi na wanaharakati, linaitwa usawa wa kijinsia, jambo hili limekuwa likichangia sana migogoro ya ndoa hasa baada ya kutumiwa vibaya na wahusika. Hakuna ubishi mila za kiafrika zinaongozwa na mfumo dume, kuubadili mfumo huu kwa haraka kumekuwa kukiharibu uhusiano mwingi wa kimapenzi kutokana na ukweli kwamba ni wanaume wachache sana ambo wako tayari kuishi na wanawake wanaovutana nao kimamlaka.

Hivyo ili kunusuru hili lisiwe kikwazo katika mapenzi ninashauri kila mwanandoa kuheshimu mipaka yake na kujali zaidi utu na si usawa kama inavyotambulishwa (haya ni mawazo yangu). Watu wanaojali utu katika familia watakuwa tayari kuwapa heshima wanaoishi nao kwa kusikiliza mawazo yao na kutokutumia nguvu kuwakandamiza wengine. Ni vema mwanamke akachungua nafasi yake kwa mumewe na mume naye akamuheshimu mke kwa utu wake.


4 : Msipozungumzia vikwazo vya maisha.

Matarajio ya watu wengi wanapokuingia katika uhusiano wa kimapenzi huwa ni kupata faraja, ni wachache kati yao hufikiria kukutana na vikwazo vya kimaisha. Tafiti zinaonyesha kuwa wakati mtu anapotafuta mpenzi huamini toka moyoni kuwa akiwa na waridi wake matatizo ya upweke, kukosa msaada wa hili na lile yatakwisha lakini baadaye anakuja kubaini kuwa aliyokusudia kuyapata hayapati tena na hivyo kujuta kwa kauli kama hizi. “Kama ningejua kama mwanaume mwenyewe yuko hivi nisingekubali kuolewa.”

Kauli kama hizi mara nyingi hutokea kwa watu ambao hawazungumzii matatizo na vikwazo wanavyokutana navyo katika mapenzi na kuviondoa. Kama mpenzi wako ana matatizo unasubiri nini kuyatafutia ufumbuzi au kama maisha hayaendi sawa ukimya wa nini kwa mwenza wako, kaeni chini muambizane kuwa mnaupungufu wa fedha na dhiki kadha wa kadhaa, ili kama kutatokea kukosa mahitaji muhimu liwe ni jambo linaloeleweka na wote kuwa linatokana na kipato kushuka. Uchunguzi unaonyesha kuwa wanaume wengi wanapokukwama kiuchumi hupunguza matumizi kimya kimya jambo ambalo huwafanya wanawake wengi kubaki wakitumikia zana potofu kuwa huenda wananyimwa baada ya kuwepo kwa nyumba ndogo.

5 : Msipokuwa na mipango ya pamoja na uwazi wa matumizi ya pesa.

Nina ushahidi wa kutosha juu ya kuwepo kwa wapenzi hasa wenye kipato kutokuwa wawazi katika mipango yao ya kimaisha na matumizi yao pesa. Natambua baada ya kufanya uchunguzi wangu kuwa pesa za baadhi ya wanawake huwa hazina matumizi ya wazi, badala yake wanaume hubanwa kwa kisingizio kuwa wao ndiyo wana wajibu wa kutunza familia.
Hali hii imekuwa ikileta migogoro mingi sana kwenye familia na kushusha upendo kwa vile upande unaohudumia familia hapa haijalishi mume au mke huwa unajikuta ukikereka kwa kukosa msaada wa upande wa pili na hivyo kuondoa mapenzi ya kweli. Kama hilo halitoshi vijana wengi wa kiume siku hizi wamejikuta wakiahirisha mapenzi yao kwa wasichana baada ya kukosa ushirikiano wa kimapato na matumizi yake.

“Ninashida ya kuonana na wewe mpenzi wangu, vipi nikufuate kazini?” Jibu linakuwa “Hapana niko bize sana leo.” Inawezekana kabisa mtu akawa hayuko bize lakini kwa sababu anaogopa kukamuliwa kipato na yeye mambo yake hayako sawa anaamua kukacha ahadi. Lakini ukiwepo ushirikiano wa kimatumizi husaidia kudumisha mapenzi.
Inashauriwa kwamba kama wapenzi wote wana kazi na wanapokea mishahara ni vema vipato vyao vyote vikatumika katika kutunza na kuendeleza familia. Tabia ya mwanamke kumtegemea mwanamume kimatumizi huku yeye akitumia pesa zake kwa manunuzi ya vipodozi na nguo au kufanyia mambo yake kwa siri haijengi badala yake inanyausha mapenzi kama siyo kuyaua kabisa.

