Friday, 15 April 2016

MALEZI HAYA NI HATARI KWA WATOTO


Wewe kama mzazi unapata faraja gani kuwa na mafanikio halafu familia yako ni mbovu? Familia haina amani, furaha na upendo? Wazazi wengine ni wabishi hawataki kukubali kosa kuwa wamekosea ili wabadilike na kuboresha familia zao. ‘Ubize’ wako hauna maana kama umesahau jukumu la malezi ya watoto wenu, wazazi wakishazaa tu wanaachia wasichana wa kazi ndio walee watoto au wengine wanawapeleka watoto kwa bibi zao ili walelewe wao hii sio haki kabisa, jukumu la malezi siyo la bibi na babu au dada wa kazi. Mafanikio yako, ubize wako hauna maana kama familia yako ni mbovu na watoto wako wameharibika kutokana na kukosa malezi bora.







Kwa hiyo, ni dhahiri kabisa adui namba moja katika malezi ya watoto ni mzazi au wazazi. Watoto wanahitaji kupata malezi kutoka kwa baba na mama, mtoto aonje upendo wa wazazi aone thamani ya kuwa na wazazi, acha kusingizia ubize na kutafuta sababu juu ya malezi ya watoto, acha kulea watoto kama vile bata anavyolea watoto wake. Bata anatangulia mbele yeye anawaacha watoto nyuma wala hana habari nao na wazazi wengine kweli wanawalea watoto kama vile bata anavyowalea watoto wao. Mpe malezi mazuri mtoto wako kama vile ndio siku yako ya mwisho hapa duniani, kama hujawahi kumwambia mtoto wako nakupenda mwanangu basi mwambie leo, kama hujawahi kumkumbatia mwanao mkubatie leo, kama hujawahi kumbusu mtoto wako basi mbusu leo afurahie uwepo wa mzazi wake hapa duniani. Changamoto za kidunia zipo lakini zisikufanye ushindwe kumlea mtoto katika malezi mazuri.
Wazazi wakikosa misingi imara na familia inayumba, huwezi kumpata mtu sahihi kama wewe siyo mtu sahihi ukitaka kumpata mtu sahihi basi kuwa sahihi kwanza wewe mwenyewe, ukitaka familia yako iwe bora, iwe sahihi kama wewe ni mzazi basi kuwa bora kwanza wewe na familia itakua bora. Huwezi kuiambia familia iwe bora yaani watoto wakati wewe mzazi siyo bora. Kuwa mfano kwa familia yako nayo itakua bora. Inasikitisha sana pale mzazi anapotengeneza hali ya ubinafsi mfano kuna wazazi wengine wanaangalia Tv chumbani hii ni kukwepa kukaa na watoto na kutengeneza chuki, wazazi mkipata nafasi ya kuangalia tv na watoto kaeni pamoja mzungumze pamoja, mcheke na mfurahi ndio raha ya familia, hata mkipata nafasi ya kula pamoja kuleni pamoja watoto muwaoneshe upendo wa kukaa mezani na kula pamoja siyo ukionana mtoto ni salamu tu na huna muda tena mtoto.
Shida ya malezi inaanza kwa wazazi wenyewe kama wazazi wamekosa kuwa na upendo wao wenyewe wanatengeneza mazingira ya hofu, chuki na visasi katika familia na hatimaye kuwagawa watoto. Watoto wote ni sawa tuwapokee kama tulivyopewa acheni tabia ya kusema mtoto huyu ni wangu na mtoto huyo ni wako wape haki sawa ya malezi watoto wote bila ubaguzi. Kuwapa watoto adhabu kupita kiasi na mtoto kutopewa adhabu akifanya kosa nayo ni hatari katika malezi, kuwapa watoto adhabu mbadala kama vile kumzomea mtoto, kumtukana unamwathiri mtoto kisaikolojia. Watoto wengine wanalelewa malezi ya ajabu katika familia na kufanywa wao ndio watawala wa familia anafanya chochote anachojisikia na mzazi hana kauli juu ya mtoto.

Dawa nzuri ni kubadilika tu kwa wazazi bila kuweka sababu na kujitambua kuwa jukumu la malezi ni la kwako na mtoto akiharibika mzigo unakua ni kwa wazazi hata ukiwa mtafutaji mzuri familia yako ikiwa ni mbovu mali zako zina faida gani? Kulingana na ubize huu unawafanya wazazi hata kuwapeleka watoto wadogo kabisa shule za bweni kwa sababu ya majukumu na kukwepa wajibu wao, ni hatari kwa mtoto kwani unamnyima haki ya malezi yake ambayo hawezi kuipata sehemu nyingine yoyote zaidi ya wewe mzazi. Pia kuwaanzisha watoto shule wakiwa na umri mdogo chini ya miaka 5 wanakadiriwa kuishi maisha mafupi ukilinganisha na watoto wanaoanza shule wakiwa na miaka 6 hii ni kulingana na tafiti zilizofanyika kwa miaka 80 kuanzia mwaka 1921 na ulianzishwa na Dr Terman utafiti huu upo katika kitabu cha The Longevity Project. Pia dini ina mchango mkubwa katika malezi ya watoto hivyo ni wajibu kuwafundisha watoto dini ili wawe na hofu ya Mungu katika maisha yao.
Kwa kuhitimisha makala hii, wazazi ndio kioo katika malezi ya mtoto na ili tuwe na jamii bora lazima tuwe na familia bora na msingi wa familia bora unajengwa na wazazi wawili. Baba na mama wakiyumba na familia nzima inayumba hivyo basi, wazazi wana mchango mkubwa sana katika malezi ya watoto

Tuesday, 12 April 2016

MADUKA YAMETEKETEA KWA MOTO USIKU WA LEO


Moto mkubwa umezuka na kuteketeza vibanda vya maduka zaidi ya 150 katika mji wa Kayanga wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera magharibi mwa Tanzania. Moto huo ambao ulianza Jumatatu majira ya sa 2:00 usiku umeteketeza mali na bidhaa za aina mbalimbali kama mchele, sukari, nguo, simu, pamoja na bidhaa zingine.

Gloria Kilio ambaye alikuwa akiuza vyakula vya nafaka, amesema stoo zake zote tatu (3) za nafaka zimeungua, “Stoo zilikuwa na magunia ya unga, mchele na sukari lakini vyote vimeteketea,” amesema Gloria huku akilia. Anasema wakati moto unatokea alikuwa tayari amekwisha kwenda nyumbani na kuwaacha wafanyakazi wake wakimalizia kufunga vibanda.

Wafanyabiashara wengi wanasema walikuwa na mikopo na wengi wao hawana bima ya mali zao. Jonasi Nyarugenda ni miongoni mwa wafanyabiashara hao: “Moto umeteketeza stoo zangu nne zenye bidhaa mbalimbali kama sukari, mchele, ngano na mafuta,: anasema Jonas na kuongeza, “kwakeli ukitathimini kwa haraka siyo chini ya milioni 45 zimepotea.” Amesema kwamba alikuwa hana bima katika mkopo wake wa milioni 20 kutoka katika benki.


