Friday, 16 June 2017

KAZI ZA HARAKAHARAKA



Tuna nafasi 50 za kazi ya muda mfupi kwa vijana. Kazi hii ni ya kupiga chapa (kuprint) documents. Itafanyika kwa siku 20.

Tunahitaji vijana angalau (at least) waliomaliza kidato cha nne na wenye cheti cha kompyuta (certificate of computer applications).

Kama una cheti, stashahada au shahada na hauko engaged na kazi yoyote kwa sasa pia tunakukaribisha.

Malipo ni sh 9500/= kwa siku bila benefit nyingine yoyote.

Sehemu ya kazi ni maili moja kibaha.

Usafiri wa kutoka ubungo mpaka maili moja utatolewa kwa kila siku ya kazi (Kwenda na kurudi).

Tuma maombi tu kama unaishi dar au kibaha.

Andika barua ya maombi pamoja na CV kwa lugha uipendayo, kiswahili au kiingereza.


Tuma mapema kwa sababu maombi yatafanyiwa kazi kadri yanavyokuja.

Karibuni.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...