6 : Mkiacha kujaliana na kupeana haki katika tendo la ndoa.

Tendo la ndoa ni muhimu kwa wanandoa kwa vile linahusika na hisia za mwili. Matatizo mengi ya usaliti kwa mujibu wa uchunguzi, yanatokana na wapenzi kutotoshelezana wakati wa tendo la ndoa. Kwa kutokutambua madhara au kwa uzembe, wapenzi wengi wamekuwa wakiacha kutimiziana tendo hilo bila kuwepo kwa sababu za msingi. “Mimi nimechoka siwezi kufanya mapenzi.”
Inawezekana kweli mtu akawa kachoka sawa na kauli hiyo lakini sababu hiyo haiwezi kumfanya mwenza akazimaliza hisia zake, isipokuwa kwa kutafuta njia mbadala zikiwepo za usaliti. Sambamba na hilo wapenzi wengi wamenyausha mapenzi yao kwa kutokuwa wabunifu katika uwanja wa sita kwa sita kwa kutokujituma, kutobuni staili mpya, kutochombeza na kutohamasisha kwa chochote na kibaya zaidi kutokuwepo kwa usafi wa miili yao.

Kwa jumibu wa wataalamu wa masuala ya saikolojia, maisha na mapenzi, wanaume wengi wanalalamika kuwa wana upungufu wa nguvu kiume. Lakini wengi kati ya hao ambao mamia yao wameshawasaidiwa walijikuta wakipungukiwa nguvu zao kwa sababu za kisaikolojia zilizochochewa pia na udhaifu wa wenza wao. Kama utakuwa na mtu kwa mfano, ambaye mtakutana naye chumba kile kile, eneo lile lile, staili zile zile, kwa miaka mitano mfululizo bila shaka hali ya kukinaishwa itakuwepo na hivyo mapenzi kunyauka. Katika hili ni vema kujifunza zaidi namna ya kutoshelezana katika tendo la ndoa.

7 : Mkibeba fikra binafsi kwa kila mtu kutaka mafanikio yake.

Maisha ya wapenzi wengi yamekuwa yakipoteza maana kiasi cha kufikia kuchuja kutokana na wapenzi wenyewe kuwa na mawazo ya ubinafsi. Utakuta watu wameoana lakini kila mmoja anakabili changamoto za maisha peke yake, hali ambayo humfanya atumie nguvu kubwa kutafuta ushindi wa matatizo yake.

Mantiki ya maisha ya ndoa ni kusaidiana. ‘Mungu alimwambia Adamu kuwa atampatia msaidizi wa kufanana naye ambaye ni mwanamke aliyeitwa Hawa.’ Upo pia msemo usemao ‘Kamba ya nyuzi mbili haikatiki upesi’ Ni wajibu wa wanandoa kuhakikisha kuwa maisha yao yanakuwa ya nyuzi mbili ili yasikatike upesi. Lakini ikiwa kila mtu anajenga nyumba yake, anafanya biashara zake, ana mipango yake binafsi ujue mwisho mbaya wa mapenzi umesogea.

8 : Mkiwa watu wa kutoa siri zenu nje.

Upo udanyanyifu mwingi wa kimawazo miongozni mwa wapenzi wengi kiasi cha kudhani kuwa kumwambia rafiki au ‘shoga’ masuala ya ndani ya ndoa ni kutafuta suluhu ya matatizo. Hii si sahihi kwa vile upo ushahidi mkubwa juu ya wapenzi wengi ambao walijikuta katika wakati mgumu baada ya kutoa siri zao nje. Ifahamike kuwa ndoa imara ni ile inayoheshimika katika jamii, na heshima hiyo haiwezi kuwepo kama wanandoa hawatakuwa makini katika kutunza siri za mapenzi yao.

Haipendezi kwa mwanamke/ mwanaume kwenda kijiweni na kuanza kuanika mambo ya ndani kwa mfano. ‘Yaani leo mume wangu hakuacha kitu chochote ndani sijui itakuwaje. ‘Sema wanawake wote lakini si mke wangu, ana kasoro nyingi sana.’
Kauli kama hizi na nyingine ambazo zinatoa nje udhaifu wa maisha yenu hazifai, kwani katika kila ndoa kuna udhaifu mwingi ukiwepo ukimya ina maana wahusika wanaweka udhaifu wao kifuani kwa maslahi ya maisha yao. Na wewe uwe hivyo kwa kutunza siri za mumeo/mkeo.

