Saturday, 17 June 2017

SABABU KUU ZA KWANINI KILA MWANAUME ANAHITAJI MWANAMKE SAHIHI.


Image may contain: 1 person, ocean and outdoor

Kwangu kipindi ambacho kilinivutia sana ni kipindi cha kampeni za uchaguzi nchini Marekani.

Ni pale Obama akiwa katika kampeni kwenye moja ya majimbo kugombea duru ya pili ya uraisi aliposimamisha hotuba yake na kutambua uwepo wa mkewe Michelle.


Obama alisema, "Mke wangu amekuwa bega kwa bega na mimi tokea niko chuo, kuna kipindi nilishindwa kulipa ada ila yeye ndiye aliyenilipia"

Obama akaenda mbali zaidi na kukiri mbele ya jamii ya kimataifa kwamba asingekuwepo hapo alipo kama sio mke wake Michelle.

Hivyo basi, nashauri kwamba mwanamke ambae mwanaume atakua nae huenda akawa chachu ya mafanikio na baraka kwake au anaweza akamrudisha nyuma kabisa katika mipango yake.

Sababu kuu 7 za kwanini iwe isiwe mwanaume lazima upate mwanamke alie sahihi.

1. Kila mwanamke anao uwezo wa kukuridhisha kimapenzi ila mwanamke sahihi na bora pekee ndiue anaeweza kuku-challenge kiakili na kuwa 'intellectually inspired'.

2. Mwanamke yeyote anaweza kukuteka kihisia, ila yule sahihi pekee ndiye mwenye uwezo wa kukuteka kiroho na ukamtumikia Mungu wako.

3. Mwanamke yeyote anaweza akakushawishi muandike mpango wa harusi (wedding plan), ila mwanamke sahihi peke yake ndie mwenye uwezo wa kukuandikia na kukushauri mpango wa biashara (business plan)

4. Kila mwanamke anaweza akakubusu tena 'French kiss' ila mwanamke bora pekee ndio mwenye uwezo wa kukutamkia maneno yaliyojaa busara na hekima.

5. Kila mwanamke anaweza akakupenda sana tu tena kama una pesa, ila mwanamke aliye bora pekee ndiye anaeweza kusimama na wewe hata kukuinua pale utakapokuwa huna kitu.

6. Mwanamke yeyote anao uwezo wa kukushibisha kwa kukupikia chakula kitamu, ila mwanamke bora pekee ndio mwenye uwezo wa kukulisha chakula cha ubongo.

7. Kila mwanamke anao uwezo wa kukushawishi chumbani ila mwanamke bora pekee ndio mwenye uwezo wa kukushawishi umrudie Mungu wako.

Mwisho ngoja nihitimishe kwa kusema hivi ukisoma vitabu vya kihistoria kuhusu Winstom Churchhill mpaka Abraham Lincoln, na kutoka kwa Nelson Mandela mpaka kwa Martin Luther King Jr lao moja kwamba

“ No matter how strong a Man is, he is only as strong as the Woman he marries”

Kwa tafsiri yangu ya kuunga unga isiyo sahihi sana Wanamaanisha "haijalishi ni kwa kiasi gani mwanaume una nguvu, nguvu zako zina athiriwa kwa kiasi kikubwa na mwanamke utakaemuoa"

Karibu

JEROME MMASSY

NJIA ZA KUMHESHIMU MUME WAKO AKUPENDE SIKU ZOTE










1. Wasiliana nae kwa upendo na adabu. Usiongee nae kwa hasira, dharau na kejeli.


2. Mwache ajue kwamba yeye ni wa muhimu kwako. Kila siku muonyeshe hilo.


3. Elewa hisia zake, hata kama mtakua mna mabishano, Basi bishana kwa upole na sio kumpandishia sauti.


4. Onyesha kuwajali rafiki zake kwa kumpa muda wa kukaa nao ila ni kama marafiki wa kuaminiwa.


5. Jaribu kupotezea mambo madogo madogo. Tunatofautiana katika tabia na mwenendo. Mambo mengine ni ya kuchukuliana na si kuibua ugomvi.


6. Mwambie kuwa unampenda na unamhitaji.


7. Onyesha kujali yale mambo anayoyapenda, kama ni mpenda mpira mnunulie hata jezi ya timu aipendayo. Wanunulie watoto pia jezi kumsupport baba yao.


8. Linda utu wake popote pale. Usimuongelee vibaya aitha kwa ndugu au mashoga zako. Usiruhusu hata rafiki zako wamseme vibaya.


9. Hata akikukosea, tambua na yeye ni binadamu sio malaika.


10. Tengeneza mazingira ya furaha na tabasamu ktk mahusino yenu. Tafuta njia ya kucheka na kufurahi pamoja.


11. Usijaribu kufanya mabadiliko ya ghafla, mueleze ili apate muda wa kuendana na mabadiliko hayo.


12. Mkiwa mmeenda sehemu kujipumzisha na ku enjoy, usilete matatizo ya nyumbani na kuanza kuyaongelea hapo. Enjoy nae pasina mikwaruzano.


13. Jikite kwa yale mazuri anayofanya kwa ajili ya familia, msamehe kwa yale mabaya anayofanya. Sheherekea yale mazuri na muombee kwa yale mabaya.


14. Onyesha kujali kile anachohisi ni muhimu ktk maisha.


15. Mpe muda wako, usitumie muda huo kichezea simu yako.


16. Usiruhusu ndugu zako wamkosee heshima. Mlinde kwa yeyote yule atakemshushia heshima mfalme wako.


17. Msifie na mtie moyo kwa kila jambo zuri analofanya.


18. Kuwa mbunifu pale unapoonesha mapenzi yako kwake katika vitendo na maneno.


19. Ongea nae kuhusiana na uchumba wenye tija, malengo ya kifamilia na jinsi ya kuyafikia, uchumi na biashara.


20. Usimbane na kumchunguza sana kana kwamba ni mhalifu ambae atakukimbia. Mpe muda usimbane.


21. Kubali makosa yako. Usiwe mwoga kuwa mnyenyekevu. Usijivunie uzuri wako. Wapo wazuri wengi tu. Ila amekuchagua wewe.


22. Mtumie text wakati yupo kazini, mwambie ni jinsi gani unampenda.


23. M-suprise na zawadi, sio vitu vikubwa..boxer, saa, tshirt etc..atakuona unamjali!


24. Mwambie ni jinsi gani unavyothamini jitihada zake katika kuandaa mazingira yenu mazuri ya baadae.


25. Mpe chakula kitamu akipendacho, nazungumzia vyote cha mezani na cha usiku. Usitumie sex kama silaha ya kumkomoa. Definetly ataenda kutafuta nje tu!


26. Maongezi yako yawe mafupi pale anapokuwa amechoka, ana hasira au ana njaa. Jifunze kutokua muongeaji sana.


27. Wasilisha maombi yako au mahitaji yako ktk njia ambayo ipo romantic kwa kumbembeleza..kumfanyia 'massage' na kumpapasa usoni.


28. Ni hulka ya wanaume na ndivyo walivyoumbwa kutokua wasikivu, ni vema ukalitambua hilo na ukalichukulia kama changamoto kuliko kulaumu.


Ni matumaini yangu haya yote yanawezekana. Jaribu kuyafanya ili udumishe mahusiano yako.


Ramadhan kareem kwa Marafiki zangu waislamu wote!


JEROME NA ANNA

MAMBO YA KUFANYA KUZUIA KUUMIZWA NA MAHUSIANO





1. Sio mahusiano yote huishia ndoa. Mahusiano mengine yapo kama somo kwako, mengine ni ya msimu na machache ndio hua ya kudumu.

Kama mahusiano yako hayaendi kama unavyohitaji, usijiue, usijilaumu, wala usikate tamaa. Tambua kusudi lako na endelea na maisha.
.
2. Usimpe mwanamke au mwanaume moyo wako wote kabla hujampa Mungu wako. Mpende sana huyo mtu, lakini Mungu awe wa kwanza.
.
3. Usibabaishwe na uzuri wa mtu au utajiri alionao, kama huyo mtu ameshindwa kukuweka moyoni, uzuri wake au pesa zake haziwezi kukuweka pia.
.
4. Mapenzi pekee hayatoshi. Kuelewana, kuendana, busara, uvumilivu, uaminifu ni vya muhimu zaidi.
.
5. Pale dalili mbaya zinavyokua nyingi kuzidi dalili nzuri, ni vema ukajitoa mapema kabla hujaumia vibaya huko mbeleni.
.
6. Ni wazi kwamba, wivu uliopitiliza kiwango ni dalili tosha ya mahusiano kuvunjika.
.
7. Uaminifu kamwe hauombwi, haki yako kuupata, build it or show it!
.
8. Kamwe usimfananshe uliye naye na ex wako au na mtu mwingine. 
.
9. Mahusiano yenu yasiendeshwe na 'SEX' tu bali, kujaliana, upendo na mawasiliano.
.
10. Usimuoe au usiolewe nae kwa sababu umemuona kwenye nyumba ya ibada. Wengi wapo humo kwa madhumun mbalimbali. Usiangalie ni WAPI umekutana na huyo mtu, bali tizama ni mtu wa AINA gani.


