Friday, 26 February 2016

Magufuli katoa masaa sita tu kwa Mawaziri na Manaibu kuamua kujifukuzisha kazi au kubaki,

Rais Magufuli atoa mpaka saa 12 leo jioni, Mawaziri 4 na Naibu waziri mmoja wawe wamerejesha fomu za maadili kwa Tume, wakishindwa watakuwa wamejifukuzisha
-Mawaziri hao ni Charles Kitwanga, January Makamba, Joyce Ndalichako, Agustine Mahiga na Luhaga Mpina.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...