Friday, 26 February 2016

KIGOGO CCM AHUSISHWA NA WIZI WA MAKONTENA BANDARINI

Kampuni yake yahusishwa na ufisadi bandarini kwa upotevu wa makontena zaidi ya 3,000 yaliyotolewa bure bila kulipia ushuru bandarini.
Kigogo huyo mwenye nafasi ya juu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM anamiliki shiping line na bandari kavu (ICD) iliyopo barabara ya Nyerere.


Ntakuletea taarifa kamili hapa muda si mrefu.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...