Mengi zaidi endelea kutufuatilia

JEROME NA ANNA

Friday, 16 June 2017

LATEST ANKARA STYLES YOU SHOULD SEE

JIPATIE STYLE NZURI ITAKAYOBADILI MWONEKANO WAKO  NA KUKUFANYA UVUTIE ZAIDI.........Ukihitaji bonyeza hapa http://www.africanstylemagazine.com/features/latest-ankara-styles-you-should-see/


LATEST ANKARA STYLES YOU SHOULD SEE









NAFASI ZA AJIRA / KAZI MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)

INTRODUCTION



National Health Insurance Fund (NHIF) is a statutory Health Insurance Scheme established by the NHIF Act, Cap 395, so as to undertake the responsibility of insuring medical care services to its members. The Fund is dedicated to providing support to its beneficiaries to access health care services through a wide network of accredited quality health facilities throughout Tanzania. NHIF envisions on becoming the leading Health Insurance Scheme of choice in the sub-Saharan region in terms of sustainability and quality of services. NHIF is an equal opportunity employer.

The Fund invites qualified Tanzanians to fill the following vacancies:

1. SYSTEMS DEVELOPER (2 Positions)

1.1. Role
System Developer shall be responsible for developing and supporting .NET/C#/Java projects, functions and completing specific work, projects and miscellaneous tasks while ensuring commitment and quality through to completion. This highly responsible position involves using established work procedures to analyze, design, develop, implement, maintain, re-engineer and troubleshoot organization’s applications.

1.2. Key Responsibilities
 Use technologies such as Java, C#, ASP.NET, SQL, MVC, and Microsoft Workflow to develop technical solutions to complex problems that require the regular use of ingenuity and creativity
 Design, code, test, debug and document software according to the functional requirements
 Develop, maintain and support programs/tools for internal and external clients/stakeholders
 Analyze, diagnose and resolve errors related to their applications
 Help define project plans requiring software development and hardware installations
 Provide technical and project management expertise across multiple areas of application development
 Provide ad hoc reporting and analysis as required
 Investigate operational or systematic problems and user queries as required
 Follow all department standards and methodologies
 Strong ability to effectively lead a team of .NET DEVELOPER
 Identify options for potential solutions and assess them for technical and business suitability
 Draw up specific proposals for modified or replacement systems
 Produce project feasibility reports and present proposals to user departments
 Work closely with developers and a variety of end users to ensure technical compatibility and user satisfaction
 Draw up a testing schedule for the complete system
 Oversee the implementation of a new system, write user manuals and train new system users
 Keep abreast of technical and industry developments

1.3. Required Minimum Qualification:
 Bachelor Degree in Computer Science, Information Technology or any closely related field from an accredited college or university.
 Professional training (certifications shall be an added advantage) in enterprise level software development framework preferably .Net and Java.

1.4. Required Competences, Skills and Experience
 At least 3+ years’ experience of using .NET and/or Java development
 Should be able to cope within weeks and participate effectively in the ongoing projects
 Experience in using MVC and HTML 5 for developing web applications
 Experience in Developing and Deploying and Integrating Web Services
 Experience of using Object Relational Mapping Frameworks such as Entity Framework, Hibernate etc
 A good understanding of Database Programming with such dialects as T-SQL, PSQL (MS SQL Oracle, DB2, MySQL etc.)
 A solid understanding of OOP principles
 A good understanding of N-tier and N-layered architecture
 Strong analytical skills
 Experience of working effectively as part of a team
 Experience of working to and applying agile methodologies
 Good written and verbal communication skills
 Inter-personal skills
 A flexible approach and ability to adapt
 Ability to work under own initiative

1.5. Age limit: Below 45 years.

2. DATABASE ADMINISTRATOR (1 Position)

2.1. Job Description:
 Establishing the needs of users and monitoring user access and security;
 Monitoring performance and managing parameters to provide fast query responses to front end users;
 Mapping out the conceptual design for a planned database in outline;
 Considering both back-end organization of data and front-end accessibility for end-users;
 Refining the logical design so that it can be translated into a specific data model;
 Further refining the physical design to meet system storage requirements;
 Installing and testing new versions of the DBMS;
 Maintaining data standards, including adherence to the SSRA Data Management guidelines, NHIF Data Management Policy etc.;
 Writing database documentation, including data standards, procedures and definitions for the data dictionary (metadata);
 Controlling access permissions and privileges;
 Developing, managing and testing back-up and recovery plans;
 Ensuring that storage, archiving, back-up and recovery procedures are functioning correctly;
 Allocating system storage and planning future storage requirements for the database system (Capacity planning);
 Working closely with application system developers advising them on the most efficient database designs (tables, data types, stored procedures, functions, etc.);
 Modifying the database structure, as necessary, from information given by application developers;
 Communicating regularly with technical, applications and operational staff to ensure database integrity and security;
 Commissioning and installing new applications and customizing existing applications in order to make them fit for purpose;
 Ensuring compliance with database vendor license agreement;
 Contacting database vendor for technical support;
 Generating various reports by querying from database as per need;
 Perform any other related duties as may be assigned by the supervisor

2.2. Required Minimum Qualification:
 Bachelor Degree in Computer Science, Information Technology or any closely related field from an accredited college or university.
 Professional certification (or in the process of attaining certification) in administering enterprise level DBMS preferably SQL Server or Oracle.

2.3. Required Competencies, Skills and Experience
 Must have 3+ years of experience in database development and support of Database environments.
 Strong experience in Database Administration.
 Experience in troubleshooting and resolving database problems.
 Experience in Performance Tuning and Optimization (PTO), using native monitoring and troubleshooting tools.
 Experience with backups, restores and recovery models.
 Knowledge of Database level High Availability (HA) and Disaster Recovery (DR).
 Knowledge of reporting and query tools and practices.
 Experience in implementing operational automation using scripts.
 Knowledge of indexes, index management, and statistics.
 Experience working with Windows server, including Active Directory, SPNs and proper disk configurations.
 Good communication and documentation skills.

2.4. Age limit: Below 45 years.

3. SYSTEM AND HARDWARE ADMINISTRATOR (1 Position)
3.1. Role
System and hardware administrator shall be responsible for managing data center infrastructure that include a variety of IT equipment and systems such as physical and virtualized servers, storage systems and Disaster Recovery (DR) solution. These IT equipment are supported by power, cooling and telecommunication systems.

3.2. Key Responsibilities
 Plan for capacity, performance and service availability of all servers and storage in line with business needs.
 Work with application/project teams and 3rd party partners to plan, design and implement IT infrastructure, to meet existing and growing needs of the business.
 Monitor and take action if there are issues.
 Work with vendor in resolving issues and tracking progress to completion.
 Complete day to day operations and administration tasks of virtualized and physical server infrastructure including provisioning of development, testing and production environments to application teams as needed.
 Manage storage resources throughout their lifecycles.
 Storage Management LUN assigning, tiring for new server and maintain High Availability (HA).
 Ensure that servers and services are appropriately updated and patched, ensuring system security and reliability.
 Initiate and manage upgrades and procurement of replacement equipment as required
 Plan, implement and manage backup and Disaster Recovery solutions.
 Maintain high standards in terms of written materials/documentation, including system level documentation, infrastructure/incident reports and monitoring anomalies.
 Upgrade and new installations of Equipment (Servers, Storage)
 Perform any other related duties as may be assigned by the supervisor

3.3. Required Minimum Qualification:
 Bachelor Degree in Computer Science, Information Technology or any closely related field from an accredited college or university.
 Professional training (certifications shall be an added advantage) in the following areas: VMware, Windows Server, CCNA, CCNP, HP Servers and Storages.

3.4. Required Knowledge, Skills and Experience
 Must have 3+ years of experience in managing and support ICT infrastructure.
 Strong knowledge and experience in virtualization technologies.
 Experience in managing HP 3 par storage
 Experience in troubleshooting and resolving hardware and network problems.
 Knowledge of Disaster Recovery (DR) techniques.
 Experience working with Windows server, including Active Directory, SPNs and proper disk configurations.
 Good communication and documentation skills.

3.5. Age limit: Below 45 years.

REMUNERATIONS
All posts carry an attractive remuneration package in accordance with the NHIF Schemes of Service and Staff Regulations.

MODE OF APPLICATION
Interested persons who meet the qualifications given above are required to submit their well written application letters enclosing certified copies of academic and professional certificates, a detailed CV with one current colored, passport size photograph of applicant attached on the first page of the CV. The applicant should also provide two names of his/her referees in the CV, indicating their telephone numbers, e-mails, postal and physical addresses. One referee must be from the current/ latest employer.