BIBI HARUSI APEWA TALAKA SIKU YA HARUSI


Bwana harusi mmoja kutoka Saudi Arabia amempa talaka mkewe siku ya harusi baada ya kumuona uso wake kwa mara ya kwanza wakati mpiga picha alipotaka kuwapiga picha.
Maharusi hao kutoka mji wa magharibi wa Saudia,Medinah walikubaliana kuoana licha ya kutoonana uso 

kwa uso,swala ambalo ni utamaduni mkubwa wa mataifa ya mashariki ya kati.
Lakini wakati mwanamke huyo alipofungua kitambara alichokuwa amejifunika uso na kutabasamu katika kamera,mumewe alishtuka na kuondoka wa ghafla.

Kulingana na gazeti moja katika eneo hilo kwa jina Okaz,mwanamume huyo alianguka na kuzirai huku wageni waalikwa wakijaribu kuingilia kati ili kutatua kilichokuwa kikiendelea.

Hata hivyo Bwana harusi alisema kuwa hakuweza kumwona bi harusi kabla ya harusi yao gazeti hilo la Okaz liliripoti.

'' Si wewe msichana niliyetaka kuoa,si wewe kamwe niliyedhani '' kwa hivyo nakupa talaka''alisema bwana harusi.
Na alipompa talaka bi harusi naye alianguka na kuzirai na kuifanya harusi hiyo kuwa usiku wa majonzi---Chanz0 BBC Swahili




MARUFUKU KUWASAIDIA OMBAOMBA DAR

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku wananchi wanaotoa Pesa kwa Omba omba kando ya barabara kwa kuwa wanachangia uwapo wa watu hao huku baadhi ya watu wakiwatumia watoto hao kujipatia kipato kinyume cha sheria.

Akizungumza jijini Dar Bw.Makonda amesema kumekuwa na Ongezeko kubwa la watoto katika barabara kadhaa za jiji la Dar wakijihusisha na kuomba pesa huku wanaowatuma wakiwa wamekaa pembeni jambo ambalo ni kinyume na sheria lakini pia linahatarisha Usalama wa watoto hao.

Aidha amesema mkakati uliokuwapo kwa kushirikiana na Ustawi wa jamii, TAMISEMI pamoja na manispaa kuhakikisha kuwa watoto hao wanakusanywa na kuwekwa katika vituo maalum huku wanaohusika na kuwatumia kufanya kazi hiyo wakichukuliwa hatua.


Monday, 11 April 2016

Panama papers: Denials expose more than the original exposé



The leak once again reveals how states collude with private interests to protect the criminality of the powerful. Or how could journalists uncover the Panama Papers while states which carry on surveillance on millions of people, listen to billions of phone calls and read billions of e-mails were apparently unaware of the underhand dealings?




The denials issued after the exposure by the now-famous Panama Papers expose more about the world of property, its political power and power of its legal arrangements. The entire episode that has now got exposed is nothing but a confirmation of property’s power, its play with instruments called law, which is enacted only to secure property, and the ethical and moral standing, a zero from people’s point of view, the property holders hold on to. The historic revelations, biggest in the history of leaks, once again confirm earlier findings about super-rich.




The Panama Papers, the giant leak of documents, exposes offshore holdings of about 150 kings, crown princes, presidents, prime ministers, politicians, public officials, industrialists, bureaucrats, arms dealers, ganglords, businessmen, tea traders, jute giants, celebrities, film stars and players - all are players in the infamous world of property. The leak, a collective investigation by hundreds of journalists, specifically the International Consortium of Investigative Journalists (ICIJ), of more than 11 million records of about half-a-century, reveals the extent of big property holders’ use of shell companies to conceal their amassed wealth, launder money considered illegal even in the eyes of the laws their political arrangements enact, and their evasion of taxes with the help of “more than 214,000 offshore entities connected to people in more than 200 countries and territories”.




Who is not there in the asset-web? About a dozen current or former world leaders, more than 100 politicians and public officials, Prime Minister of Iceland and his wife, families and associates of Egypt’s Hosni Mubarak, Ukraine’s Petro Poroshenko, Pakistan’s prime minister, South Africa’s Jacob Zuma, a Chinese leader, a king and crown prince of a desert oildom, Argentine President Mauricio Macri, his father and brother, a father and son owning a sports marketing business in Argentina, six members of the House of Lords including a Baroness and life peer, three former British Conservative MPs, dozens of donors to UK political parties, David Cameron’s late father, hundreds of British individuals, a member of FIFA’s ethics committee, disgraced FIFA officials, 20 high-profile footballers and many more are there. Mexican drug lords and terror organizations are also there in the business. More than 500 banks including major ones have contributed to the “game”.




What’s not there? There are addresses, but not persons named in a few documents. There are over-invoicing and under-invoicing, spirit of liberalization, diversification of assets, promotion of “trade”, boosting of exports and earnings, payoffs ranging between 5 percent and 17 percent, for defense supplies including electronic warfare and intelligence systems, and assets of the super-rich. There are deals involving governments. There are masks and secrecy of information on real owners, secret shell companies, offshore accounts, cricket franchise deals, laundering of money, dodging of sanctions and evasion of taxes, profits from suspicious deals, and about 2,000 British firms including banks, law firms, and company incorporators working as “intermediaries” between Mossack Fonesca, the “noble” service providing Panama law firm and its clients. There are frauds. There are financial services to hide wealth, disregarding and misinterpreting of law, opening of bank accounts to keep commissions from government contracts, money made illegally, and offering of fake ownership records to hide money from the authorities: Use of “a natural person who will act as the beneficial owner”, whose “name will be disclosed to the bank.”




According to the ICIJ, a 2015 internal audit found that the Panama law firm offering the services knew the identities of the real owners of just 204 of 14,086 companies it had incorporated in Seychelles. “Ninety-five per cent of our work”, says a memorandum from a Mossack Fonseca partner, “consists in selling vehicles to avoid taxes”.




However, after all these “small” businesses, there are bold denials of any wrongdoing. A statement from Mossack Fonseca has defended its practices: “It is legal and common for companies to establish commercial entities in different jurisdictions for a variety of legitimate reasons, including conducting cross-border mergers and acquisitions, bankruptcies, estate planning, personal safety, restructuring and pooling of investment capital from different jurisdictions in neutral legal and tax regimes that does not benefit or disadvantage any one investor.”