9 : Msipokuwa wawazi katika kuzungumzia upungufu wa kibinadamu mlionao na kusaidiana.

Wapenzi wasomaji wangu, hakuna mwanadamu aliyekamili kwa asilimia mia moja. Ukimuona hodari wa hili ni dhaifu wa lile, kinachotakiwa ni kusaidiana katika kufikia ukamilifu. Faraja inayopatikana katika upungufu wa mwanadamu hasa usiokuwa wa kimaumbile ni kuwepo kwa utatuzi wake. Kuna wapenzi wengi wamefikia kuachana kwa kasoro ndogo ndogo kama za kutojua mapenzi, au hata uchafu wa mwili ambao kama wangekaa na kujadiliana pamoja wangepata ufumbuzi wa tatizo.

Inashauriwa kuwa kunapokuwepo upungufu wowote wa kati ya mwanaume na mwanamke ni wajibu wa wapenzi wenyewe kukaa chini na kuelezana wazi na kushirikiana katika kupata ufumbuzi. Unashindwa nini kumwambia mpenzi wako kuwa hakutoshelezi katika tendo la ndoa, ana harufu mbaya mwilini, mchafu, hajui mapenzi na mambo kama hayo! Kikubwa katika hili ni kujua namna ya kuwasilisha ujumbe, maana kuna wengine hawana lugha nzuri za mawasiliano “Yaani mke wangu unanuka sana mimi nakerwa sana” Ukisema hivi utamfanya mwenzako aone kama unamnyanyapaa. Tumia lugha nyepesi itakayosaidia kumaliza tatizo msikae kimya bila kuzungumzia upungufu wenu mtajikuta mnaachana.

10 : Mkiendekeza nguvu katika kutwaa madaraka ndani ya familia.

Kuna baadhi ya familia kila mmoja ni mtemi hakuna diplomasia katika kutatua migogoro. Utakuta mwanamke ni mbogo na mwanaume naye ni simba, basi shughuli inakuwa nzito. Ndoa inakuwa uwanja wa ndondi kila siku kutoana manundu. Hakuna mapenzi ya namna hiyo! Kanuni za mapenzi bora zinakataza wapenzi kutumia nguvu kutwaa madaraka au haki ndani ya familia. Inawezekana kabisa wewe kama mke/ mume ukwa na haki katika jambo fulani lakini haki hiyo haikupi fursa ya kutumia nguvu kuipata.

Kinachotakiwa katika mapenzi ni kuheshimiana, kwani katika hali ya kawaida utumiaji wa nguvu katika kudai haki ndani ya familia ni moja kati ya mambo yaliyoshindwa katika historia kuleta maelewano. Kama unadhani naongopa keti chini ujitathmini tangu umeanza kumchunga mumeo/mkeo na kumbana kwa ngumi umepata mafanikio gani, ameacha tabia yake au ndo anazidi? Umwamba haufai kutumika katika maisha ya ndoa kwa mtu yoyote awe mwanaume au mwanamke.

11 : Mkiwa watu msioheshimiana mbele za watu na kupenda zaidi kusema kuliko kusikiliza.

Nimeshuhudia wapenzi wengi ambao hawajui umuhimu wa kuheshimiana mbele za watu. Utakuta mwanamke/mwanaume akimwaibisha mwenzake mbele za watu kwa kumfokea, kumwita jina baya, kumtusi, kumtoa kasoro na hata kumdhalilisha. Kitendo hiki ni kibaya na maumivu yake hudumu kwa muda mrefu akilini mwa mtendewa.
Inashauriwa kwamba wapenzi wanapokuwa mbele za watu wachunge ndimi zao na wawe watu wanaopenda zaidi kusikiliza kuliko kunena. Inaelezwa, penye wingi wa maneno yapakosi kuwa na uovu. Kuna wanawake wakianza kuwatusi waume zao mpaka nyumba ya 50 wanasikia au wakati mwingine hutoka nje na kumwaga mitusi kana kwamba wameambiwa watapewa tuzo. Hiyo si heshima na hajawahi mtu kuheshimika kwenye jamii kwa uhodari wa kutukana watu.