Application shall be sealed in an envelope clearly indicating the name of position applied for on the top right hand side of the envelope; and submitted by post or physically so as to reach the address below not later than 21st June 2017, 4.00 pm

The Director General
National Health Insurance Fund,
Kurasini Bendera Tatu,
P. O. Box 11360,
DAR ES SALAAM.
Note: This advertisement is also available at our website: www.nhif.or.tz




NAFASI KIBAO ZA AJIRA ZILIZOTANGAZWA NA SERIKALI



Habari ndugu msomaji wetu?Karibu ujitafutie ajira katika sekta mbalimbali




Bonyeza Links Zifuatazo Kusoma zaidi na Kuapply
















Nafasi zingine za Ajira Ingia www.ajirayako.com

JEROME NA ANNA

KAZI ZA HARAKAHARAKA



Tuna nafasi 50 za kazi ya muda mfupi kwa vijana. Kazi hii ni ya kupiga chapa (kuprint) documents. Itafanyika kwa siku 20.

Tunahitaji vijana angalau (at least) waliomaliza kidato cha nne na wenye cheti cha kompyuta (certificate of computer applications).

Kama una cheti, stashahada au shahada na hauko engaged na kazi yoyote kwa sasa pia tunakukaribisha.

Malipo ni sh 9500/= kwa siku bila benefit nyingine yoyote.

Sehemu ya kazi ni maili moja kibaha.

Usafiri wa kutoka ubungo mpaka maili moja utatolewa kwa kila siku ya kazi (Kwenda na kurudi).

Tuma maombi tu kama unaishi dar au kibaha.

Andika barua ya maombi pamoja na CV kwa lugha uipendayo, kiswahili au kiingereza.


Tuma mapema kwa sababu maombi yatafanyiwa kazi kadri yanavyokuja.

Karibuni.

Uzalendo wa “Itikadi” Binafsi kutumia Mgongo wa Maslahi ya Jumla ya Taifa



Kuna kitu kimoja kimeendelea kwa muda mrefu sasa na si ajabu tangu tupate Uhuru wetu nacho chaendana sambamba na jinsi Chama Tawala (TANU/ASP mpaka sasa CCM) ambapo kuna nguvu kubwa sana za muonekano wa kutetea na kulinda maslahi ya Taifa lakini kila mwaka na kila awamu mpya, udhahiri wa Maisha ya Mtanzania bado uko pale pale na hauendani na “uendelevu” wa vitu vionekanavyo kwa macho (Majengo ya Kisasa, Majumba, Magari ya Kisasa, Miundombinu, Uwekezaji) na kusadikika ni kwa manufaa ya Taifa. Aidha kuna uendelevu mwingine wa ukuaji wa maslahi binafsi wa watendaji na wapambe wa Viongozi wakuu wa nchi.

Natafakari sana jinsi gani Awamu ya Tano inavyojikita katika kutoa sifa na hoja za uwasili na utimilifu wa Safari mpya ya Maendeleo ya Tanzania na nguvu kubwa inayotumika kurembesha na kusifia mipango na “matokeo” ya umakini wa utendaji wa Awamu ya Tano hasa Rais Magufuli n ahata uwepo wa vikundi na mikakati ya vitisho na ukware wa hoja na matendo kwa wale wanaohoji au kupinga “kazi safi” ya Awamu ya Tano.

HIli limenirudisha miaka yangu ya kupevuka, mwisho wa awamu ya kwanza wakati Malimu Nyerere alipoachia ngazi na kumpisha Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi, Mzee Ruksa. Kisha najikuta namtazama Mzee wa Uwazi na Ukweli, Mstaafu Benjamin Mkapa na miaka yake 10 ya utawala.Ukigeuka kwa Mjomba wa Msoga, Mheshimiwa Jakaya Kikwete, nako kwenye Ari,kasi, nguvu mpya, Maisha bora kwa kila Mtanzania na komeo la Big Result Nowbado kuna ufanano mkubwa wa wapambe na wauza propaganda, dhidi ya wanaohoji na kupinga mambo yaliyofanywa na awamu zote hizi.

Lakini kuna common denominator ya awamu zote hizi nne, unono wa ghafla wa maslahi wa wapambe na watendaji wa karibu wa marais wetu hawa wanne.

Pima sera za “kitaifa” zilizoletwa na Marais wote hawa wanne, mfumo wa propaganda na ulinzi wa hali ya juu wa hoja, mipango, maamuzi n ahata matokeo ya kila kilichowekwa kuwa ni msingi mkuu wa awamu na dira ya Rais. Angalia kwa kina jinsi gani Chama CCM ambapo kwa namna moja au nyingine, kimekuwa mstari wa mbele kunadi kwa Watanzania hizi Sera n ahata ukikitazama Chama, unaona kinaneemeka kwa uharaka sana.

Je propaganda hizi za kuuza seraza Rais ni mfumo mwingine wa kujichumia kwa wale washauri wa karibu wa Marais wetu?

Naangalia enzi za Mzee Mwinyi na wale walionufaika na kutajrika. Mkapa pale alipojiuzia mgodi na mawaziri wake wawili wakubwa wa usimamizi wa uchumi wa nchi walivyopatikana na “hatia” an kufungwa. Hata kwa Kikwete si watendaji pekee, bali wapambe na tuhuma dhidi ya familia.

Sasa hivi, tunaona shaping up ya wapambe ambayo inajijenga kimfumo wa kiutawala kwa kuegemea Ukanda na mamlaka ya kidola huku nchi nzima tukilazimishwa tuamini kuwa tunanyooshwa. Lakini angalia miradi yote mikubwa n ahata matumizi mengine ambayo yamekiuka taratibu.

My point is, kukosekana kwa mfumo imara wa uwajibikaji wa kuleta uwiano wa Check and Balances, na Zaidi kukosekana kabisa kwa udhibiti wa muingiliano wa maslahi- conflict of interest, kunatufanya tuendelee kuimanishwa utendaji kwa manufaa ya Taifa ilhali ni maslahi binafsi yanayojengewa mazingira wezeshi.

Siwatupii lawama za moja kwa moja (direct) marais wetu, ila kutokana na awamu zao kuendeleza mfumo ambao unapinga kwa nguvu zote uwazi, uwajibikaji na utawala bora, tutakapomaliza awamu ya tano, tutajikuta pale pale tukiwa na Masihi mpya wa kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye ndio mwenye uchungu wa kweli dhidi ya kero zinazolea umasikini, ujinga na maradhi.

Hatua kumi za kumchagua mchumba bora


Habari,

Je? Umeshakumbuka kumpata yule atakayekuwa Baba/Mama wa watoto wako? Je? Ufunze mbinu kumi muhimu za kumchagua mchumba bora.Ukizifuata hizi hakika hutojutia.

Vijana wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.

Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.

Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.

Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.

Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.
Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake.

Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.

Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.

Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.

Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.

Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.

Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.

KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.
Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.

PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.

TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.

NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.
Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.

TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.
Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.
Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.

SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.
Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.

SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana

NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.

TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.

KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.

Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.

JEROME NA ANNA

Dkt Kikwete amtembelea Kardinali Pengo



Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai.










Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai.

Dkt Kikwete ameandika hayo leo, kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.Dkt Kikwete ametweet kupitia ukurasa wake wa tweeter hivi:


“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.”

Hata hivyo Dkt Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.

Wakuu wa Mikoa na Wilaya ‘asikamatwe mtu kwa show off’ – Waziri Simbachawene

Habari

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene amewataka wakuu wa mikoa na wilaya kutotumia mamlaka yao vibaya ya kuwaweka ndani viongozi,watumishi wa umma na wananchi wengine kwa uonevu kwa kisingizio cha sheria kuwapa mamlaka hayo.





Kauli hiyo ya Waziri Simbachawene ameitoa leo bungeni ikiwa ni baada ya wabunge kuhoji uwepo wa baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa kutoa amri ya kukamatwa kwa watu bila sababu ya msingi hivyo ni hatua gani serikali inachukua dhidi yao kukomesha tabia hiyo.

“Ni kweli sheria hii ya mikoa inatoa mamlaka ya kwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuweza kumkamata mtu katika mazingira ambayo wanaamini kwamba mtu huyo ama anatenda kosa la jinai ama kwa ufahamu wao ametenda kosa la jinai ama anatenda kitendo chochote kinachovunja amani na utulivu ama anaona mtu huyo anatarajia kutenda au kuhatarisha amani hiyo ndiyo tafsiri ya sheria waliyopewa.”amesema waziri Simbachawene.

Akiendelea kusisitiza amesema licha ya sheria kuwapa viongozi hao mamlaka hayo wanapaswa kuwa makini wanapoitumia sheria inavyotamka kwa kuzingatia mipaka yao ya kazi katika kutekeleza majukumu waliyokabidhiwa.

“Mtu yeyote anayo haki ya kuomba mtu mwingine ambaye anaweza kutenda kosa la jinai dhidi ya mtu fulani au watu fulani kuomba wakamatwe kwa hiyo haki hii sio tuu wamepewa hawa peke yao…. isipokuwa tuu cha msingi ni pale tuu ambapo inapaswa kutumika kwa kuzingatia sheria mtu huyo awe anamatarajio ya kupelekwa mahakani immediately baada ya kukamatwa na baada ya muda ule kupita asikamatwe mtu kwa ajili ya ku’ Show Off , asikamatwe kwa ajili ya kuonesha kwamba wewe una madaraka lazima akamatwe mtu huyo kama kweli kitendo chake kinahatarisha amani na utulivu na hapa ndipo nataka nisisitize kwamba wakuu wetu wa mikoa na wilaya kwa kutumia sheria hii wawe makini kwa kutumia sheria hii kama inavyotaka.“amesema Waziri Simbachawene.