The law firm in a statement to ICIJ said that it conducts “a thorough due-diligence process” [the “just 204 of 14,086” figure in the paragraph above should not disturb reader] before helping to incorporate companies. “In providing those services, we follow both the letter and spirit of the law. [Bravo law!] Because we do, we have not once in nearly 40 years of operation been charged with criminal wrongdoing,” said the statement. “We’re proud of the work we do, notwithstanding recent and willful attempts by some to mischaracterize it.” The company’s operation is, as is claimed, beyond reproach for decades. It says offshore companies available worldwide are used for legitimate purposes. “If we detect suspicious activity or misconduct, we are quick to report it to the authorities,” it said. “Similarly, when authorities approach us with evidence of possible misconduct, we always co-operate fully with them.”




In this “transparent” business conducted diligently, an intermediary law firm or a bank acts as a director or a nominee shareholder. So the real beneficiary remains hidden. So, there’s no wrongdoing, so there’s nothing criminal.




Leaders and officials have also responded with denials and outrage to the allegations raised against them: Use of secret offshore companies and accounts to hide billions of dollars. Their claim? The documents do not indicate illegal activity.




However, one official said the reports about him were “ridiculous” and “outrageous”. A spokesman for the Argentinian president said the president never had a stake in the company mentioned in the report. A spokesperson for a British Lord denied any wrongdoing and dismissed any allegations of his connection to Mossack Fonseca as “completely untrue.” A prime minister said he has not broken any rules and his wife did not benefit financially from his decisions.




So, it comes out: there is legal coverage, the persons reported to be involved are fair in the eyes of law; anonymous companies in offshore sovereign areas are not illegal; foreign investment laws carry legal gaps with interpretations and technical opportunities; shell companies and offshore accounts can be legally used to mask origin of transactions and ownership. So, law is in favor of money; or, money shapes law. And, law doesn’t hang from a void; state machinery is there to extend support to law.




Otherwise, how could a few hundred journalists uncover and check the present information named Panama Papers while states with their vast resources, surveillance and networks were unaware of the business for decades, while states carry on surveillance on millions of people, listen to billions of phone calls and read billions of e-mails? State machineries are not inefficient. Efficiency of these machineries is always evident in cases of ruling, invading, gagging, brutalizing. It turns blind and deaf whenever comes the question of surveillance on capital until that appears as harmful to its overall interest. Even, in that case, the machinery is manipulated. It’s the biased character of the machinery.




It’s not that this is the exposure for the first time. There were earlier exposures in countries including the “Offshore Leaks” and “Swiss Leaks” in India. The present leak is hitherto the largest data leak, larger than leaks by Edward Snowden and the WikiLeaks. How far progress has been made since the earlier leaks?




The biasness of the machineries can be clearly seen whenever a comparison is made between its behavior with the poor and with the rich in cases of implementation of laws it enacts. How many poor people have succeeded in evading taxes and to what amount? How was it in cases of the rich? How much capacity the poor have to evade law and taxes? Can they or their money travel to offshore companies? Can they float shell companies? Do the poor loudly announce their innocence? What’s it in case of the rich?




The Panama Papers and the following denials have exposed power of the rich, length of their hands, their tact in hiding their wealth, their love for non-transparency, giant banks’ modus operandi, and fear of the rich. They don’t like to let people know the facts of their property and power. Origin of their property is a most sensitive issue to them. Finding out a relationship between the acts and assets exposed by the Panama Papers and origin of resources tell the extent of brutality of capital involved. Lands and labor were appropriated, and the appropriated resources were amassed for quenching blood-thirst of a few. So, questions regarding origin of those assets expose a lot: a lot of lies, deceptions, thievery, appropriation and expropriation.

Bad governance, corruption and state capture:South Africa has a lot to share


If the South African political economy continues to be ‘privatised’ by large business, it will weaken the state through corruption and cronyism and undermine good governance and the rule of law. It will systematically deter new private investment, both foreign and domestic, and create obstacles to small and medium-sized enterprises, the backbone of any competitive economy.


In recent weeks we have been witness to a proliferation of media reports and press clippings about alleged corrupt relationships between the Gupta family and the state. For example, Andrew England writing in the Financial Timesclaims that the predatory relationship between capital interest and the state is not only a shady one, but is effectively the cause of state pillage. In this respect he alleges that the Gupta family has for all intents and purposes been responsible for ‘state capture’. He further argues that under these circumstances the Gupta family is increasingly portrayed “as a symbol of the malaise afflicting the nation”, especially in terms of wielding their influence over state officials and appointments and procuring government contracts.

In short, because of a lack of good governance, especially in terms of weakness on the part of the South African state to control its bureaucracy, contractual rights and rule of law, the Leviathan State is giving way to increasing commodification by large corporations. As a result, corruption and cronyism become the order of the day.

In this submission we argue that in South Africa as well as in other emerging economies the inextricable relationship between state bureaucracy and large corporates cannot be ignored in any critical analysis of corruption and cronyism. Good governance is key to the way in which the state interacts with capital for the greater benefit of society. 

Generally, when we read about state corruption in South Africa, we conjure up images of state bureaucrats extracting bribes from helpless individuals or a private firm in order that they can ‘facilitate’ some ‘important work’ to be done. In this context it would seem that the state is extracting a kickback for the selective benefit of some politician or bureaucrat. The flipside of this effect is when some large corporate or ‘family’ stage-manages the governance policy framework of the state for its own selfish ends. In contemporary South Africa and globally this is regarded as corruption of the most pernicious kind. It violates every tenet of democracy.

In the contemporary South African perspective, the alleged control of the state by a powerful business interest (the Gupta family) is regarded as the ‘privatisation’ or ‘commodification’ of the state or ‘state capture’. It is an objectionable situation when a business oligarch not only assumes but acts as if it has complete control of the state and manipulates decisions on behalf of the state, including the alleged appointment of an individual within its realm of influence to the position of minister of finance. This insidious situation has had many repercussions not only for the government and its leader, but perhaps, more importantly for the state of the economy and its poor world ranking. 

South Africa’s ‘state capture’ thus not only reflects on the quantum of corruption, but also on poor governance. It affects almost every facet of the state’s apparatus, including the violation of its contractual rights and rule of law. Consequently, the state has failed in its obligation to serve the majority of civil society and the business ecosystem.

In attempting to comprehend this sinister relationship between potent business interests and the state it is important to understand the means through which influential corporates act. Whilst most corruption is directed to tampering with the administration of existing laws and regulations, in the instance of ‘state capture’ business juggernauts attempt to influence and shape how those laws and regulations are formulated. Bribes are either tendered to members of parliament, for example, to procure their votes on important pieces of legislation or to government officials to enact favourable decisions in order that they can extract maximum financial advantage for themselves. In such a relationship, ‘state capture’ thus becomes a strategy for a firm to create a financial space of relative security and advantage for itself at the expense of all other competitive business interests.

Besides an impending downgrade of the economy by Moodys, what other negative impacts can South African civil society and the business environment expect as a result of state capture? Evidence suggests that when a state is susceptible to capture, foreign direct investment can amplify the problem, to the extent that international firms with local headquarters may be tempted into corruption when competing for public procurement contracts. They have the financial means to offer a larger quantum in bribes. The South African arms deal is a classic exemplar.

