Thursday, 15 June 2017
ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania
Menejiment ya Kampuni ya ACCACIA wameelea kuwa, hawajafikia makubaliano yoyote ya kuilipa TAnzania hata senti.Katika taarifa inayoonekana hapo juu,wanasema wamekubaliana kujadiliana na Tanzania kuhusu madai hayo na hawajafikia maamuzi yoyote.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...
-
Mithali 14: 1 “Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe”. Padre m...
-
Bwana harusi mmoja kutoka Saudi Arabia amempa talaka mkewe siku ya harusi baada ya kumuona uso wake kwa mara ya kwanza wakati mpiga pich...
-
Watoto wanne wa kike wenye umri wa miaka nane, wamebainika kubakwa na kunajisiwa kwa karibu mwaka mmoja huku vijana wawili wanaowafanyia vi...
No comments:
Post a Comment