Kiongozi wa Korea ya Kaskazini amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiandaa kwa silaha zake za nyuklia kwa ajili ya kupambana na maadui.
Kiongozi huyo alisema wakati huu ambapo marekani inahamasisha vita kwa nchi nyingine wanapaswa kuziandaa silaha zao za nyuklia ili kuitetea north korea na uhuru wake.
Kiongozi huyo aliyasema hayo wakati akiwa katika shuhuli za kijeshi
Mpaka sasa haijulikani north korea imepiga hatua gani katika mpango wake wa silaha za nyuklia huku marekani wakiitaka korea ya kazkazini kuacha kuchochea uhasama wa kuchochea silaha za nyuklia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...
-
Mithali 14: 1 “Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe”. Padre m...
-
Bwana harusi mmoja kutoka Saudi Arabia amempa talaka mkewe siku ya harusi baada ya kumuona uso wake kwa mara ya kwanza wakati mpiga pich...
-
Watoto wanne wa kike wenye umri wa miaka nane, wamebainika kubakwa na kunajisiwa kwa karibu mwaka mmoja huku vijana wawili wanaowafanyia vi...
No comments:
Post a Comment