Equally, within the perspective of ‘state capture’ there are real challenges for the long-term development of the South African economy. It is highly unlikely that local emerging businesses will concentrate on competing in a warped economy through entrepreneurial spirit and innovation. They would rather spend their time, energy and entrepreneurial skills on capturing the state. Sadly, the distorted economy rewards those firms who are well connected to the bureaucracy of the state, and not those who show entrepreneurial promise.

If the South African political economy continues to be ‘privatised’ by large business interests, it will weaken the state through corruption and cronyism and undermine good governance and the rule of law. If unchecked, the captured South African state will systematically deter new private investment in the economy, both foreign and domestic, and create obstacles to the entry of small and medium-sized enterprises, the backbone of any competitive global economy.

In the interest of the future of our country’s economy and good governance, we need to purge the state of corruption and cronyism. Failure to do so will only result in a state that will perpetually be in a condition of capture and lend itself towards a slippery slope to economic decimation – an affront to our hard earned democracy. In order to prevent an exacerbation of the current South African privatisation of state, it behoves us as a nation to tackle the problem head on. It’s an imperative that we cannot simply ignore. As Finance Minister, Pravin Gordhan, said, “We need to wake up and prevent our country from being stolen”. We need to improve our governance structures and strengthen our legal and regulatory environment. The business sector likewise needs to oblige

UDANDAN ELECTIONS CONFIRMS THAT DEMOCRACY WAS SHIPED TO AFRICA



It is troubling that an electoral body that is unanimously declared grossly incompetent for noncompliance of electoral laws by the highest court in the land can still be deemed by the same court to have conducted valid presidential and parliamentary elections. The findings and the conclusions are a contradiction in terms.


On 31 March 2016, in a unanimous ruling, all nine Justices of the Supreme Court (SC) upheld the declaration by the Electoral Commission (EC) chairman Dr Badru Kiggundu of incumbent Mr. Yoweri Kaguta Museveni as validly elected president of Uganda.

The SC also found the EC grossly incompetent in managing the electoral process. The Court identified several instances of non-compliance with electoral laws. However, the Court proceeded to rule that EC’s gross incompetence and non-compliance with the electoral laws did not substantially affect the final result and subsequently declared that Mr. Museveni was validly elected despite the many flaws in the electoral process.

It is troubling that an electoral body that is unanimously declared grossly incompetent for noncompliance of electoral laws by the highest court in the land can still be deemed by the same court to have conducted valid presidential and parliamentary elections. The findings and the conclusions are a contradiction in terms.

Having determined that the EC conducted grossly incompetent elections and in violation of several aspects of electoral law, the SC should have ordered nullification of the entire electoral process and directed the holding of fresh elections. Specifically, the SC should have proceeded to direct: (a) the EC to show cause why it should not be disbanded and its members referred to the Director of Public Prosecutions (DPP) for investigations with a view to prosecution; (b) the first respondent (Mr. Museveni) to show cause why his declaration of election as president of Uganda should not be nullified and, (c) if the Court is satisfied that he may have committed electoral offences, Mr. Museveni should have been referred to the DPP to further investigate the matter. If prosecuted and found guilty, he should be barred from participation in future elections. There is no immunity from prosecution for electoral offences.

The reluctance of the SC to put effect on its findings of violation of the Constitution and electoral laws constitutes provocative acts and possible abuse of legal process. The SC failed Ugandans by shying away from its constitutional obligation in drawing the logical and only reasonable conclusion that the electoral process was so flawed that no reasonable court could accept the result as valid. The SC conclusion is apparently based on expediency. Support for, or bias in favour of, the National Resistance Movement (NRM) is not necessarily a patriotic act but an opportunistic undertaking that undermines efforts to build a constitutional democracy in the country. To understand why the SC let down Ugandans, it is necessary to briefly look at the context under which the presidential and parliamentary elections were conducted.

Before, during and after the February 18 presidential elections, the leading opposition candidate Dr Kizza Besigye was intimidated, harassed and detained by members of the security forces several times over. The Uganda Peoples Defence Force (UPDF) and Uganda Police Force (UPF), the two coercive state organs under the personal control of Mr. Museveni, were used by the NRM, not only to humiliate and detain Dr. Besigye, but also to intimidate other members of political parties opposed to the NRM. The harassments of Kizza Besigye extended to Mr. Mbabazi and his security team. For example, after a brief confrontation between NRM and Mr. Mbabazi’s political supporters, his chief of security was arrested by the UPF and then ‘disappeared’. As at the time of writing, application to produce Mr. Mbabazi’s chief of security in court (habeas corpus) is still pending. The Electoral Commission chairman Dr Badru Kiggundu did not intervene to protect Mr Mbabazi’s rights to freedom of expression and free movement or those of his political supporters during the election process.

Meanwhile, Mr. Museveni, and his political party, the NRM, continued to unlawfully and in violation of presidential and parliamentary electoral laws and norms, use state resources and other state institutions for his personal campaign as well as for NRM parliamentary candidates. The use of civil servants, allegedly to ‘explain government policies’ to voters, was summarily dismissed by the SC on the ground that it did not constitute abuse of civil servants or state institutions within the meaning of electoral laws. Similarly, Mr. Museveni’s promise, and subsequent distribution of hoes, to voters in West Nile region was dismissed by the SC, by explaining that Mr. Museveni and the NRM were simply implementing existing government policy of ‘wealth creation’. Actions of the NRM, as a political party contesting elections on the one hand, and those of government, on the other hand, were conflated by the SC in its ruling for the benefit of Mr. Museveni.

In their reports after the elections, national and international electoral observers, with the exception of the African Union (AU) and the East African Community (EAC), concluded that the elections were not free or fair, did not meet minimum international standards, and did not represent the views of the majority of the voters. The European Union (EU) was particularly critical of the EC. The EU criticised the EC for permitting the incumbent to use state resources for campaigns, including denying equal access to opposition parties and candidates to state media. Throughout the campaign period, Mr. Museveni continued to raid the national treasury for his campaign funds. All these acts are in violation of electoral law.

Supreme Court ruling is an act of provocation

Let us attempt to explain why the SC ruling, as articulated in the summary judgement, constitutes an act of provocation. First, it is unusual for all nine justices of the Supreme Court to think alike and have the same opinion on all twenty grounds raised by the petitioner. The least Ugandans expected from the SC are dissenting opinions from one or more judges. Nothing happened.

Second, it is intriguing why the SC did not believe in the petitioner (Mr. Mbabazi) and his witnesses but believed in the arguments of the respondents (Mr. Museveni, EC and AG) and their witnesses notwithstanding Dr. Kiggundu’s poor performance under cross-examination.

The petitioner and the respondents relied on different narratives of the same set of events. With respect to the petitioners’ narratives, the SC opined: “Such a scenario needs an explanation.” Yet, as regards the respondents’ narratives, the SC accepted the versions (first, second and third respondents) without further explanations. Hopefully, the SC reasoning will be provided when the full judgement is available and accessible to the public. The summary judgement does not address these issues.