12 : Msipokuwa tayari kukubali kosa na kujirekebisha.

Dalili nyingine ya mapenzi kunyauka ni kwa wapenzi wenyewe kuwa na tabia ya kutokukubali makosa na kujirekebisha. Utakuta mwanaume/,mwanamke ameshaambiwa mara nyingi na mwenza wake juu ya tabia zake na pengine hata marafiki zake wamemtahadharisha lakini habadiliki, kila siku anarudia makosa yale yale ambayo yanamuumiza mpenzi wake. Huu ni mwenendo mbaya, ubinadamu unamtaka kila mtu kuwa tayari kukiri kosa na kujirekebisa

13 : Msipokuwa watu wa kuitafuta furaha pale inapokosekana.

Wakati mwingine harakati za maisha huleta huzuni, kwa mfano, kama wanandoa watafiwa, kuuguza, kufukuzwa kazi, kupoteza mali kwa kuibiwa na matukio kama hayo huondoa furaha. Hapa inashauriliwa kwamba endapo furaha itaondoka kwa sababu yoyote wanandoa wanajukumu la kuitafuta. Hapa namaanisha kutiana moyo na kuwezeshana kusonga mbele wakiamini kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kuacha huzuni itawale nyumba yenu kwa muda mrefu hupunguza mapenzi.

14 : Msipozingatia kuombana msamaha bila kujali nani mwenye kosa.

Kuombana msamaha ni jambo la lazima kabisa katika ndoa, na busara inamtaka mwenza kuwa tayari kuomba masamaha hata kama anaona kabisa hakuna kosa la msingi alilolifanya mbele ya mwenzake. Kung’ang’ania kutaka haki kipindi cha kuzozana ni njia ya kuelekea kukosana zaidi na hatimaye kuachana. “Nakuomba unisamehe mke/mume wangu, najua nimekuudhi.” Baada ya kutoa kauli hiyo na mzozo kupoa mhusika anaweza kufafanua kilichotokea na hapo anaweza kueleweka zaidi kuliko kipindi ambacho mpenzi wake anakuwa na hasira.

15: Msipokuwa tayari kukumbushana wajibu na mwenendo wenu

“Atajijua mwenyewe siku yakimkuta ya kumkuta huko ndo atafahamu” “Mimi nimechoka nimebaki namwangalia tu.” Kubaki unamwangalia mpenzi wako anaharibikiwa si uamuzi wa busara kwani mwisho wa siku kama ni aibu itakufikia na wewe pia. Ukimuona mwenzako anakwenda nje ya mstari wa jamii mrejeshe na kuzidi kumkumbusha kila siku wajibu wake kama baba au mama wa familia, hii inasaidia kumuweka sawa mahali anapokosea.





Mshirikishe mwenzako kama umejifunza jambo atembelee Blog hii na ujifunza mengi zaidi.

ZANZIBAR BADO HALI TETE,UPINZANI NAO WABUNGE WASAKWA...BARUA HII HAPA SOMA...

Mpaka sasa wabunge wa upinzani waliokamatwa ni; Halima Mdee (Kawe), Mwita Waitara (Ukonga) na Peter Lijualikali (Kilombero), wote wa Chadema na baadhi ya madiwani wa chama hicho katika Jiji la Dar es Salaam.

Vilevile, imeelezwa kuwa Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea alikuwa anatafutwa kuunguanishwa na wenzake.

Pia, baadhi ya wanasiasa wa CUF Zanzibar wamekamatwa na kuhojiwa kwa madai ya kuwatusi viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ).
Viongozi wa CUF waliohojiwa na polisi mpaka sasa ni Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi, Omar Ali Shehe na Kiongozi wa Mkakati wa Ushindi, Mohamed Sultan Mugheir ‘Eddy Riyami’ ambaye yuko nje kwa dhamana.

Mbali na viongozi hao, Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Nassor Ahmed Mazrui jana amepatiwa barua ya wito na Polisi Zanzibarikielezwa kuna mambo yanamhusu.

Hii ni mara ya pili kwa Mazrui kuitwa polisi tangu kufutwa kwa uchaguzi wa Oktoba 25, huku CUF ikidai kuwa huo ni mwendelezo wa mkakati maalumu dhidi ya viongozi wa chama hicho.