Sheria ya tawala za mikoa ya mwaka 1997 sura ya 97 inawapa mamlaka wakuu wa mikoa na wilaya kumweka ndani mtu ye yote kwa muda wa saa 48 ikiwa itathibitika kuna hatari ya uvunjifu wa amani na usalama au mtu huyo ametenda kosa la jinai.

Thursday, 15 June 2017

FANYA HAYA KUZUIA WATU WASIINGILIE MAPENZI YENU

Habari msomaji wetu,
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako. 

Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa ‘sumu’ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa ‘sumu’ ya mapenzi yako.


1. Udhibiti wa taarifa kwa wengine: 

Kadri unavyoelezea mahusiano yako kwa watu wengine ndivyo unavyowapa nafasi watu kutoa maoni, na hata kudhani kuwa wana dhamana ya kukuelekeza unavyotakiwa kuishi na mwenza wako. Hivyo basi, chukua muda wa kutosha kutafakari na kufanya uchunguzi kuhusu maswala yako ya mahusiano kabla haujaanza kutafuta maoni, ushauri kwa watu wengine. Ni bora ukasoma vitabu, na makala mbalimbali, hususani zihusuzo tabia na maisha ya mahusiano, zitafakari vema ili kuona zinahusiana vipi na unayokumbana nayo katika mahusianao yako.


2. Upekee wa mambo: 

Tambua kuwa tabia ya mpenzi wako inaweza kuwa ni ya kipekee, mazingira pia ya tukio linalokufanya utake ushauri au maoni kwa wengine yanaweza kuwa ni ya kipekee, hivyo ushauri au maoni utakayopokea yanaweza yasikusaidie moja kwa moja katika suluhisho lako. Ukitambua hili, utafanya bidii ya kujenga uwezo binafsi wa kuchambua tatizo unalokumbana nalo katika mahusiano na kutafuta suluhisho kabla ya kutegemea watu wengine.


3. Mwenye maamuzi ni wewe:

Ni kweli kuwa kuna nyakati ni muhimu kupata ushauri kutoka kwa watu wengine, na zaidi sana watu wenye uelewa sahihi na unaowaamini, hakikisha kuwa unatambua kuwa wewe mwenyewe ndio mwenye kubeba lawama ya maamuzi utakayochukua. 


4. Kuwa na subira:

Usichukue maamuziya haraka katika mahusiano hususani uamuzi wa kuamua kuwashirikisha watu wengine habari ya mambo yahusuyo uhusiano wako. Unapofanya uamuzi wa kuwashirikisha wengine kwa haraka unajinyima nafasi ya kulichunguza jambo kwa ufasaha hususani madhara yanayoweza kutokea kwa kuwaeleza wengine, au kama ni tatizo, basi kufikiria njia sahihi ambazo ungeweza kuzitumia kupata suluhu ya tatizo. 


5. Fungua njia za mawasiliano kati yenu:

Pengine chanzo cha wewe kutaka kuzungumza mambo ya ndani yanayohusu mahusiano yenu kwa watu wengine ni kwakuwa umekosa nafasi ya kuzungumza kwa ufasaha na mwenzi wako. Tafuteni nafasi za kutosha, jengeni mazingira ya kuzungumzia mambo yenu kabla ya kutaka kuwashirikisha watu wengine. 


6. Kuweni peke yenu: 

Hata kama hautaki kueleza watu kuhusu mambo yanayoendana na maisha yenu, mazingira unamoishi yanaweza kuchangia watu kutaka kuingilia mahusiano yenu –kwa kutoa maelekezo, ushauri au maoni kuhusu muishivyo wewe na mpenzi wako. Inapobidi hakikisha hamuishi karibu na wazazi wenu, ndugu au rafiki wa karibu. Au haufanyi kazi na mwenzi wako sehemu moja, kwani hiyo itakuwa njia rahisi sana ya watu kuona mnavyoishi. Inapobidi kuwa karibu na watu wengine , hakikisha mnakubaliana wewe na mwenza wako namna bora ya kuendesha mawasiliano kati yenu mbele za watu, ili msiwape nafasi ya wao kuwa‘soma’ na kisha kuanza waje waanze kutoa ‘maelekezo’ ya vile wanavyoona mnapaswa kuishi.


7. Nenda ‘darasani’ : 

Kumbuka mahusiano yanahitaji sana uelewa mkubwa wa jinsi ya kufanya mawasiliano fasaha, kuelewa hisia za mwenzi wako, kutambua mbinu za kusuluhisha migogoro, na zaidi sana kufanya mipango ya muda mrefu ya uhusiano wenu. Jizoeshe kusoma makala na vitabu mbalimbali vyenye kuboresha ufahamu wa mambo ya msingi kama hayo tuliyoeleza hapo juu.

JEROME NA ANNA

ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

Menejiment ya Kampuni ya ACCACIA wameelea kuwa, hawajafikia makubaliano yoyote ya kuilipa TAnzania hata senti.Katika taarifa inayoonekana hapo juu,wanasema wamekubaliana kujadiliana na Tanzania kuhusu madai hayo na hawajafikia maamuzi yoyote.

JE?MTAJI NI TATIZO KWAKO? KARIBU TUELIMISHANE


MTAJI

Mtaji nini? 
Mtaji ni kitu au rasilimali ambayo mtu anaweza kuitumia ili kuanzishabiashara, rasilimali hii ndio ambayo itamfanya mtu yeyote aweze kuanzisha biashara na kuifanya biashara yake ikuwe hautaweza kuanzisha biashara kama hautakuwa na mtaji.
Aina za mitaji


1. Wazo 

Huu ndio mtaji wa kwanza ambao mtu anapaswa kuwa nao kabla ya mtaji wowote, watu wengi hukaa wakifikiri kuwa huwezi kuanzisha biashara hadi uwe na pesa lakini wamesahau kuwa wazo ndio kitu cha kwanza, je hebu jiulize unawazo gani la biashara au huduma? ukijigundua hunawazo lolote la biashara basi itakuwa ngumu sana kufanikiwa kwenye biashara hata kama utapewa pesa,mfano unakuta mtu anakwambia sina mtaji lakini ukimwambia nikikupa mtaji wa pesa utafanya biashara gani anakwambia biashara yoyote tu,huyu hata ukimpa,pesa lazima atafilisik.Hapa ndipo unakuta wapo wafanyabiashara wengi huwa wanaanzisha biashara na zinakufa kwa sababu anamuona mwenzie kafungua botiki na yeye anaenda kukopa pesa benki anafungua botiki kwa kuamini pesa pekee inatosha kumfanya kuwa mfanyabishara,kwa kuwa lile halikuwa wazo lake hivyo hata weza pambana na vikwazo mwisho wa siku anafilisika anaanza kwenda kwa waganga.Tafuta wazo lako rafiki unataka kufanya nini.Wangapi tumewaona wanastaafu wanapewa mamilioni ya pesa na wanakufa masikini kwani tatizo pesa? Hapana tatizo hawana wazo.tafuta wazo la biashara lifanyie utafiti kisha fuata mtaji wa pili.



2. Jitihada na maarifa 

Hapa ndipo kwenye tatizo ambalo weengi hawalijui kuwa ndio umasikini wao ulipo, watanzania wengi ni wavivu, hatuko tayari kujitoa,kujitahidi wala kujituma,tunasubiri kila kitu tufanyiwe,ngoja nikwambie rafiki hakuna ambaye atashughulika na ndoto zako wala mawazo yako.Ukisha kuwa na wazo sasa lazima uwe na jitihada, msaada hauwezi kukukuta nyumbani.Siku zote hata kama unataka kusafiri kwa mfano unatoka Arusha kwenda Babati halafu hauna nauli unadhani ukiendelea kukaa ndani na wazo lako la kwenda Tanga gari litakufuata ndani? hapana ukitaka kuanza safari hata kama huna nauli anza kutembea kwa miguu kidogokidogo ukiwa barabarani atatokea msamaria atakupa lifti na utafika lakini ukiendelea kukaa ndani hakuna ambae atajua kama unawazo ila safari.Hivyo hivyo kwenye biashara ukishakuwa na wazo zuri la biashara basi weka jitihada mtafute mtu ambae anapesa muonyeshe wazo lako sio hadi akukopeshe pesa waweza mwambia mfanye wote hiyo biashara faida mtakuwa mnagawana baada ya muda utapata pesa zako za kufanya kitu kikubwa.acha kulala mtanzania.Tatizo watu wengi wanapenda faida za haraka hakuna maisha rahisi lazima upambane.

