Friday, 16 June 2017

Dkt Kikwete amtembelea Kardinali Pengo



Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai.










Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai.

Dkt Kikwete ameandika hayo leo, kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.Dkt Kikwete ametweet kupitia ukurasa wake wa tweeter hivi:


“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.”

Hata hivyo Dkt Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...