Mhe.Pascal Haonga amehojiwa na police kwa muda wa saa mbili....
.....mbunge huyo anashtakiwa kwa kosa la kuharibu mali hii ni baada ya mbunge akishilikiana na wananchi kuondoa kizuizi cha mazao kilichowekwa na halmashauli kwa ajili ya ushuru wa mazao kuazia debe 1 na kuendelea kwa kila kata.
vizuizi hivyo vimekuwa kero kubwa kwa wananchi kwenye jimbo lake kitendo ambacho wananchi wamekuwa wakilalamika kila wakati kwa muda wa miaka mingi,MHE.Haonga aliwaahidi wananchi hao wakati wa kampeni wakimchagua kuwa mbunge atahakikisha kufuatilia sheria ya uanzishwaji wa vizuizi hivyo maana kama ni ushuru wakulima ususani wa kahawa hulipa asilimia 5% KWA KILA kilo.
No comments:
Post a Comment