Tuesday, 15 March 2016

UCHAGUZI WA MEYA WA JIJI LA DAR NI TAREHE 22 MARCH

Uchaguzi wa meya wa jiji la dar es salaam umepangwa kufanyika 22.03.2016 siku ya jumanne (siku ya kazi )katika ukumbi wa Karimjee kuanzia saa 4.00 asubuhi. Katika barua za mwaliko wabunge, madiwani na viongozi wa chama.,Kaimu Mkurugenzi wa jiji la dar amepiga marufuku watu wasiokuwa na mwaliko kufika ukumbini Karimjee kushuhudia hilo zoezi la uchaguzi.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...