Be that as it may, the practice of the SC in election petitions, based on the precedent of 2001 and 2006 judgements, suggests that each judge is expected to give their own individual opinion and reasoning as to whether what they have found substantially affected the final results. In the instant case, it is inconceivable that all nine justices were unanimous on every ground the petitioner raised before the SC. 

Thus, to reflect on possible reasons why the SC ruled in favour of Mr. Museveni, it is necessary to appreciate the context under which the Judiciary and other state institutions operate in Museveni’s Uganda. Since he seized power in 1986, most informed Ugandans agree that Mr. Museveni is a control freak and a bully. He micro-manages all aspects of state institutions and governance. Mr. Museveni directly or indirectly controls the UPDF, UPF, the various intelligence organizations, his own party, the NRM, and all state institutions through multiple offices that he holds. Businessmen and women operate in Uganda at the pleasure of Mr. Museveni. All top officials in Uganda are Mr. Museveni’s appointees and report directly to him or through his multiple offices.

Mr. Museveni also plays direct roles in the appointment and supervision of officials responsible for infrastructure developments, for example, roads and dam constructions; supervision of sale, or donation of lands, approval of tenders and contracts, awards of scholarships and general supervision of the civil service work and personnel. Most corrupt activities occur under his supervisions. Nothing gets done in Uganda without Mr. Museveni’s knowledge or approval. The micro-management of state institutions by Mr. Museveni extends to the Judiciary.

The Supreme Court and presidential election petitions

The conduct of presidential petitions before the SC has always been flawed and tweaked in favour of Mr. Museveni. It was in 2001 that Dr. Kizza Besigye first challenged Mr. Museveni’s election as president before the Supreme Court. The SC found that there was non-compliance with the electoral laws. The SC identified a number of irregularities but concluded that the non-compliance and irregularities did not substantially affect the result. Similarly, Dr. Kizza Besigye’s 2006 presidential petition was dismissed based on the ground that the non-compliance with the electoral law did not substantially affect the final result. The only difference is that in the 2006 ruling, three Supreme Court justices dissented and reasoned that Mr. Museveni’s election was unlawful.

Several attempts to reform electoral laws were blocked by Museveni through the use of NRM majority in the national parliament. The law remains tilted in favour of the incumbent.

Recognizing that the SC is fully controlled by Mr. Museveni, Dr. Besigye resolved not to petition the Supreme Court in future presidential elections. Thus, in 2011 and 2016, Dr. Besigye never went to court to challenge the results of the flawed elections.

In 2016, in particular, even if Dr. Besigye wanted to petition the Supreme Court as many independent observers believe he won the elections, he could not have done so because, throughout the relevant period, he was unlawfully detained by Mr. Museveni’s police, commanded by General Kale Kayihura, the Inspector General of Police. It is interesting that a day after the Supreme Court declared Mr. Museveni as duly elected president, and there is no appeal against the Supreme Court decision, the release of Dr. Besigye from unlawful detention was announced by Gen. Kale Kayihura. However, as at the time of writing, Dr. Besigye, after 40 days, is still under unlawful detention and his urgent application seeking release from detention is still pending before the High Court.

The very thought that his election as president could be nullified by the judges of the Supreme Court horrified Mr. Museveni particularly after 2006 petition when three Supreme Court judges dissented. Fortunately for Museveni, prior to the 2016 presidential elections, several vacancies became available in the Supreme Court. Justices George Kanyiehamba, John Wilson Tsekoko, Christine Kitumba, Galdino Okello and Chief Justice Benjamin J. Odoki, all by reasons of age, retired from the bench. Mr. Museveni then went on to choose judges he could depend on to deliver judgements in his favour under any circumstances.

While Mr. Museveni in his public statements and policy statements condemns sectarianism, nepotism and tribalism, in practice he has set the country in the path of disintegration by relying primarily on people from his home region. Western Uganda, a part of Uganda where Mr. Museveni’s home is located, has now evolved into a super and dominant state within the Ugandan state. It now rules the country. The top leadership of all state institutions are from western Uganda. This includes the Supreme Court.

In replacing the retired justices of the SC, six out of nine judges appointed by Mr. Museveni are from western Uganda. The other three judges, all believed to be devoted NRM cadres, are from the other regions of the country. Mr. Museveni’s appointments to the Supreme Court do not reflect the national character of Uganda as a state. The use of NRM cadres as judges of the Supreme Court undermines attempts to build a constitutional democracy.

To meet his objectives, although Mr. Museveni’s favourite judges who were selected have the requisite qualifications, it is also strange that senior justices with proven records who sat interviews conducted by the Judicial Service Commission (JSC), performed well and were recommended for Supreme Court appointment by the JSC, were passed over. These senior and experienced judges include Remmy Kasule, Solomy Balungi Bossa, and Stephen Martin Egonda-Ntende, to mention but a few. Apparently the only qualification these judges lacked is their respective ethnic backgrounds.

Absent major restructuring of all Uganda’s institutions, including genuine separation of power of the Executive, Parliament and the Judiciary, the country shall continue to hold sham elections under a one-man dictatorship. It is up to Ugandan citizens to change the current deplorable situation.


MJADALA MKALI; JE NI SAHIHI WANANDOA KUACHANA? SOMA HAPA HAPA

Katika Injili ya Luka 16:18 “Kila amwachaye mkewe na kumuoa mke mwingine azini naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.”


Nimesukumwa kulizungumzia suala hili zito: Suala la kuachana watu wawili waliokwisha kuoana, waliokwisha kukubaliana kuwa MKE na MUME. Maandiko yamesema hapo juu kuwa kila amwachaye na kuoa mwingine “AZINI”, na yule amwoaye yule aliyeachwa AZINI. Kwa hiyo katika mafundisho ya Kikristo yanayojengwa katika misingi ya Biblia,kuachana ni jambo lisilo ruhusiwa kimaandiko.Msingi wa haya unatokana na ukweli kwamba Mwanaume na Mwanamke waliooana wanahitajiana katika suala zima la kimaumbile.Hivyo kuachana kunatoa mwanya kwa kila mmoja kutafuta hitaji hilo la kimwili sehemu tofauti na pale ambapo paliahalalishwa.
Ukisoma Waefeso 5:33 “Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe, na mke asikose kumstahi mumewe”