3. Fedha 

Huu ndio mtaji wa mwisho kabisa baada ya kuwa na mitaji hiyo miwili.Ni rahisi sana kufanikiwa kwenye biashara kama ukiwa na wazo na jitihada hata kama hauna pesa kwa sababu utakapopata pesa na unawazo basi utatimiza wazo lako kwa uangalifu zaidi.ewe Msomaji wangu, acha kukalia utajiri wako kwa kusubiria mitaji mikubwa ya pesa tafuta wazo, weka jitihada kwenye mawazo yako pesa utapata.Na usisubiri kuanza biashara hadi uwe na mtaji mkubwa hili ndilo tatizo letu tulio wengi unasubiri hadi awe na mtaji mkubwa hapana ukisha kuwa na wazo lako la kuchoma chapati basi usisubiri hadi uanze na kilo kumi za unga anza hata na nusu kilo halafu hizo kilo zingine zitafuata ukisubiri hadi ziwe nyingi utakula na hizo ndogo.Zipo biashara ambazo unaweza anza bila hata kuwa na mtaji na ukajikuta unapata mtaji mkubwa sana kama kweli uko makini na biashara.

Usimamizi wa fedha ni muhimu sana kwenye biashara. Ili biashara iweze kudumu ni lazima iweze kutengeneza mapato makubwa kuliko matumizi na uzalishaji. Ni lazima iweze kuzalisha fedha za kutosha kuiendesha na ibaki faida. Ukosefu wa fedha unaotokana na mauzo kidogo na matumizi makubwa ndio chanzo cha kufa kwa biashara nyingi. Mambo muhimu unayopaswa kujua kuhusu fedha kwenye biashara yako.

Jambo la kwanza; Fedha ndio damu ya biashara. Kama ambavyo binadamu tunategemea mzunguko wa damu ili kuendelea kuwa hai, biashara inahitaji mzunguko wa fedha ili kuendelea kuwa hai. Bila ya mzunguko wa fedha hakuna biashara kwa sababu mzunguko wa fedha ndio unaleta fedha na bidhaa au huduma nyingine muhimu kwenye biashara yako.Elewa kitu kimoja muhimu hapa, kuwa na fedha nyingi pekee hakutoshi kuikuza biashara yako. Bali unahitaji kuwa na mzunguko wa fedha, mzunguko huo ndio unakuza biashara yako. Mzunguko wa fedha hata kama ni mdogo ni bora kuliko kutokuwepo kwa mzunguko kabisa.

Mara zote hakikisha una mzunguko mzuri wa fedha kwenye biashara yako. Pia dhibiti mzunguko huu ili kuhakikisha biashara inaendelea kuwa na afya.

Jambo la pili; Fedha ni zao la thamani.Watu wanakuja kununua kwenye biashara yako, siyo kwa sababu yako, bali kwa sababu zao binafsi. Kwa lugha nyingine, watu wanakuja kununua siyo kwa sababu wamekuona unauza, ila kwa sababu wana shida na matatizo ambayo wewe unaweza kuyatatua kupitia biashara yako.

Hivyo jambo muhimu sana unalopaswa kujua ni kwamba fedha ni zao la thamani. Unapata unachopata sasa kulingana na thamani unayotoa. Hii ina maana kwamba kama unataka kuongeza kipato kwenye biashara yako, basi anza na kuongeza thamani ambayo unatoa kwa wengine. Watu wanakulipa kulingana na thamani unayowapa kupitia biashara yako. Toa bidhaa na huduma bora, zinazotatua changamoto za watu na watakuwa tayari kukulipa vizuri.

Jambo la tatu; Fedha za biashara ni tofauti na fedha zako binafsi.Hapa ndipo wafanyabiashara wengi huwa wanachanganya na inawapelekea kushindwa kuona ukuaji wa biashara zao. Wao hufikiri kwa sababu biashara ni yao basi wanaweza kutumia fedha watakavyo. Kwa sababu biashara ni yako basi unaweza kujiamulia kuchukua fedha kwenye biashara na kupeleka kwenye matumizi yako binafsi, si kitu kile kile tu?

Hili ni kosa kubwa mno, fedha za biashara ni mali ya biashara, na fedha zako binafsi ni tofauti kabisa. jifunze kuitenganisha biashara na wewe binafsi, siyo kitu kimoja. Unapotoa fedha kwenye biashara kwa matumizi yako binafsi, maana yake unaidumaza biashara. Na kama utaendelea hivyo, utaiua kabisa kiashara.

Jambo la nne; Jua tofauti ya mauzo na faida.Wafanyabiashara wengi, hasa wachanga huwa hawaelewi vizuri tofauti ya mauzo na faida. Wafanyabiashara wengi huona mauzo makubwa na kufikiri ni dalili kwamba biashara ni nzuri. Ni kweli mauzo makubwa ni dalili nzuri, lakini siyo mara zote inatafsiri kwamba biashara iko vizuri. Kupata faida halisi kwenye biashara yako, chukua mauzo, toa manunuzi halafu toa gharama zako zote za uendeshaji wa biashara ikiwemo nauli, mawasiliano n.k. Hapa ndipo utaona kama biashara inajiendesha kwa faida au kwa hasara.

Jambo la tano; Wekeza sehemu ya faida kwenye biashara yako.

Jambo la mwisho msingi hapa ni uwekezaji kwenye biashara yako. Biashara nyingi huwa zinadumaa, yaani hazikui tena tangu kuanzishwa, na nyingine zinakufa kabisa kwa sababu wafanyabiashara wanajisahau kwenye uwekezaji kwenye biashara hiyo. Watu wanaanza biashara, na kila faida ya biashara wanayopata wanaitumia yote. Hawakumbuki kuwekeza sehemu ya faida hiyo kwenye biashara ili kuikuza zaidi. Kwa njia hii biashara inashindwa kabisa kukua.

NJIA BORA ZA KUPATA MTAJI WA KUANZA ZA BIASHARA

Moja ya changamoto ambazo watu wengi wanaotutafuta huwa ni wanawezaje kupata mtaji wa kuanza biashara. Hiki kimekuwa kikwazo kwa watu wengi kuingia kwenye biashara. Hata wale ambao tayari wapo kwenye biashara, wamekuwa wakitamani kukuza biashara zao ila wanashindwa kutokana na kukosa fedha za kuingiza kwenye biashara.

Tatizo kubwa ambalo linawazuia wengi kutopata mtaji wa biashara ni kwa sababu inapokuja swala la mtaji wanafikiria sehemu moja tu, ambayo ni mkopo. Na kwa bahati mbaya sana watu wengi wanakuwa hawana sifa zinazowawezesha kupata mkopo wa kibiashara kama vile ardhi, nyumba ya kuweka rehani n.k. Kwa kukosa sifa hizo huishia kukaa na kulalamika nataka kuingia kwenye biashara ila mtaji sina.



Kama wewe unapenda biashara, na umepanga kuingia au umeshaingia lakini hujaweza kukuza mtaji wako, hapa nakupa njia mbalimbali za kupata mkopo kwa ajili ya biashara yako,soma na fanyia kazi hizi.....................................Endelea kufuatilia blog hii itaendelea baadaye leo

JEROME NA ANNA

Wednesday, 14 June 2017

MWONGOZO WA UJASIRIAMALI



Somo hili ni mahsusi kwa wale wanaotaka kujifunza somo la ujasiriamali na wanaoanza kufanya ujasiriamali pia, pia ni somo zuri kwa wale wanaoanzisha,kusimamia na kuendesha biashara zao.......

Nini maana ya Ujasiriamali?

Neno Ujasiriamali lina asili ya Kifaransa”Entreprendre" sawa na Kutekeleza/Kufanya shughuli fulani mwenyewe katika uwanja wa kibiashara.Ni sawa na kuanzisha biashara/shughuli ya kujiajiri.

Nini maana ya mjasiriamali?

Mjasiriamali ni mtu ambaye ana hamasa kubwa ya kuleta mabadiliko chanya katika hali yake ya kiuchumi ambaye ana tabia za kipekee ili kufanikisha azma yake hiyo kwa kujishuhulisha (yaani kujiajiri) ili awe na hali nzuri zaidi kiuchumi.Pia katika hali nyingine Mjasiriamali anaweza kuwa mtu yoyote ambaye anajishughulisha mwenyewe (amejiajiri) katika sekta fulani mfano: kilimo, ufugaji au biashara.

Mchumi Joseph Schumpeter wa Ausralia ameielezea dhana ya ujasiriamali kwa kuegemea mihimili ya ugunduzi na ubunifu, katika nyanja hizi 

-Bidhaa Mpya

-Njia Mpya za uzalishaji/uendeshaji.

-Masoko Mapya

-Mifumo mipya ya Vikundi na Mashirikisho

Na katika kueleza dhana yake hiyo anasema; Utajiri unapatikana pindi ugunduzi unapoenda sambamba na mahitaji, kwa mtazamo huu tunaweza kusema ya kwamba kazi ya Mjasiriamali ni sawa na kuunganisha mbegu za vigezo fulani katika hali ya Ugunduzi na Ubunifu ili kutengeneza ubora na thamani kwa mteja kwa imani ya kwamba thamani itakayopatikana itafidia gharama za mbegu hizo, na hatimaye kutengeneza faida ya kutosha inayopelekea utajiri.



Kwa hiyo, tunaweza kuona sasa Kwamba, ujasiriamali ni mtazamo katika akili ya mtu katika kutafuta fursa, kuwa tayari kukabiliana na matatizo na kuwa na uwezo wa kutengeneza faida, kwa kuanzisha ama biashara mpya au kuongeza tija katika taasisi fulani. Ujasiriamali hujumuisha shughuli nyingi ikiwa ni pamoja na kuwa na wazo, kutengeneza na kuendesha biashara au shughuli yoyote halali. 

