Tuesday, 15 March 2016
UCHAGUZI WA MEYA WA JIJI LA DAR NI TAREHE 22 MARCH
Uchaguzi wa meya wa jiji la dar es salaam umepangwa kufanyika 22.03.2016 siku ya jumanne (siku ya kazi )katika ukumbi wa Karimjee kuanzia saa 4.00 asubuhi. Katika barua za mwaliko wabunge, madiwani na viongozi wa chama.,Kaimu Mkurugenzi wa jiji la dar amepiga marufuku watu wasiokuwa na mwaliko kufika ukumbini Karimjee kushuhudia hilo zoezi la uchaguzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...
-
Mithali 14: 1 “Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe”. Padre m...
-
Bwana harusi mmoja kutoka Saudi Arabia amempa talaka mkewe siku ya harusi baada ya kumuona uso wake kwa mara ya kwanza wakati mpiga pich...
-
Watoto wanne wa kike wenye umri wa miaka nane, wamebainika kubakwa na kunajisiwa kwa karibu mwaka mmoja huku vijana wawili wanaowafanyia vi...
No comments:
Post a Comment