Friday, 11 March 2016

BABA MZAZI WA LULU YUPO TAYARI KWA MAHARI YA MWANAYE, MUDA WOWOTE



Nyota wa filamu hapa nchini Elizabeth Michael a.k.a Lulu baada ya kurudi Tanzania kwa ushindi wa tuzo kutoka Nigeria, hatimaye baba yake mzazi amefunguka na kusema kuna mtu mwenye mahari ya kumposa ili amuoe mwanaye basi na aipeleke.

Baba yake Lulu ameongea na E-newz na kutufahamisha bado hajapokea mahari ya mwanae na yupo tayari kupokea mahari, hivyo E-news imeamua kuutoa ujumbe huu wa baba Lulu.

Huku wengi wakidhani kuwa ujumbe huo unaweza kumfikia mtu mzima Majey ambaye kwa sasa wapo kwenye mahusiano na Lulu.

No comments:

Post a Comment

Featured post

MWANAMKE YAFUATE HAYA; NI MUHIMU KWA MAHUSIANO YAKO

1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubu...