Friday, 11 March 2016

MAGUFULI ANAYO MAJINA YA WAFANYAKAZI HEWA BENKI KUU, SOMA MAAGIZO MAZITO KWA GAVANA

" Yako majina mengi humu, sitaki kuyataja mengine hapa, au niyataje yote? Muyafute yote majina ya watu ambao sio wafanyakazi wa BOT. Mbaki na watu wanaofanya kazi ili mshahara uende kwa watu wanaofanya kazi tu. Nina orodha yote, ninaijua yote." - Amesema hayo Rais Magufuli jana wakati alipowaweka kitimoto viongozi wa BOT kulipa mshahara majina ya watu wasiofanya kazi.

1 comment:

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...