Kwamba mjasiriamali ni mtu anayefikiri kwa ubunifu na uvumbuzi akiwa tayari kukabiliana na hatari inayoweza kusababishwa na fursa zilizopo kwa lengo la kuzalisha faida, ajira na ustawi wa kijamii na kiuchumi. Ujasiriamali siyo lazima uhusishe kuanzisha biashara lakini pia kuleta tija au kubadili utamaduni wa shirika au taasisi. 

Wajasiriamali huanzisha kampuni ambazo huwa kichocheo katika ukuaji wa uchumi na utengenezaji wa utajiri. Vitu kama kompyuta, simu za mkononi, mashine za kufulia, ATM, kadi za benki na huduma za usafirishaji ni mifano wa mawazo ya ujasiriamali yaliyobadilishwa kuwa bidhaa au huduma.

Historia ya Ujasiriamali

Historia ya Elimu ya Ujasiriamali ilianzia katika vyuo na vyuo vikuu huko Marekani ambapo kozi ya kwanza ya Masters of Public Administration (MBA) ilianzishwa mwaka1947 katika Shule Kuu ya Biashara ya Chuo kikuu cha Harvard chini ya kichwa cha habari “Uendeshaji wa Biashara Mpya” (Katz 2003). Kuanzia miaka ya 1980 na kuendelea, elimu ya ujasiriamali ilianza kuenea kwanza Ulaya Kaskazini, na baadaye kuenea katika sehemu za Ulaya ya Kati na Ulaya ya Kusini katika miaka ya 1990. Elimu ya ujasiriamali baadaye ilienea katika sehemu nyingine za dunia. Kimataifa, Amerika ya Kaskazini ndio mfano wa kuigwa katika ustawi wa miradi na pia Amerika ya Kaskazini ni kiongozi katika elimu ya ujasiriamali hadi sasa. Hakuna asiyejua mchango mkubwa wa kiuchumi wa Kampuni ya Microsoft, Amazon, Intel, Cisco, Lulu au Google na makampuni mengine yenye ushawishi mkubwa huko Marekani. Ukilinganisha na nchi zingine, Marekani ndio nchi yenye historia kubwa katika elimu ya ujasiriamali duniani, na pia ndio nchi yenye mpangilio, utamaduni na mazingira rafiki ya ujasiriamali kuliko nchi yoyote duniani (Kourilloff, 2000). Nchini Tanzania, elimu ya ujasiriamali haikuwepo enzi za ujamaa wakati wa Azimio la Arusha. Wakati huo Watanzania waliaminishwa kuchukia kila kitu kinachohusiana na ubepari, ukiwemo ujasiriamali. Mjasiriamali alichukuliwa ni kama msaliti na alilinganishwa na mnyama katili wa mwituni. Msemo “Ubepari ni Unyama” ulisikika kwenye radio kila baada ya taarifa ya habari, na vyombo va habari viliandika kila uchao. Ujasiriamali uliwavutia tu wale ambao walichukuliwa kuwa ni watu waliopotoka kimaadili. 

Watumishi wa umma walizuiwa kujishughulisha na biashara (Rutihinda, 2002). Kwa kuwa karibu watumishi wote wa umma walikuwa ni Waafrika, hii ilimaanisha kuwa shughuli za kibiashara zilibaki kuwa za Watanzania wenye asili ya Asia pamoja na wale wazawa ambao walikuwa hawana ajira katika ofisi za umma. Watu wa aina hii walikuwa ni wale ambao hawakuwa na kiwango kikubwa cha elimu (Olomi, 2009).Labda wakati huo ilikuwa sawa kutokana na nyakati zile.Hata hivyo, maendeleo ya hivi karibuni katika ulimwengu, pamoja na sababu za ndani zimeilazimisha nchi yetu kuridhia mabadiliko. Baada ya kuanguka kwa ujamaa na Azimio la Arusha, nchi ilianza kubadilika kimfumo. Mamlaka zinazohusiana na masuala ya elimu zilianza kuiona elimu ya ujasiriamali kuwa ni muhimu kwa maendeleo ya nchi katika miaka ya 2000 katikati. Walianza kuiweka elimu ya ujasiriamali kwenye mihtasari na baadhi ya shule na vyuo sasa vinafundisha katika masomo yao.



SIFA ZA MJASIRIAMALI

Wapo watu ambao mara nyingi hujiuliza ni biashara gani wafanye katika maisha yao ambayo itaweza kuwaingizia pesa nyingi ya kutosha. Ni wazo ambalo hutokea kutokana na pengine kuona kila biashara wanayoitazama kwa wakati huo kama hailipi. Hali hiyo husababisha mkanganyiko mkubwa wa mawazo ambao husababisha wabaki njia panda.

Mjasiriamali ni mtu gani?kama tulvyoona katika maana hapo mwanzoni, Huyu ni mtu ambae anaweza kutumia jamii inayomzunguka katika kuanzisha fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zitampatia kipato,mtu huyu huweza kuitumia rasilimali watu ili kujinufaisha,watu wengi wanaamini kufungua duka ni kuwa mjasiriamali,La hasha! Unaweza kufungua duka lakini bado ulichokifungua na jamii inayokuzunguka hakina faida na ni idadi ndogo tu ya watu ndio watakubaliana nacho lakini pia umefungua duka lakini unasubiria wateja waje tu, huu sio ujasiriamali.
Baadhi ya sifa za mjasiramali: 


1. Hupenda kujifunza

Hapa ndipo ugonjwa wa watu wengi ulipo mtu anajiita mjasiriamali lakini muulize kasoma vitabu vingapi vya ujasiriamali au kahudhuria semina ngapi za ujasiriamali watanzania wengi tunapenda sana vitu vya urahisi hatupendi kujifunza kama kweli unataka kuwa mjasiriamali au ni mjasiriamali lazima uwe na sifa hii upende kujifunza kutoka kwa watu wengine na uhudhurie semina au mafunzo mengi ya ujasiriamali.

2. Huwa mbunifu 


Mjasiriamali yeyote ni mbunifu, ninapozungumzia ubunifu nina maana je unapata kitu tofauti kila siku ambacho jamii yako itapendezwa nacho au umeng'ang'ania aina moja siku zote? lazima kama mjasiriamali uwe mbunifu kila siku kuhakikisha unapata...................................

Ukitaka kukipata kitabu hiki nitafute 0624002807 kwani ni kitabu kilichojaa mbinu za kuanzisha za kuweza kufanikiwa katika ujasiriamali 

Mh. Mbowe afunguka mazito baada ya kuharibiwa mali zake na Serikali



Habari

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe leo amethibitisha kuharibiwa kwa miundombinu ya shamba lake na viongozi wa serikali ya wilaya ya Hai huku akidai anajua yote hayo yanafanyika kutokana na misimamo yake ya kisiasa na kudai hawawezi kumbadili.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mbowe amethibitisha taarifa hizo kwa akisema siku ya alhamisi ya tarehe 7 mwaka huu walipokea barua kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ambayo ilikuwa inadai kilimo wanachofanya kilikuwa kinaharibu mazingira hivyo hawapaswi kuendelea na kilimo hicho.

Mh.Freeman Mbowe

“Ni kweli nimepata taarifa ya kuwa mkuu wetu wa wilaya ya Hai, akiambatana na askari wa mgambo akiambatana na watu wengine ambao sijaweza kuwafahamu wakiwemo vile vile waandishi wa habari, walikwenda kwenye mradi wetu wa Kili Vegies ni mradi wa kilimo cha kisasa cha mboga mboga (Green house), tukilima mboga na matunda, tukilima mboga kwa sababu ya ‘local market’ na wakaanza kuharibu miundombinu, ikiwemo kuharibu ‘Green houses’, kukatakata mabomba , kuharibu mimea na uharibifu mwingine mwingi” ameandika Mbowe huku akiendelea kufafanua tukio hilo.

“Ni kweli tulipokea barua ya NEMC siku ya Alhamisi tarehe 7, iliandikwa tarehe 7 lakini tuliipata tarehe 8, tulijibu hiyo hoja ya NEMC, kwamba tunaamini wamekosea sheria kwa sababu kilimo chetu hakiharibu mazingira wala shutuma zilizotolewa kwamba ni kwenye chanzo cha maji sio kweli, wanadai kwamba shamba hilo limeanzishwa kwenye chanzo cha mto Weruweru jambo ambalo sio kweli, mto unaoitwa Weruweru unaanzia mlimani kabisa National Park Kilimanjaro.” 


Mbowe anasema kitendo hicho kilichofanywa na viongozi hao ni kitendo cha kufedhehesha na cha kukatisha tamaa hivyo anasikitishwa sana na kitendo hicho, huku akisema anatambua kuwa yote hayo anayofanyiwa ni kutokana na misimamo yake kisiasa, na misimamo ya chama anachokiongoza.