A LETTER FROM INDIA TO TANZANIA

(This was originally written in Malayalam and appeared in Azhimukham.com )

To all my loving Tanzanian and other African friends residing in Bangalore, I write this from Kichakani in Tanzania with a sense of remorse, shame and disdain:

I arrived in Tanzania in February 2012. Since then Tanzania has been my home till date. A home so close to my heart that not even for a moment have I felt a tinge of home-sickness that would have propelled me back home to India.

Married to a spouse whose job as a night-manager here ensures that most nights I’m all alone in a land totally alien to me, not once have I felt scared or insecure. In our house in Namang where Swahili labourers dwell, the sense of
security I experienced on all the nights spent alone with Pachu is something which Kerala has never been able to give me.

In Ferry or in DalaDala or even in busy SabaSaba where there’s no place for even a needle to fall, no prying hands or legs have come my way trying to finger my body. Walking through deserted fields or muddy paths has never been a scary experience for me.

That’s the kind of security I experience here. Standing amidst this sense of security in Tanzania, I now write with a deep sense of anguish, pain, anger and humiliation at the growing sense of insecurity among African students residing in India.

India is the place where I was born and brought up. The recent incident involving the molestation of a Tanzanian student in Bangalore is the worst face of the inhuman racial prejudice with which many Indians have always treated and continue to treat people of African descent.

As an Indian, it is with a deep sense of guilt that I apologize wholeheartedly for the humiliation and the mental and physical trauma that you had to undergo.

It is not a mere coincidence that our African friends fell prey to unprovoked assaults at a time when the entire country is raging in its fight for justice over the death of Rohith Vemula who committed suicide at the Hyderabad Central University only because he was born a Dalit.

In 2014, African students from Gabana and Burkina Faso were attacked with iron rods carried by assailants shouting “Bharat Mata ki Jai” at the Delhi Metro Railway Station.

The hapless students were totally at a loss and couldn’t even react with the police present at the scene as mere spectators. A year ago, a mob led by the Delhi Law Minister with active support from policemen not even in their
official uniforms had waylaid a group of Nigerian and Ugandan students and showered them with racial abuses.

Nothing much happened other than a few mainstream dailies reporting on the
racial attacks persons of African descent face in India. The intensity of the racial attacks and humiliation that African students face in India sheds light
on the hypocrisy of the Indian populace. India is now becoming home to a social standard of life where fellow humans are treated as dirt and outcastes.

India has always been a place where a guest is always judged by his or her skin tone or caste. Even the types of plates on which the guests are served food are decided by these superfluous standards.

India is home to khap panchayats which decree the rape of girls or women as a deterrent for breaking age-old caste rules. She is home to grama panchayats which order the stripping naked of dalits and tribals and branding them as criminals for no fault of theirs.

She is ruled by people who endorse all such rulings by the khap or the grama panchayats citing tradition. India is also home to those who impale a protesting dalit or adivasi woman’s vagina with stones and mud.

India is home to a public conscience which roots for throwing an escaping victim who tries to board a bus back into the clutches of an irate mob out to
mete instant justice. She is home to scores of women who have to wait till night to relieve themselves due to lack of basic sanitation facilities, only to be
physically mauled and hung on the branches of a nearby tree.

India is the land of teachers who beat students to a pulp till such time they vomit, all for unknowingly eating from an upper-caste fellow-student’s lunch-box.
She is the land of honour killings where entire lower-caste villages have been torched in the name of loving an upper-caste girl.

The sad truth is that I harbour no false hopes of my India ever being able to treat its dark-skinned guests fairly when she is unable to be fair to her own dark-complexioned children.

I hereby express my unconditional support and understanding for all the humiliation, rejection and abuse that you, my dearest African friends, have to undergo in India.
It was just a while ago that Delhi had hosted a high-level political summit attended by all top African leaders. India which played big brother to all mutual growth and development Indo-African policies are responsible for all the African students residing in India.

They came to India reposing faith in her. At least now, I sincerely hope the government wakes up to its obligation in tackling and containing all the racial and inhuman attacks they are subject to.

In solidarity from Kichankani Library , Dar-es-salam, Tanzania
Somy Solomon

                  TAFSIRI
Kwa wote yangu upendo wa Kitanzania na marafiki wengine wa Afrika wanaoishi katika Bangalore, mimi kuandika hii kutoka Kichakani katika Tanzania kwa maana ya majuto, aibu na dharau:

Mimi aliwasili nchini Tanzania mwezi Februari 2012. Tangu wakati huo Tanzania imekuwa nyumbani yangu mpaka tarehe. nyumbani karibu na moyo wangu kwamba si hata kwa dakika moja kuwa nilihisi tinge ya nyumbani-ugonjwa kwamba ingekuwa drivs me kurudi nyumbani kwa India.