Mpendwa, hebu tuendelee kujifunza kutoka kwenye Neno la Mungu. Wajibu wa MUME ni kumpenda mke wake kama nafsi yake(kama unavyojipenda). Suala hili ni gumu; ni agizo gumu, lakini aliyetuagiza anajua kuwa wanaume wataweza kumpenda mke kama mtu apendavyo nafsi yake. Mtu anapojikwaa mguu, kwa kuwa anaupenda mguu wake, haupigi, wala haukati, anaupuliza, anaushughulikia kama umeumia, hawezi kuuliza kuwa ‘ulikuwa unatembeaje mpaka ukajikwaa?’. Na MKE ameambiwa asikose KUMSTAHI mumewe. KUMSTAHI ni KUMHESHIMU MUMEWE. Kumheshimu kwa njia gani?
Jibu linapatikana katika kitabu cha Waefeso 5:22 “Enyi wake watiini waume zenu, kama kumtii Bwana wetu, kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili. Lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo, viyo hivyuo nao wawatii waume zao katika kila jambo”

Twende tukijifunza, ili ndoa zipone maana nyingi zimeoza, hazifai. Wamama wameambiwa wawatii waume kama kumtii Kristo,Tukumbuke kuwa Mwanaume ni kichwa. Sasa kama mume ni kichwa, ndiye anatakiwa kuongoza nyumba, kwa kuwa kichwani kuna- MACHO, MASIKIO, UBONGO, MDOMO, n.k
Naandika mambo ya kimaandiko, wamama wengi wamebomoa nyumba zao kwa mikono yao, pale walipojaribu kuongoza, wakidhani wanaweza. Kumbuka neno linasema kuwa Adamu aliishi bila Hawa lakini Hawa hakuwahi kuishi bila Adamu. Hawa alipoishi bila Adamu kwa dakika chache tu aliondoka akakutana na nyoka, wakati Adam hayupo pamoja naye, akajitahidi kuzungumza na nyoka akijibu maswali aliyokuwa anaulizwa, lakini alishindwa.
Biblia inasema katika 1Timotheo 2:13-14 “Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye. Wala Adamu hakudangaywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa, akaingia katika hali ya kukosa”

Biblia inaeleza wazi wazi kuwa Adam hakudanganywa. Aliyedanganywa ni Hawa. Sasa tuendelee kujiuliza: kama Adam hakudanganywa, ilikuwaje Ale tunda? Je, Alilazimishwa?;Na kwa nini alikula?Nilipokuwa natafakari mambo haya niliyaona kwa ndani zaidi. Utakumbuka wakati Bwana alipokuja ili akutane nao Bustanini, hakuwakuta, akamwita Adam na kumuulizaalikokuwa! Adamu akasema “nimejificha, kwa kuwa niko uchi”; akamuuliza “nani amekwambia kuwa uko uchi?” [au umekula tunda nililokukataza?] Adamu akasema “Mwanamke uliyenipa ndiye amenipa tunda nikala”.Sasa ona hapa, Je, Hawa alimlazimisha? Kwa nini alikula? Watu wengi wanasema kuwa Adam aliposema kuwa ni huyo mwanamke uliyenipa, alikuwa anamlaumu Mungu kwa kumpatia mwanamke. Hapana! Hebu nikufundishe kitu hapo kupitia kitabu hiki : Biblia inasema “Apataye mke apata kitu chema, tena hujipatia kibali kwa Bwana”

Sasa Adam alipojibu kuwa “ni huyo mwanamke uliyenipa” alikuwa akisema hivi: “Huyu mwanamke uliyenipa, najua hukunipa kitu kibaya, ulinipa kitu chema kabisa Ee Mungu wangu, na mimi kama mimi hajanikosea, amekukosea wewe. Na kwa kuwa wewe Mungu wangu ulinipa kitu chema basi sitakiacha, nitaongozana nacho kokote kitakakokwenda, sitakiacha. Wewe Mungu una uwezo, kwanza unajua kuwa ni chombo dhaifu, wewe ungeweza kukizuia kabisa kisile tunda lakini ukakiacha kikala, basi nakufa nacho!”.Alipomaliza kusema hayo akalipokea tunda kwa hiari yake, akala na akajua sasa hawawezi kumuona Mungu wakiwa na hali hiyo; wakakubaliana waondoke shambani.
Sababu nyingine iliyofanya ale ni kuwa alijua kuwa yeye Adam aliishi bila Hawa na wala hakuomba Mungu ampe mke, ni Mungu tu alisema “si vema sasa uwe peke yako nitakufanyia msaidizi”, na akamfanyia wa kufanana naye, yaani alimfanyia mwili wake, sasa mwili wako utaukataaje uutupe? Akajua kuwa UBAVU wenyewe hauwezi kuishi bila kichwa, ndio maana alisema basi nitaendelea kuwa na ubavu huu.Kwa msomaji mzuri wa Bibblia unakumbuka hadithi ya Ruthi katika kitabu cha Ruth 1:16-17 “Naye Ruth akasema, usinisihi nikuache, nirejee nawe, maana wewe uendako nitakwenda, nawe ukaapo nitakaa watu wako watakuwa watu wangu, pale utakapokufa nitakufa nami, na papo hapo nitazikwa. Bwana anitende hivyo na kuzidi, ila kufa kutatutenga wewe na mimi”

Huyo ni Ruth alipokuwa anamwambia mama mkwe wake, wakati amemsihi aondoke kama Olpa alivyofanya. Ndugu zangu nazungumza habari za KUACHANA, siku tulizonazo, limekuwa ni tatizo kubwa katika maisha ya wana ndoa wengi,Sio kwa Mapadri,sio wachungaji au hata Mashekhe wasiokuwa na mlolongo wa mashauri ya wanandoa kutaka kutengana. Na wengine maombi yao yamekwama hayajibiwi kwa sababu ya ndoa zao.Ukisoma kitabu cha 1Petro 3:7 kinaandika“Kadhalika nanyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu, na kama warithi pamoja na neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe”

Neno linasema wazi wazi kuwa mume ukae na mke wako kwa akili. Unaona hiyo? Kukaa na mke inatakiwa akili itumike. Je, Ni akili ya namna gani? : Kuwa ni chombo kisicho na nguvu, japo wakati mwingine wanajitutumua kana kwamba wana nguvu, lakini Biblia inabaki pale pale kuwa ni chombo kisicho na nguvu, ya kwamba mume umpe mke Heshima. Kumpa heshima ni kufanyaje?
Hayo yote tuyaangalie vizuri maana ndiyo yanayoleta matatizo iwapo mmoja atashindwa kutimiza wajibu wake. Unajua kama madereva wote wangefuata sheria za barabarani, hakungekuwa kunatokea ajali barabarani na kama zikitokea basi zingekuwa chache sana, pale panapotakiwa ku “keep left”, mwendo gani unatakiwa hapo, wakati gani umpite mwezako aliye mbele, wakati gani usimame n.k!1 Petro 3:1-6 “Kadhalika nanyi wake watiini waume zenu, kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile neno. Wakiutazama mwenendo wenu safi na wa hofu. Kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje, yaani kusuka nywele, na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi, bali uwe utu wa moyoni, usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika, yaani roho ya upole, na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu. Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumikia Mungu, na kuwatii waume zao,kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana. Nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa kwa hofu yoyote”

Bunge limebana matumizi limeokoa hizi bilioni ambazo zimerudishwa kwa watanzania

April 11 2016 Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania, John Pombe Magufuliamepokea taarifa ya taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ‘Takukuru’ na hundi ya shilingi bilioni sita zilizotolewa na Ofisi ya Bunge baada kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana matumizi yasio na Tija ili fedha hizo zikanunulie madawati kwa ajili ya wanafunzi.

