Je una Ndugu rafiki yeyote Mwenye degree Na Ni mwalimu wa lugha ya Kiswahili Tanzania? Kuna program Hii (Fulbright) ya kwanza ni Kwa ajili ya walimu wa lugha ya Kiswahili kuja Marekani kufundisha Kiswahili Na chuo kinakulipia kuchukua degree ya pili katika fani yeyote. If you know anybody let me know.
1. https://eca.state.gov/fulbright/country/tanzania
2. https://www.humphreyfellowship.org/how-apply-humphrey-fellowship-program
3. https://exchanges.state.gov/non-us/program/community-solutions/applying
SAMBAZA UPENDO
ukiipata usiwe mchoyo
Kizuri kula na nduguyo
No comments:
Post a Comment