" Yako majina mengi humu, sitaki kuyataja mengine hapa, au niyataje yote? Muyafute yote majina ya watu ambao sio wafanyakazi wa BOT. Mbaki na watu wanaofanya kazi ili mshahara uende kwa watu wanaofanya kazi tu. Nina orodha yote, ninaijua yote." - Amesema hayo Rais Magufuli jana wakati alipowaweka kitimoto viongozi wa BOT kulipa mshahara majina ya watu wasiofanya kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured post
MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...
-
Mithali 14: 1 “Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe”. Padre m...
-
Kuna wakati fulani niliamua kwenda dukani pale mijini Dodoma katika duka la mfanyabiashara mmoja maarufu sana.Lengo la kwenda pale liliku...
-
Hatimaye gavana wa BoT Prof. Beno Ndulu ametoa majibu kwa rais John Magufuli huku akisisitiza kuwa watu wanaongea wasiyoyajua na kuomba ape...
MAGUFULI NI SHEEDAH
ReplyDelete