Wednesday, 2 March 2016

MKAPA APEWA MFUPA MGUMU NA MARAIS WA

Rais Magufuli achaguliwa na Marais wote wa Afrika Mashariki kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mwaka mmoja zaidi.

- Jamhuri ya Watu wa Sudani Kusini yajiunga rasmi kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

- Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa JMT, Benjamin William Mkapa, achaguliwa kuwa msuluhishi wa mgogoro wa Burundi chini ya Uongozi wa Rais Yoweri Museveni.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...