Tuesday, 1 March 2016

KUNA YULE MKENYA ALIYESEMA KUWA OLDUVAI GORGE IPO KENYA,WEKA SAHIHI HAPA KUITETEA TANZANIA. TWENDE KAZI

Ingia hapa chini kusaini hati ya kumtaka Rosemary Odinga aombe msamaha kwa watanzania kwa kusema habari za uogo.


Ms Odinga alikuwa akishiriki programu ya IYLA inayoandaa vijana kuwa viongozi wa baadae, katika kongamano hilo aliiambia dunia Olduvai Gorge ipo Kenya ambao ni uongo uliokithiri hivyo inabidi Rosemary awaombe msamaha watanzania.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...