Mambo Mawili (2) Yanayotukwamisha Kufikia Malengo Yetu.



Posted: 11 April 2016 05:41 PM PDT
Yapo mambo mengi ambayo umekuwa ukiyaona au kuyasikia ambayo yanakufanya usonge mbele au kurudi nyuma katika safari yako mafanikio. Jambo la msingi ni jinsi gani ambavyo unachukulia mambo hayo katika kuoziona fursa katika eneo lako unaloishi. Lakini katika makala ya leo tunakwenda kujikita zaidi kwa kuangalia mambo ambayo yanatufanya tuzidi kuwa wanyonge na kuona mafanikio ni ya watu wachache.
Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayotukwamisha kufika malengo.
JAMBO LA KWANZA.
Kusemwa na watu juu ya jambo lako. Tunashindwa kufika malengo makubwa kwa sababu , sisi wenyewe ni kikwazo katika baadhi ya mambo ambayo hayana msaada wowote wa kimafanikio kwa watu wengine. Wapo baadhi ya watu wapo kwa ajili ya kuona watu wengine hawasogei mbele kimafanikio . Wao wamekuwa na maneno ya kuwakatisha watu wengine tamaa kwa kuwaambia wahusika maneno ambayo hayawajengi bali yanawarudisha nyuma. Mfano leo hii anamwambia mtu unataka kufanya biashara fulani, mtu huyo atakwambia hataweza kufanya jambo hilo kwa kuwa hufanani na kitu hicho unachotaka kufanya.
Wapo baadhi ya watu ukiwashirikisha mambo yako wao huchukua hatua ya kuwashirikisha watu wengine na kuwambia fulani anataka kufunya jambo fulani. Lakini jambo la msingi la kuzingatia ili kuona unapata faida katika jambo lako unalofanya hakikisha maneno ya watu wanayokusema yanakupa hamasa za kiutendaji na kuongeza juhudi ili kupata faida kubwa.

JIAMINI KWA KILE UNACHOKIFANYA.

Mfano wewe ni mfanyabiashara watu wanakusema wewe unafanya biashara kwa njia za ushirikina au maneno mengine yanayofanana na hayo achana na maneno hayo bali songa mbele kwa kuziona fursa za jambo lolote ili kupata faida kubwa. Watu wanapozidi kukusema wewe unazidi kufanikiwa zaidi.
JAMBO LA PILI
Kusubiri kuambiwa ufanye jambo fulani. Hili ni jambo linalotukwamisha sana katika safari ya mafanikio. Watu wengine tunapenda kufanya mambo ya kimafanikio kwa kuambiwa na mtu mwingine. Wengi tunasubiri kuambiwa fanya hiki au fanya kile. Katika safari ya mafanikio ukisubiri kuwaambiwa na mtu fanya hiki au fanya kile kwa upande wako mafanikio yatakuwa ni ndoto tu.
Mfano wewe ni mwanafunzi unasubiri mwalimu wako mpaka akuambie kasome kitu fulani au wewe ni mfanyabiashara unasubiri mtu akwambie boresha ofisi yako ili kuongeza wateja ila wewe kwa akili yako hata siku moja hujawahi kujipa kazi za kufanya au kujiuliza ufanye nini ili kuboresha biashara. Kimsingi kufanya hivi ni sawa na kumfunika nyoka kwenye tenga ili asitoke.
Ewe msomaji wa makala haya ili kuona unafanikiwa kwa kiwango kikubwa hakikisha kwa kila jambo unalolifanya usisibiri mtu fulani akwambie ufanye bali kuwa na akili ya kujiongeza. Kufanya hivi kutakufanya kuongeza ufanisi wa kiutendaji na kupata kile unachokihitaji.


Karibu tujifunze zaidi

Umuhimu Wa Kujenga Mahusiano Bora Na Watu Wengine.


Binadamu ni viumbe ambao wana mizunguko mingi katika siku zao za kuishi hapa duniani. Binadamu hao hao hukutana na jamii za watu tofauti tofauti katika shughuli mbalimbali za kusaka Mafanikio kama vile mashuleni, kwenye semina mbalimbali na sehemu nyingine mbalimbali.

Binadamu hawa pamoja na kukutana kwako, ni watu wachache hutambua thamani ya kukutana kwako. Hebu tujiulize swali dogo tu, rafiki zako ulikuwa unasoma nao hata kucheza nao leo wapo wapi? Unajua wanafanya nini? Je ni wazima bado au walishafariki siku nyingi na wewe huna taarifa?

Nakumbuka sana enzi za utoto hasa katika mahafali yangu ya darasa la saba moja ya nyimbo ambazo tulizimba, nakumba tuliimba ya kuwa milima hakikutani ila binadamu hukutana, niliamini sana kwa kwa miaka ya mbeleni kuwa siku moja nitakuja kukutana na watu niliosoma nao lakini mawazo yangu hadi leo sijaona yakiitimia.



JENGA MAHUSIANO MAZURI NA WENGINE


Maana yangu ni kuwa huenda niengejua wale nilikuwa nasoma nao, ningejua walipo na wanafanya nini, ningesonga mbele kimafanikio au lah!

Tuachane na hayo maana kila nikiwaza sina majibu, lakini jambo la kuzingatia mimi naamini kila binadamu wakikutana sehemu yoyote ile kuna sababu, ila wengi wetu bado hatujalitambua hilo. Kwa mfano leo hii umekutana na mtu maarafu popote pale, jambo la kwanza utakaloliwaza katika akili yako ni kupiga picha na mtu huyo ili uje uweke mitaandaoni huku ukiandika maneno mbalimbali, kama vile katika ubora wangu.

Ndugu msomaji wa makala hii kila mtu unayekutana naye, kuna sababu huenda akakusaidia katika safari yako ya mafanikio na sio kupiga picha na kuzidi kuwa na maisha yale yale kila siku.

Kila mtu unayekutana naye kuna sababu. Cha msingi ni kujenga mahusiano bora na mtu huyo. Inawezekana ndiye atayekuwa msaada mkubwa katika kubadilisha maisha yako.

Kama wewe ni miongoni mwa watu ambao unajiona maisha yako yamebadilika kwa sababu ya mtu fulani ndiye alichangia kuwa hapo ulipo chukua dakika chache kumshukuru huyo aliyekusaidia. Japo wengi wetu hatuna tabia hiyo ya kuwashukuru watu waliotusaidia kufika hapa tulipo, basi ni muda muafaka wa kutoa shukrani.

Jambo la msingi la kumbukumbuka kila unayekutana naye kuna sababu hivyo jenga mahusiano na anayekutana naye.