Kuolewa na mke ambao kazi yao kama usiku meneja hapa kuhakikisha kwamba nyakati za usiku mimi nina peke yake katika nchi ngeni kwangu, si mara moja kuwa nilihisi hofu au usalama. Katika nyumba zetu katika Namang ambapo Swahili vibarua kukaa, kwa maana ya
usalama mimi uzoefu usiku wote alitumia peke yake na Pachu ni kitu ambacho Kerala haijawahi uwezo wa kunipa.

Katika Ferry au katika Daladala au hata katika busy Sabasaba ambapo hakuna mahali hata sindano kuanguka, hakuna mikono prying au miguu wamekuja kwa njia ya yangu kujaribu kidole mwili wangu. Kutembea kwa njia ya mashamba ya faragha au njia matope haijawahi uzoefu inatisha kwa ajili yangu.

Hiyo ni aina ya usalama niliyoizoea hapa. Amesimama kukiwa maana hii ya usalama nchini Tanzania, mimi sasa kuandika kwa hisia za uchungu, maumivu, hasira na udhalilishaji katika akili ya kuongezeka kwa ukosefu wa usalama miongoni mwa wanafunzi wa kiafrika wanaoishi katika India.

India ni mahali ambapo mimi alizaliwa na kulelewa. tukio la hivi karibuni kuwashirikisha udhalilishaji wa mwanafunzi wa Tanzania katika Bangalore ni uso mbaya ya unyama ubaguzi wa rangi na ambayo Wahindi wengi daima huwafanyia na kuendelea kuwafanyia watu wenye asili ya Afrika.

Kama Mhindi, ni pamoja na hisia za hatia ambazo mimi kuomba msamaha kwa moyo wote kwa fedheha na kiakili na kimwili kiwewe kwamba alikuwa kapitia.

Sio bahati mbaya tu kwamba marafiki zetu Waafrika akaangukia mawindo ya mashambulizi yasiyokuwa ya kawaida wakati nchi nzima ni mkali katika mapambano yake kwa ajili ya haki juu ya kifo cha Rohith Vemula ambaye alijiua katika Hyderabad Chuo Kikuu cha Central tu kwa sababu alizaliwa Dalit(Mhindi mweusi) .

Katika 2014, wanafunzi wa Afrika kutoka Gabon na Burkina Faso walishambuliwa na viboko vya chuma na wauaji ambao walipiga kelele "Bharat Mata ki Jai" katika Delhi Metro Railway Station.

wanafunzi wasiyo na tumaini walikuwa kabisa katika hasara na hakuweza hata kuguswa na sasa polisi katika eneo la tukio kama watazamaji tu. mwaka mmoja uliopita, kundi la watu wakiongozwa na Waziri wa hseria Delhi kwa msaada hai kutoka polisi hata katika zao sare rasmi alikuwa waylaid kundi la wanafunzi wa Nigeria na Uganda na kuwaonesha ubaguzi wa rangi.

Hakuna kilichotokea zaidi ya magazeti ya kila siku chache tawala kutoa taarifa juu ya ubaguzi wa rangi mashambulizi watu wa asili ya uso wa Afrika nchini India. ukubwa wa mashambulizi ya kimbari na udhalilishaji kwamba wanafunzi Afrika katika India inaonesha juu ya unafiki wa wengi Hindi. India sasa ni kuwa nyumbani kwa kiwango cha kijamii ya maisha ambapo wanadamu wenzetu wanachukuliwa kama uchafu na tabaka la nje.

India daima imekuwa mahali ambapo mgeni ni daima kuhukumiwa na ngozi yake tone au tabaka. Hata aina ya sahani juu ambayo wageni ni aliwahi chakula ni aliamua na viwango hivi chepesi.

India ni nyumbani kwa Khap Panchayati ambayo ongezeko la ubakaji wa wasichana au wanawake kama njia ya kuzuia kwa ajili ya kuvunja umri wa miaka tabaka sheria. Yeye yupo nyumbani kwa bibi yake ambaye anaamrisha kuwanyofoaa uchi wahindi weusi na kuwatangaza kama wahalifu kwa kosa lolote yao.