“Najua haya yanatokea kwa sababu ya misimamo yangu ya kisiasa kwa sababu wa muelekeo wangu wa kisiasa na uthabiti na uimara wa chama ninachokiongoza, sasa mimi siwezi kuwa kondoo, nimesema siku zote, haya mambo ya duniani anayeyalipa ni Mungu,hawatabadilisha mawazo yangu kwa kuharibu mali zangu, wanaweza kuharibu zote hata wakitaka roho yangu waichukue, waichukue tu lakini haitanisababisha nibadili msimamo wangu katika kuamini ninachokisimamia, ninachokipigania katika Taifa” aliandika Mbowe kwa kusisitiza.


Mwenyekiti huyo wa CHADEMA amesema kuwa hakuna wingi wa mali zake zinaweza kuharibiwa zikamfanya yeye akapige magoti kama watu wengine wanavyofanya, anadai yeye hawezi kupiga magoti bali atasimama kwenye ukweli na haki siku zote.


“Hakuna wingi wa mali ambao wataharibu utakaonifanya Mbowe nikapige magoti kama wengine wanavyopiga magoti, sitapiga magoti, nitasimama katika kweli na haki wakati wote wa maisha yangu, kwa hiyo hili halinishangazi kwa sababu najua gharama ya ninachokilipa, wako watu wengi wamenipigia simu wakijaribu kunipa pole kunitia moyo, wengine wamejaribu kunitia hofu, wakiniambia Mwenyekiti Mbowe pengine uachane na siasa, nimewaambia sitoachana na siasa, nitafanya siasa, ilimradi ni siasa safi zenye kusimamia ukweli na haki nitasimama nazo.“ameandika Mbowe.


Hili ni tukio la pili kwa mwaka huu kutokea kwenye shamba hilo, mwezi wa kwanza mwaka huu serikali ilimtaka kiongozi huyo kusimamisha kilimo kwenye shamba hilo ikidai kuwa lipo kwenye chanzo cha maji.


ACCACIA WASALIMU AMRI KWA MAGUFULI,WAKUBALI KULIPA FEDHA ZOTE WALIZOIBIA NCHI

Rais, Dkt. John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti wa kampuni ya Barrick Gold Corporation ambayo ni mmiliki wa Acacia Mining Limited, Prof. John L. Thornton na kukubaliana kufanya mazungumzo na serikali ya Tanzania ili kulipa fedha zilizopotea.
Prof. John L. Thornton aliyesafiri kwa ndege binafsi akitokea Canada, amekutana na Rais Magufuli, Ikulu Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yaliyohudhuriwa na Balozi wa Canada nchini Ian Myles na Waziri wa Sheria na Katiba, Prof. Palamagamba Kabudi.
Baada ya mazungumzo hayo Prof. John L. Thornton amesema kampuni yake ipo tayari kufanya mazungumzo na Tanzania yatakayozingatia maslahi ya pande zote mbili na pia ipo tayari kulipa fedha zote ambazo inapaswa kulipa kwa Tanzania.


"BE A LIGHT"




Be a light




I DEDICATE THIS BOOK TO MY LOVELY GRANDPA MARIANA A.MALLYA WHO BROUGHT ME UP AND ENABLED ME TO SHINE


MAY HER SOUL REST IN ETERNAL PEACE





       
BE A LIGHT
In the Gospel of John, Jesus is called “the true light, which gives light to everyone” (John 1:9). Throughout the New Testament, the followers of Jesus are called to be lights in the darkness. So, what does it mean to shine? It means:
Being counter-cultural. We live in a dark world, full of lies, hate and confusion. But God’s Word tells us to “cast off the works of darkness and put on the armor of light” (Romans 13:12). While others are chasing after physical pleasures and selfish gain, we’re commanded to live a different way—to “put on the Lord Jesus Christ, and make no provision for the flesh, to gratify its desires” (Romans 13:14)
Putting yourself out there. Jesus said, “Let your light shine before others” (Matthew 5:16a). He explained that no one lights a lamp just to hide it under a basket. A lamp is meant to be placed on a stand to give light to everything around it. Whether you’re timid or outgoing, you’re called to be a light to the people around you. That’s only possible if you’re taking time to interact with people and cultivate relationships.
Always pointing back to the light source. When Jesus said, “Let your light shine before others,” that wasn’t the whole sentence. He went on to give the reason why it’s important to shine: “so that they may see your good works and give glory to your Father who is in heaven” (Matthew 5:16b). Our goal should never be to bring recognition to ourselves, but to bring glory to God. There’s a fine line between being a light and putting on a show to get attention. It’s a matter of the heart.

WHAT ACTUALLY KEEPS YOU FROM SHINING?
“Why do you see the speck that is in your brother’s eye, but do not notice the log that is in your own eye? –Matthew 7:3”
It’s easy to see the shine of a new diamond ring from across the room. But over time, that shine can dull as dust collects on it.
In the same way, sin can dull our shine as lights for Jesus Christ. Our lives which once sparkled with the joy of Christ can become clouded with a love for things of this world.
Before you can be a light to others, take a look at your own life. Has sin dulled the evidence of Christ in you? Maybe it’s time to stop, take a moment and ask God to reveal any sins you might be ignoring. If there’s a sin you repeatedly struggle with, write it down and pray over it continually. Ask God for His forgiveness and help in changing your heart. We’ll never be perfect, but we need to address our sin—partly because it impacts others. Some of the perceptions that keep you from shining and how to overcome them.
Fear of judgment .This fear is very rooted in the desire to be accepted. Humans are wired to be a part of a tribe for survival. Sometimes this fear comes from parents who had high expectations or were unavailable. The fear looks like:
·        What makes me special?
·        Why someone would chose me?
·        My ideas, visions, and dreams are stupid.
·        I’m a fraud.
·        I’m not ___ enough.
·        What if it doesn’t work?
·        It can’t work. Why would it work?
These judgments often come from our own self and rarely allow us to take the idea or vision to fruition. If we are courageous enough to share it with someone close to us, their own fear and the energy of our fear leads them to cast doubts, further halting momentum.
Solution: Stand with both feet pressing into the floor. Repeat your fear. Ask yourself, “What if that is not true?” Keep asking until you have nothing left. In that space of emptiness, breathe deeply, raise your hands up towards the ceiling, and repeat “I am here now” three times. Then decide what is one small thing you can do (inspired action) immediately to get closer to that vision. Do it.
You have a unique expression and purpose. The world is waiting for you to show up and reveal yourself. Not everyone will resonate with you. Some will be completely out of sync, in fact. That’s okay. You’re not here to serve all 7 billion people of the world. Even if you only serve 1/10 of 1 percent, that’s a lot. Start looking for the people who connect to your purpose and passion. That is where the magic happens.


Fear of abandonment/loss of love

Let’s face it, rejection sucks. Our soul loves connection. If you have ever experienced rejection, especially early in your childhood, you know how debilitating this fear can be! This fear is often hidden in layers. It can look like:
·        I’m scared of letting people down and it keeps me paralyzed.
·        I don’t want people to think I am selfish.
·        I go along with what others want when it is not in my best interest or my desires.
·        I have to be good.
·        Perfectionism — often keeping you redoing trying to get it “just so” and never quite getting it there.
·        If I succeed and become bigger than my partner, then what?
·        I have to work harder, stay busy, and keep pushing. I don’t have time for myself.
·        I have to be all things to all people. I don’t want to leave anyone out.
There is a neediness that underlies this fear that drives a search for love and acceptance outside of one’s self. That love and acceptance has to start within.
Solution: Every single time you put someone else’s needs above yours, you abandon yourself. Would you be willing to take a small chance and put yourself first. Make a list of the things you love to do (and maybe haven’t in a while), want to do, and want to have. I challenge you to try to find 10 items for this list! 



SO, HOW EXACTLY DO YOU SHINE
Do not be conformed to this world … —Romans 12:2a,
Be careful what you say. The Bible calls the tongue “a restless evil, full of deadly poison” (James 3:8). Yikes! That’s pretty serious. And that’s how we should take our speech—seriously. Maybe a parent once told you, “If you don’t have anything nice to say, don’t say anything at all.” It’s not bad advice, even as an adult. Words are powerful and can be used for good or bad. You might even post this verse somewhere as a reminder: “Let no corrupting talk come out of your mouths, but only such as is good for building up, as fits the occasion, that it may give grace to those who hear” (Ephesians 4:29).

