Friday, 10 June 2016

TUMIA NJIA HII KUNASA MCHEPUKO WAKO


Mmmh! Najua wazee wakuchepuka wamevutiwa na heading sana.

Iko hivi kama una mke au mume na humuamini unahisi kabisa ana mtu nje fanya njia hii kupata uhakika ila angalizo kama huna moyo mpana acha au kama unampenda sana acha pia,kama anatumia simu na unahisi kwenye simu kuna namba zakutia mashaka fanya haya.

Nenda kwenye ile namba ifute tazama jina lililoandikwa kwenye hiyo namba ingiza namba zako nyingine ambazo hata yeye hazijui andika jina hilo hilo, kama mtumiaji anatumia whatsapp ndio rahisi zaidi, angalia picha gani ameweka mshukiwa wako na wewe weka hiyo hiyo, kwakuwa umeshafuta ile namba kwenye simu yake hataweza kushtukia.Sasa hapo we kula kona anza kuchat utajua kila kitu kuhusu huyo unaemtilia mashaka.

Naomba niwaambie tu kesi yoyote huko mimi simo,msisahau kuleta mrejesho pia hapa,

Mwisho kabisa michepuko haifai tulizaneni.





Kwa hisani ya jirani yangu hapa.......

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...