Inatawaliwa na watu ambao kuidhinisha maamuzi yote vile na Khap au Bibi Panchayati akitoa mfano wa mila. India pia ni nyumbani kwa wale ambao wanwasingizia ushirikina Dalit(wahindi weusi) wakipinga au tupu ya mwanamke kwa mawe na tope.

India ni nyumba ya dhamiri ya umma ambayo mizizi kwa kutupa kukimbia mwathirika ambaye anajaribu bodi ya basi nyuma katika makundi ya kundi la watu wenye hasira nje ya haki papo. Yeye ni nyumbani kwa alama ya wanawake ambao wana kusubiri mpaka usiku kujisaidia kutokana na ukosefu wa mazingira safi, tu kuwa kimwili mauled na kujinyonga juu ya matawi ya mti jirani.

India ni nchi ya walimu ambao kuwapiga wanafunzi wa massa mpaka wakati huo wanatapika, wote kwa kutojulikana hula kutoka tabaka la chini la mwanafunzi mwenye sanduku la chakula cha mchana.

Yeye ni nchi ya mauaji ya heshima ambapo vijiji vizima chini ya tabaka wamekuwa kuchoma moto kwa jina la upendo wa msichana wa tbaka la juu.

ukweli kusikitisha ni kwamba mimi nafikiri hakuna matumaini ya uongo ya India yangu milele kuwa na uwezo wa kuwapa ngozi nyeusi wake wageni haki wakati yeye ni hawawezi kuwa wa haki kwa watoto wake mwenyewe weusi.

Mimi hili kueleza msaada wangu bila masharti na uelewa kwa udhalilishaji wote, kukataliwa na unyanyasaji kwamba, marafiki zangu wapendwa wangu wa Afrika, na kufanyiwa katika India.
Ni mara tu wakati iliyopita kwamba Delhi alikuwa mwenyeji wa ngazi ya juu ya mkutano wa kilele wa kisiasa na kuhudhuriwa na viongozi wote juu ya Afrika. India ambayo alicheza ndugu mkubwa kwa ukuaji wote kuheshimiana na sera za maendeleo Indo-African wanawajibika kwa wanafunzi wote wa Afrika wanaoishi katika India.

Walikuja India wakiwa imani ndani yake. Angalau sasa, mimi matumaini ya dhati ya serikali inaamka kwa wajibu wake katika kukabiliana na zenye uaguzi wote wa rangi na unyama mashambulizi wao ni chini ya.

ENERGY TO FUEL POVERTY REDUCTION


Energy to Fuel Poverty Reduction
Imagine life without energy. No energy to power a light bulb, mobile phone, or fridge. In fact, about 1.3 billion people -- 18 percent of the world’s population -- don’t need to imagine. That’s what life is like for them every day.

If we had to sum up history in one sentence it would be: “Life gets better -- not for everyone all the time, but for most people most of the time.” And one of the biggest reasons is energy. For thousands of years, people burned wood for fuel. Their lives were, by and large, short and hard. But when people started using coal in the 1800s, life started getting better a lot faster. Pretty soon we had lights, skyscrapers, elevators, air conditioning, cars, planes, and all the other things that make up modern life.


Without access to energy, the poor are stuck in the dark, denied all of the economic, social, and health benefits that come with power. So if we really want to help the world’s poorest families, we need to find a way to get them access to energy they can afford. And we need to do it in a way that doesn’t make climate change worse, because the poor are more vulnerable to extreme weather and other climate impacts than anyone else.

To produce much more cheap, clean energy, we must make better use of existing technologies, such as solar and wind. Even more important, we’re going to need a massive amount of research into thousands of new ideas. Today, the U.S. government is the largest funder of energy R&D, and yet we’re still woefully underinvesting. In fact, consumers spend more on gasoline in a week than the government spends on clean-energy research in a year!

To help trigger a big increase in R&D, I recently helped launch an effort by more than two dozen private citizens that will complement government research being done by several countries. Some of the crazier inventions that I'm excited about are a possible way to use solar energy to produce fuel, much like plants use sunlight to make food for themselves, and batteries the size of swimming pools with huge storage capacity.

Few of the crazy ideas will pay off. But we’re betting that within 15 years, scientists and engineers will develop big breakthroughs that will put us on a path to zero carbon emissions and make energy more affordable for everyone.

Source : Gatesnotes

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...