 Here are some tips on how to tame the tongue.
o   “Do not speak against [slander] one another, brethren” (James 4:11). The word brethren refers to fellow believers. That’s us! Why do we “speak against” fellow believers? I confess I am prone to slander when I feel insecure. In some morbid way, putting down another person helps me feel better, showing how little I understand God’s love for me. Today when I am tempted to slander, I pause and ask myself, “Do I feel secure in God’s love today?” That question puts the brakes on the bicycle.
o   “Do not complain, brethren, against one another” (James 5:9). Over the years I have been complimented for not being a complainer. I’m grateful for the commendation—but you should hear what goes on inside. Years ago I started “now-and-then” journaling. When I feel frustrated, I write my complaints in my quiet time journal, explaining how I feel about certain people or incidents. I end with a one-sentence prayer of surrender. The Lord can handle my ranting. By telling Him, I don’t need to tell others. This discipline reminds me that God is sovereign over the cause of my complaints—lying politicians, annoying co-workers, late bodaboda’s.
o   “But above all, my brethren, do not swear, either by heaven or by earth or with any other oath; but your yes is to be yes, and your no, no” (James 5:12). This sounds like Jesus’ teaching in Matthew 5:34-37: “Make no oath at all, either by heaven … or by earth … but let your statement be, ‘Yes, yes’ or ‘No, no.'” I used to think this was about cussing, but it’s more than that. The Jews of Jesus’ day could hardly speak without invoking oaths to give their statements credibility. For example: “My camel is the fastest in the land, and if not, may I die without children!” Similarly today, we “pad up” our statements because we don’t think we have enough personal gravity to simply say yes or no. Some people bolster their words with a “by God,” wordy exaggerations, threats or emotional displays. Padding our words shows that we do not believe God is for us. To apply this, I simply try to give short answers. Too simple? Try it.
Where to start? Should we simply keep quiet? Proverbs 17:28 says, “Even a fool, when he keeps silent, is considered wise.” Though keeping silent lessens embarrassment, it prevents you from edifying others or speaking up in the presence of evil. The chain connecting heart and tongue cannot be broken. For good or bad, it will always be there. But try this: Before you speak, pause and ask, “Why did I almost say that? What is my motive?” Then honestly submit: “Lord, I confess I was about to slander Mary because I am jealous of her good looks. Amen.” This momentary silence may invite stares from your friends. Simply tell them you are confronting your sins. “If anyone thinks himself to be religious, and yet does not bridle his tongue but deceives his own heart, this man’s religion is worthless” (James 1:26). This is serious!
Consider your entertainment. Where do you go for fun? What videos or movies do you watch? What kind of music do you listen to? Would you go to the same places, watch the same things or listen to the same music if Jesus were sitting next to you? Or would you be embarrassed? It might sound silly, but asking those questions is a good way to keep yourself in check, whether you’re alone or with others. We believe that there is a legitimate place for entertainment in the life of the child of God. The Christian may relax, go on a vacation from time to time, have some fun, and enjoy the good gifts that God has bestowed upon him and his family. Paul writes to Timothy, "Every creature of God is good, and nothing is to be refused, if it be received with thanksgiving: for it is sanctified by the word of God and prayer" (1 Tim. 4:4, 5). That passage is important for the understanding of our subject, for it warns against legalism and a too strict view of the Christian life, and it tells us that we can use all things that God has made, keeping two things in mind: first, the Word of God instructs us how to use God's creatures and gifts, and secondly, by prayer in respect to this use, His gifts are sanctified unto us.
Use social media wisely. People are watching what you post, whether they interact with your posts or not. Think about the things you’ve posted recently—articles, comments, photos and so on. Could they be seen as prideful? Self-centered? Rude? What’s your motive? To put others down or make them jealous? Hopefully not. Aim to make informed, respectful posts that represent the One you claim as Lord. So how can we utilize social media wisely in a way that will reach unbelievers with the Gospel and won’t harm your friends:
o   Consider anything you say on social media to be permanent. Yes, you can delete or scrub regretful things you have said on social media but, more times than not, the information can still be retrieved. And countless people take screen shots the moment they see something unwisely posted.
o   You can be misunderstood often on social media. The readers or viewers usually cannot see your body language. They don’t know your humor or sarcasm. If you have any question about something you will post, don’t post it.
o   Attacks on other people’s character or positions are considered cowardly by many. The reader or the viewer typically sees the person writing the information as one who hides behind a keyboard or microphone. They wonder if the writer would have the courage to say the same things in person.
o   Churches and other Christian organizations are checking social media of Christians. It has become more commonplace for churches and Christian organizations to do a social media background check of potential candidates. And I recently conversed with a pastor who was fired from his church because of something he posted on Facebook. And remember, at the risk of being redundant, most of the words or photos or videos you have posted are permanently recorded.
o   The non-Christian world is watching Christians attack each other on social media. Our Christian witness is compromised again and again by our social media actions. When we say or write scathing attacks on others, non-believers see us as hypocritical, inconsistent, and unworthy of emulating.
I’m thankful for social media. No other platform in the world allows me to interact with people from all over the country and the world. I’ve had the chance to engage people in discussions about the Gospel and theology that I otherwise would not have been able to. For that I am eternally thankful for this modern tool of ministry. But, we must remember that social media is a tool and must be used as one. My Priest Mtewele reminded us that words, like toothpaste, cannot be taken back once it has come out.
Think of others. Consider other people’s needs and help meet them. Encourage instead of criticize. Be patient. Give others the benefit of the doubt. If you hear gossip, distance yourself from it or change the subject. When you encounter a difficult person, remember that they were made and are loved by God. Above all, “Treat others the same way you want them to treat you” (Luke 6:31).
Accept praise graciously. The best thing about being a shining star is receiving praise for a job well done. Don't shy away from praise or pass it off on someone else. Accept every kind word and amazing compliment and bask in it. No, this doesn't mean you're selfish or cocky or full of yourself. It means you know that you're a star and you're happy that other people know it too. It's tempting to shrug off praise, but don't. You deserve it. 
Tune in to yourself. Listen to yourself first and foremost. When you get an idea, don't be the first one to shoot it down. Believe you can do it. Encourage yourself. Fill your mind with the belief that you can do ANYTHING, and you'll find that you can. When you hear negative voices whispering that you're not good enough or can't do it, silence them immediately. Listen to the real you -- the you that believes you can do whatever you believe you can do.
Break down barriers. When barriers are so tall that you can't easily jump over them, break them down. Even if you have to use a tiny chisel and it takes all day long, you CAN break down the barriers in your life. You don't have to sit back and watch life pass you by because something is standing in the way of your awesomeness. If it's in your way, get rid of it. You deserve to shine and no wall of "you can't do it" should stand in your way! 

I wish you best of Lucky!!
Leap over obstacles. When you encounter things or people standing in your way, use all of your strength and creativity to maneuver around them or leap over them. Those who aren't supportive of you and who don't believe you are a star should be left in the dust. Those activities that don't showcase your true talents should also be left behind. Who needs those anyway? 
Emphasize your strengths. We all have strengths and weaknesses. No one is perfect. So instead of harping on your less-than-perfect traits, focus on what you can do, what you're good at. If possible, get a job (or a hobby) that highlights your abilities. This will reinforce your true awesomeness and remind you of what a stellar being you are. Focus on the good in you! 
Take care of your mind and body. By keeping your mind and body in good working order, you're likely to be a lot more confident in your abilities. Take time to listen to what your thoughts are telling you. Know yourself and respect that person. Likewise, listen to your body. Take into account your bodies needs and respect the way you treat your body. You will definitely me more confident if you feel good and have a clear mind.
Believe in your abilities. No one can believe in you better than you can. And you must do it! Sure your friends and family and coworkers might tell you you're great, that you're a shining star, but you won't really believe it until YOU know that you're awesome. It's as simple as that. Believing in yourself is the first step to being the shining, awesome person I know you are. 



ABOUT THE AUTHOR
My name is Jerome Ernest Mmassy and I was born in Moshi in Kilimanjaro Region Tanzania. My parents were Natalia Mmassy and Ernest Mmassy. My father died at the age of 62 in 1996 from lung cancer which was the result of smoking her whole lifetime. My mom is still alive with the age of 73. I was raised by my Mom and Uncle Gaspar Mallya as the family got separated before I and my lovely twin sisters (nuns) were born .Fortunately I have been smart enough to circumvent bad habit due to the teachings of my so lovely grandpa Mariana Rafael and other guardians.
My early childhood was a typical middle class environment circa the 1990s. My parents worked for peasantry. I had a happy, normal childhood as I and my nephews lived together. My mom and dad separated before I was born. My dad remained unmarried until his death. My mom remains the same for her entire life. My Uncle Gaspar became a big part of my life and I maintained close contact with him even as I wrote this Book.
With the fresh start I was able to finish Primary School at Mkomilo Primary School, Secondary School at Umbwe and High School at Njombe in 2008. I later joined The University of Dodoma for first degree in International relations where I graduated in 2011 joining also Open University of Tanzania where I graduated with LLB in 2016.
I have been working in different offices since my first graduation but importantly I provided tutorials at the Arusha East African Training Institute, Habari Maalum College and Star High School. I have really being so much inspired in coaching my fellow youths to become what God intended them to be .This has finally placed me in seminars, classes and in churches serving in different positions.
In 2013 I was elected as Secretary of the Council of the laity at Ngaramtoni Roman   Catholic Parish Arusha where I served for 3 years specializing in mentoring students at colleges and Universities. My work didnt just end there, in the same time I served as the Chairman of the Youth Service where I demonstrated Gods mission in me through bringing them closer to God in Arusha Archdiocese.
I have the great passion in me to spread the word of God through writing various Books. I have compiled various Kiswahili Books such as Funguo za siri za Mafanikio locally translated as Secret keys to success, Ishi kwa Malengo Ufanikiwe and Ndoa yangu

P.O BOX 11854,
ARUSHA
+255786141643/ +255624002807
mmassyfm@yahoo.com







Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...