Karibu tuendelee kujifunza 

Mambo Manne (4) Ya Kuyatazama Sana Ili Kupata Na Kukuza Mtaji Wako.


Kuna wakati mwingine watu wengi huwa tunakosea sana kwa kutazama na kufikiri ya kuwa mtaji ni pesa peke yake kwa ajili ya kufanzisha biashara. Kumbe kuna vitu vingine ambavyo ni vya kuvitazama ili huo mtaji uweze kukua na kufanya kile ambacho unakihitaji ili kutimiza malengo yako. Leo katika makala hii nitakwenda kukueleza kinaga ubaga ili uweze kufahamu ya kwamba kabla ya kuwa na mtaji ni lazima ujue misingi hiyo itakayokusaidia kutimiza ndoto zako. Kwani endapo utakosa misingi hiyo hata ukiwa na mtaji kiasi gani biashara utayoishazisha haitaishi miaka mingi.
Yafuatayo ndiyo mambo ambayo mtu anayahitaji ili kupata na kukuza mtaji;
1. Akili
Kisaikolojia binadamu wote wana akili ila tatizo linakuja katika uwezo wa kufikiri, kuamua na kutenda. Kimsingi ni kwamba watu wengi wanashindwa kutimiza malengo yao kwa sababu ni watu wavivu wa kufikiri. Watu wengi wanashindwa kugeuza maarifa waliyo nayo yawe bidhaa au huduma.
Kwa mfano mtu anayefanya biashara ya kupika chakula na kupata kipato, mtu huyu hawezi kufikiri kufungua darasa kwa ajili ya kuwafundisha wanafunzi waweze kupika na yeye aweze kupata kipato zaidi. Tatizo linakuja ulichonacho hutaki kukifanya kikuongezee kipato zaidi. Ukitaka kufanikiwa zaidi ya hapo ulipo jambo la msingi ni fikiri chanya kwa kubadili mtazamo ulionao.



UBUNIFU NI SILAHA YA MAFANIKIO.

2. Nguvu.
Hapa sizungumizii nguvu ya kuwa na misuli ya kupigana bali nazungumzia ili uweze kuwa kile unachokitaka lazima utumie nguvu ulizonazo katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuzalisha huduma na bidhaa bora. Watu wengi tuna hulka ya kuwa wavivu katika kufanya kazi na hii inatupelekea tunazidi kuwa ni watu wakutumia kuliko kuzalisha. Wakati mwingine tunalalamika ya kuwa maisha ni magumu huku tukisahau kuwa sisi ndio wagumu katika katika kufanya kazi. Jambo la msingi ni kwamba badili mtazamo kwa kutumia nguvu ulizonazo katika kuzalisha kuliko kutumia tu.
3. Kipaji
Katika maisha ya mafanikio kuna vitu viwili. Kitu cha ambacho unatakiwa kufahamu ya kwamba ili uweze kufanikiwa ni lazima uwe na machaguo mawili yaani plan A na plan B ili uweze kufanikiwa. Mpango wa kwanza ni jinsi gani unaweza kutumia ujuzi ulionao ili kufanikiwa na mpango wa pili ni jinsi gani ya kutumia kipaji ulichonacho ili uweze kutimiza ndoto zako. Watu wengi hawaviishi vipaji vyao kwa sababu ya sababu mbalimbali.
Kwa mfano jiulize wakati ukiwa mdogo ulikuwa unapendelea kufanya nini zaidi? kama umefikiliria kwa umakini utakuwa umepata jibu na je kitu hicho bado unacho au unafanyia kazi katika kukufanya ndoto ziwe kweli? Ukifikiria kwa umakini utagundua ni kwamba watu wengi hatuna vipaji hivyo tena . Lakini tafiti nyingi zinaonesha ya kwamba watu ambao wanatuzunguka ndio ambao wanasabibisha kufa kwa vipaji hivyo.
Nasema hivo nikiwa na maana ya kwamba watu wanaotuzunguka wakituona tunafanya jambo fulani , watakukemea na kukuambia achaa! hicho kitu unachokifanya kitakufanya ushindwe kusoma na sababu nyingine nyingi ambazo hazina ukweli ndani yake.
Ila laiti kila mmoja angetumia vizuri kipaji chake alichopewa na mwenyezi Mungu katika maisha yake walalamikaji tungepungua ambao huwa tunasema maisha ni magumu na tungepata mafanikio zaidi. Kumbuka kutumia kipaji ulichonacho ili kuongeza wigo mpana wa kupata kiapto ili kutimiza ndoto zako.
4. Ubunifu.
Kila kitu kinahitaji ubunifu ili kuona kina tija katika maisha yetu. Kwa kila jambo ambalo ulifanya linahitaji ubunifu. Ubunifu ambao nina uzungumzia siku ya leo ni ule wa kutengeneza kitu kipya au huduma au kuongezea thamani katika kitu ambacho tayari unakifanya.
Ili kuongeza thamani na kupata kile unachokihitaji jaribu kuwa ndio mtu wa kwanza muundaji wa kitu hicho. Katika jambo hili unaweza kutumia kipaji ulichonacho kuwa mbunifu. Ubunifu ni lazima uwe wa peke yako. Ili kuweza kutimiza ndoto zako za kimafanikio jaribu kuyatazama mambo kwa jicho la tatu.
Wewe ambaye umesomea kuwa mhasibu ili kuweza kufanikiwa zaidi ni lazima ufikiri zaidi ya kuwa mhasibu kwa kuwa mbunifu ili uweze kutimiza malengo yako ambayo umejiwekea. Kuishi kwa kutengemea mshahara au hicho unachokifanya kukuingizia pesa hakikotoshi fikiri nje ya boksi kwa kuwa mbunifu zaidi ama hakika utafanikiwa.
Asante sana kwa kusoma makala hii mpaka kufikia hapo sina la ziada tukutane tena katika makala ijayo ili kuweza kujifunza zaidi.



MAGUFULI AMFUKUZA KAZI MKUU WA MKOA WA SHINYANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanaia Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anna kilango Malecela kuanzia leo.

Utenguzi huo umetokana na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Anna kilango Malecela kutungaza kwenye vyombo vya habari kuwa mkoa wake hauna watumishi hewa jambo ambalo lilisababisha Ikulu kufanya uchunguzi wake na kubaini kuwepo kwa wafanyakazi hewa 45 katika awamu ya kwanza na awamu ya pili ya uchunguzi bado inaendelea.

Akiongea Ikulu jijini Dar es Salaam wakati akipokea hundi ya shilingi bilioni sita zilizotolewa na Ofisi ya Bunge baada ya kubana matumizi kwa ajili ya kununulia madawati Rais Magufuli ameeleza kusikitishwa na hali hiyo na kuagiza Mkuu wa Mkoa na Katibu Tawala wa Mkoa kuondolewa ofisini mara moja.


Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...